Umemuona The Finest???
nimependa yule anaeuza mihogo bunju, amenikumbusha mbali sana, coz siku za mwanzo kufika jijini basi nikatembezwa na braza kidemu chake kilikuwa kinauza mihogo mitaa hiyo, nikatambulishwa na kupewa mihogo full kuigonga, mh cjui usikute ni ww! braza anakupa hi
Nimsarandie wakati kila siku vitatu vinamhusu?
Muulize anavyofurahiaga ikifika saa tatu kamili usiku!
mie nimesoma hadi darasa la sita B.......changanyikeni..:A S 465::A S 465:
Nimemuona
nasikia amefungua kanisa jipya analiita Ufufuo wa Mwisho
Linafanana na lile la Kibwetere wa Uganda
Mhh nimetoa siri sweetlady wakati aliniambia iwe siri yangu The Finest utanisamehe aise
Duh Bishanga mbona umebadili Elimu yangu ukaifanya yako?
Hapa niko nahangaikia PhE then niendelee na PhF coz PhD ninazo za kutosha.
Pia naifahamu elimu ya Mr Rocky yeye ana PhD ya Majungu, Preta na BADILI TABIA wana PhD za kuchukua wanaume wengi kwa mara moja, Filipo ni Std 4 alifeli mtihani wa kuingia la 5, Hata C6 pia ni Std 4 ila mkewe charminglady sijajua ana elimu gani
Haya majungu ndio yamefanya The Finest akae mbali na jf ...... Mr Rocky usirudie tena eeh
Sasa kwa nini tusiseme wakati ndio anapata kula yake kupitia hilo kanisa
Na hapo hapo anagombea uenyekiti wa mtaa wa Chama cha mabwepande wa mtaa wa kimanzichana The Finest usikasirike bana sweetlady ndo kaniambia niseme
mimi nimesoma vidudu aka chekechea nilikosa nafasi ya kuingia la kwanza
Hahahaha kijana mjanja kama The Finest yuko kwenye hilo lichama?.......ngoja nimwite Masanilo aende akamvue gamba
eti kwa sababu babu yake alikuwa mzee mshauri wa hilo lichama na yeye kaenda huko
Unamaanisha Yusuph Makamba sio?
We mtabiri nini umejuaje
Na ndiye anayemshauri The Finest kwenda huko na kugombea