cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,749
- 189,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nashukuru Mungu mwaka nimeanza vyema
Nadaiwa kama 5M tu mpaka February katikati naclear na sitaki kukopa mtu [emoji119]
(Mnaotudai mpunguze simu jamani)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nashukuru Mungu mwaka nimeanza vyema
Nadaiwa kama 5M tu mpaka February katikati naclear na sitaki kukopa mtu [emoji119]
(Mnaotudai mpunguze simu jamani)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakua nakumiliki kwa asilimia 4![emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie simlipiii huyoo
Mikopo yote hiyo bado umepanga....?? Japo chumba sebule tu...ubishiiiiKuna watu madeni yanawatia stress wanashindwa hata kula wakiyawaza wanaishia kufakufa tuwasaidie kwa kuwatajia madeni yetu ili wajione Hawapo peke yao.
Nikianza na Mimi mwenyewe.
1. Mkopo wa BOT(hazina)kila mwez 160000
2. Mkopo NMB kila mwezi 120000
3. Nyangao credit 90000 kila mwez bado miez miwili nimalize
4. Mama mwenye nyumba kodi 240000 miez mitatu
5. MGODI VODACOM 70000
6. Dukani kwa Rashid 30000
7. Nipige Tafu 21000
8. Fundi Fulani 50000
9. Maji na umeme 15000
10. Mfanyakazi mwenzangu alinikopesha 20000
11. Kwenye Mabar huwa sina madeni Makubwa ni kama 25000
Mimi nayowadai watu ni kama laki na kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Kwa hayo madeni tusitegemee nguvu au good performance kutoka kwa wanaume, stress ni nyingi
Nafuga.Maji bili ya laki !!? Tupumzishe basi.... Unaishi jangwani!??
Hapo sawa nimekuelewaKumbe hujanielewa kabisa. Mimi nakosowa wanapokosea R na L na wale wanaojifundisha Kingereza tu.
Hizi typo za kawaida wala sina habari nazo kabisa.
Mkuu samahani nipo nje ya mada, u mean hiyo pesa uliweka kwa ajili ya kubet au ni maokoto ya kubet? Au kwenye account za bet unaweza tumia kwa ajili ya savings zako? Mi ni mgeni kabisa kwenye mambo ya betting na sikuwahi dhani mtu anaweza weka pesa kiasi hichoKuna jamaa nilimkopesha pesa aongezee akalipie matibabu ya mwanaye alikua na tatizo kwenye mishipa inayopeleka damu kwenye moyo, alinipigia simu sana akiniomba pesa akaniambia yuko tayari aweke rehani vyeti vyake na hati ya nyumba bado nilikua na kauzito kwa sababu mosi sijawahi mkopesha pesa hivyo sijui commitment yake ktk ulipaji pili pesa niliyonayo ni pesa ya biashara alivyoona simjibu siku moja asubuhi akaja na mtoto kambeba motto afya imezorota anapumua kwa shida huku jamaa akazungumza huku machozi yanamlenga akiomba nimsaidie basi niingiwa imani nilikua na sh.mil8.5 kwenye account yangu ya 1x bet nikazitoa zote nikampatia kwa ahadi kwamba azirudishe January hii, sasa January imefika jamaa nikimpigia ananijibu shit na kuniambia nikiona vipi niende mahakamani mahakama zipo kwa ajili ya watu, amenifanya nimekosa imani kabisa na wanadamu but kwa vile niliyemsaidia ni mtoto hana hatia basi nitamsamehe asiponilipa.
Kaka huyo ni afisa ubashiri mwandamizi .Mkuu samahani nipo nje ya mada, u mean hiyo pesa uliweka kwa ajili ya kubet au ni maokoto ya kubet? Au kwenye account za bet unaweza tumia kwa ajili ya savings zako? Mi ni mgeni kabisa kwenye mambo ya betting na sikuwahi dhani mtu anaweza weka pesa kiasi hicho
Muwe mnatuwekea na jumla maniga😀😀SACCOS 290000
CRDB 735000
UJENZI 50000
VICOBA KWA WIFE 240000
MAJI 100000
MKOPO WA OFISI 100000
MFUKO FUND 20000
DENI LA MTEJA 100000
Mungu anakudai nini?1. Mungu
2. Wazazi
3. Wanaoniombea
Sina cha kuwalipa zaidi ya shukrani.
vyoteMungu anakudai nini?
Wazazi wazazi wanakudai nini?
Nawanaokuombea wanakudai nini?
Nimecheka sana.Mkopo 1 - 750,000/mwezi bado 3yrs
Mkopo 2 - 380,000/mwezi bado 2yrs
Mkopo 3 - 240,000/ mwez bado 1yr
Mkopo 4 - 138,000/mwez bado 2yrs
Mkopo 5 - 450,000 salary advance
Ukiacha salary advance hiyo mikopo yote nikikatwa nabaki na take home 700,000/. Ila mwez huu watakata salary advance ntabaki na 250k. Ntachukua tena advance
Kila mtu anakopa kwa uwezo wake na wala usishangae. Ukisema hivyo akaja hapa Mo au SSB atashangaa wewe unayekopa 10mMtu anakopa hadi laki tatu?