Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 13,080
- 12,080
Lazima alipwe, hawakawii kuanza kununa hawa.Wife kwamba utamlipaaa 😃 😃
Lazima alipwe, hawakawii kuanza kununa hawa.Wife kwamba utamlipaaa 😃 😃
Umekunywa pombe ya ngomani au masela wamekuvutisha sigara bwege?Tanzania kuna biashara moja nzuri sana, serikali ikikupa kibali cha kuweka jela wa wanaodaiwa.
Madeni yatapunguwa, watu watalipiana na mwenye jela atafanya faida. Mpango wa Kiislam huo, raha sana.
Ushahidi wa kudaiwa ukiwepo unawekwa ndani mpaka deni lishe. Sasa huko ndani ni lazima ujinunulie chakula na mahitaji yako yote.
Mradi inajulikana upo jela sasa ndugu wawache michango ya harusi wawalipie jamaa zao kwanza watoke jela.
Inasaidia sana watu kurudisha madeni yao.
My rival si unipe lift 😃🤣Mchango wa jengo kanisani-150,000
Trafic Fine na parking fees 200,000+
Songesha 3000
Na wewe unanidai mlongo
Sema una madeni tu ndiyo unajidai hukunielewa.Umekunywa pombe ya ngomani au masela wamekuvutisha sigara bwege?
Umeandika utumbo uliooza.
Gari ipi😂😂😂mimi nikiandika kuhusu gari una amini?My rival si unipe lift 😃🤣
That's why I hate you, ma uchoyo tu😃🙄Gari ipi😂😂😂mimi nikiandika kuhusu gari una amini?
I hate you too, ila usijali siku nikigongea nitakupamo ka liftThat's why I hate you, ma uchoyo tu😃🙄
Watu Wana jimilikisha😃Hamna wa kusema nimemsamehe madeni yote
Msikope jamani kama hamlipi maana inabidi tuyaache tu
Siku hizi ni msaada sio deni tena
If you invite me on your bed, this will be more than a lift.I hate you too, ila usijali siku nikigongea nitakupamo ka lift
Nakuombea inshaaAllah,Na wewe unanidai mlongo
Nitalipa tu vuta subira
Mfumo mbaya sana huo, uishie huko huko.Tanzania kuna biashara moja nzuri sana, serikali ikikupa kibali cha kuweka jela kwa wanaodaiwa.
Madeni yatapunguwa, watu watalipiana na mwenye jela atafanya faida. Mpango wa Kiislam huo, raha sana.
Ushahidi wa kudaiwa ukiwepo unawekwa ndani mpaka deni lishe. Sasa huko ndani ni lazima ujinunulie chakula na mahitaji yako yote.
Mradi inajulikana upo jela sasa ndugu wawache michango ya harusi wawalipie jamaa zao madeni kwanza watoke jela.
Inasaidia sana watu kurudisha madeni yao.
Vibaya sana mkuu, yaani niliacha kukopesha zamani sanaWatu Wana jimilikisha😃
Inakuwaje wife anakudai?1. CRDB 18.3M
2. Ngugu 500K
3. Wife 1.3M
4. Mama 1 M
5. Rafiki 350K
Kuna watu Hawa elewi pesa Ina Jenga uadui.Vibaya sana mkuu, yaani niliacha kukopesha zamani sana
Ukiomba nikukope 1m nakupa 10% tu ya bure halafu kaombe kwingine na asirudishe iwe kama sadaka
Hapo sina uadui na mtu tena ila mkopo hapana
Pole sana mkuuNadaiwa mpaka sioni cha ajab kuhusu madeni.
Yan kifupi nimeanza kufanana na deni so hata siogopi..honeatly sikumbuki ni mangapi ila mengi sana.
Kumudu kudaiwa ni kipaji sana. Sema tu hakikisha una afya, hii carreer haihitaji wagonjwa wagonjwa kama presha, moyo na kisukari..utakufa siku si zako
Kwa mwezi M inalipa maden, wew ni don,1.Tsh 310,000/= bado miezi 8
2.Tsh 200,000/= bado miezi 4
3.Tsh 125,000/= bado mwezi mmoja
4.Tsh 100,000/= bado miezi 6
5.Tsh 1.8m hii sijajua nalipaje ila nadaiwa
6.Tsh 3.5m kila mwezi napunguza Tsh 150k
Nimekua mpole maana kila pesa ninayopata 90% inalipa madeni 10% ndio yangu ya kuishi.
God is good!