Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
mi nimepitia ukweli wooote na nimekuja kugundua kuwa hawa TAJA ni genge la wahuni ambalo lipo kwa manufaa ya mpuuzi mmoja anayemchukia mzee mengi na kujaribu kumfuatafuata katika kila nyanja ili mradi amchafulie jina.
ishu ya kumhusisha mzee mengi kuwa anawachukia waislam mi naona ni ya kipuuzi na haifai kuongelewa kwa watu waelewa. tujiulize mzee mengi ni mara ngapi amekuwa akijitolea kushirikiana na waislam na ni mara ngapi mzee huyu amejumuika na ameshachangia shughuli za waislam? na kama hiyo haitoshi jaribuni kutazama ijumaa saa kumi na moja na nusu jioni mpaka saa kumi na mbili kamili jioni katika stesheni ya ITV inayomilikiwa na mzee mengi kuna kipindi cha dini ya kiislam, je jamani mtu awapende vipi?...
ishu ya kumhusisha mzee mengi kuwa anawachukia waislam mi naona ni ya kipuuzi na haifai kuongelewa kwa watu waelewa. tujiulize mzee mengi ni mara ngapi amekuwa akijitolea kushirikiana na waislam na ni mara ngapi mzee huyu amejumuika na ameshachangia shughuli za waislam? na kama hiyo haitoshi jaribuni kutazama ijumaa saa kumi na moja na nusu jioni mpaka saa kumi na mbili kamili jioni katika stesheni ya ITV inayomilikiwa na mzee mengi kuna kipindi cha dini ya kiislam, je jamani mtu awapende vipi?...