Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,333
sure
...hii imekaa kiislam zaid
...hii imekaa kiislam zaid
Vyema sana ""HiiiAsante sana kuna kona nyingi umegusia hapo... Zitahitaji uchambuzi wetu wenyewe bila kutegemea wala kuegemea mabandiko na vyanzo vya wazungu...
CC : Che mittoga
Mkuu asante sana "" Umepita vyema kabisa..."" Sina mashaka na ma bandiko yako "".... acha niendelee kujifunza zaidi ""..Mkuu Mshana Jr kwa maoni yangu kwa reference ya bible/apocrypha na vitabu vya kiyahudi... Ni kwamba baada ya gharika tunaona dunia nzima yaani familia ya Nuhu ilikuwa inamuabudu Mungu mmoja ila baadae alipokuja wasumeria wakaanza ibada za masanamu huko shinar chini ya mfalme Nimrod ambaye aliweza kushawishi koo za Ham na Japhet kumfuata ila ukoo wa shem pekee ndio baadhi walibaku kumuabudu Mungu
Sasa Mungu akajinasibisha kupitia shem baada ya mnara wa babeli maana dunia nzima ilishaanza kuabudu masanamu..... Kupitia shem ndipo Abraham anazaliwa na anaishi kwenye pango kwa shem na kufundishwa habari za MUNGU wa kweli na alipotoka hapo aliweza kusimama katika imani na hilo likapelekea Mungu kuendelea kujitambulisha dunia kupitia ukoo wa SHEM na hilo likaendelea hadi Abraham then Yakobo mpaka Israel iliyofuata
HOWEVER baada ya wayahudi kumkana Mungu na kuanza kufanya waliyokatazwa Mungu akawalaani na kuwapa hukumu ikiwemo kuwatawanya duniani.... Kwenda utumwani na kushambuliwa na magonjwa kibao hivyo baada ya Israel kufanya uasi Mungu akaendeleza agano na abraham ila kulingana na maandiko wote wenye imani kwa Mungu wanakuwa uzao wa abraham by default na Yesu alipigilia msumari wa mwisho maana alileta wokovu kwa mataifa yote hivyo wanadamu wote tumekuwa taifa teule sio israel tena maana leo hii Mungu anaabudiwa dunia nzima tofauti na enzi hizo kila nchi ilikuwa na ibada zake na miungu yake
So kwa maoni yangu wanadamu wote tumekuwa taifa teule ila Israel ni mambo ya agano la kale tu na unabii wa siku za mwisho ila wote tupo sawa sasa na waisrael wanaofanya maasi na kutesa watu huko palestina wataonja moto wa jehanum kama kawaida unless na wenyewe wamrudie MUNGU wa kweli
Ni hayo tu
Labda niite wataalam wa historia na maandiko waje wanirekebishe ili tujifunze zaidi
Cc Malcom Lumumba tikakami wa lopelope chabuso blackstarline popbwinyo hearly
sio isije kuwa " tuna dhulumiwa kweli mkuu" "tafiti nyingi za kihistoria zinaonyesha kuwa "" watu weusi ndio watu wakale zaidi na ndio watu ambao walipaswa kuwa na dini kubwa zenye ushawishi kwenye huu ulimwengu""... historia inasema nimrod alikuwa mtu mweusi " lakini mbona haushangai ulimwengu wa sasa jinsi unavyo mzungumzia kuwa alikuwa ni mtu mweupe ""....Hapa kuna mkanganyiko mkubwa isije kuwa tunadhulumiwa ukweli bila kujua
Ha hahaa hahaaNa kama kuna watu wanamkataa yesu kwa nguvu zote Duniani basi ni waisrael wale Jewish. Sijui kwanini bado wanaqualify kuwa taifa teule then watu wa pale Mbeya waliokoka mkoa mzima wanakuwa watu wa mataifa? Inanivuruga kichwa hii!
Its injustice!
hahahaa ..analeta mahubiri " mpaka kwenye mambo yanayotaka kufikirisha bongo kwaajili ya kufanya uchambuzi uwe na mantikiSijakuelewa kabisa..afu ni vyema ukafafanua kuliko kuniqotia mlolongo wa maandishi haya mkuu.
Fafanua sasa nikuelewe!
weka hicho kifungu cha methali ilipotajwa chinaIsrael ndio inajulikana kama taifa teule la Mungu na kuna ushahidi mwingi mitandaoni kuwa dunia ilianzia mashariki ya kati....
Mengi yanayoandikwa kuhusu hizi dini mbili zinazomtambua Mungu mmoja... Yana asili na mashariki ya kati... Mitume manabii masinagogi, historia na kumbukumbu nyingi za ulimwengu wa imani na kwa sehemu historia chimbuko lake ni mashariki ya kati....
Rejea mada ya Je dunia ilianzia mashariki ya kati? ... Kuanzia maisha ya Eden mpaka gharika ya Nuhu na kuangamizwa kwa sodoma na gomora... Haya yote hayatoki nje ya hapo
Unapoendelea kusoma historia ya dunia kiimani na vitabu vya dini.. Kuna kaliba inapewa nafasi ya 'wa mataifa'.... Yaani kwa tafsiri rahisi wale wa nje ya mashariki ya kati...! Nje ya Israel!
Tuna hizi dini tulizoletewa Afrika na wazungu na waarabu.. Uislam bado una asili na mashariki ya kati... Ukristo ulifikaje ulaya kwa wageni wa dunia (wazungu)? Kisha pengine wakauchakachua kishapo ndio wakatuletea sisi? Hili hojaji linahitaji mjadala wake tofauti?
Lakini kwa sasa kuna maswali yanahitaji majibu ili kujiridhisha na hizi imani zetu
. Je wale wote walio nje ya mashariki ya kati ndio wa mataifa?
. Je kwanini kwenye Biblia takatifu China inatajwa kipekee? Katika kitabu cha mithali kwenye kutafuta maarifa watu wanaaswa wafike hata China?
. Je mpango mkakati wa Injili kwa watu wote (wa mataifa) ya kuwahubiria neno la Mungu watubu na kuokoka... Tafsiri yake ni ipi? Je hawa hawakuwa sehemu ya uumbaji wake?
. Je wapagani wanaohitaji kuhubiriwa injili.. Si wakazi wa dunia hii?
Historia ya Israel...
Nguvu waliyo nayo utabiri wa kurejea nyumbani... Namna yao ya kuabudu nakuamini tofauti na imani nyingine ni kama vile inatoa picha kuwa hata wazungu ni watu wa mataifa na si sehemu ya taifa teule! ?
Mkuu labda umechanganya na ile hadithi ya Mtume Muhammad [SAW] aliposema
"Itafuteni elimu ijapokuwa iko katika miji ya China, kwani kutafuta elimu ni wajibu (lazima) juu ya kila Mwislamu"
Akihimiza waumini waitafute elimu hata kama ipo mbali kiasi gani.
Jifunze kufuatilia mjadala wote hatua kwa hatua kabla hujaamua kuchangia... Ungekuwa umefanya hivyo usingekuja na swali lako hiliweka hicho kifungu cha methali ilipotajwa china
Sawa Mkuu,sote tuko sawa kwa Mungu,isipokuwa Bani Israel wao walichaguliwa kama binaadamu wa kusambaza yale aliyoyataka Mungu,yaani kuabudu Mungu mmoja na kufuata sharia zake..
Mapenzi ya Mungu kwa Bani Israel,na ule uteule aliowapa wa kusambaza aliyoyaamuru kayaondoa kwasababu hawa jamaa wameshindwa kuyafanya yale anayoyataka Mungu,Hawa jamaa wamelaaniwa,hakuna hata Mtume mmoja walioletewa wakamkubali…
Baada ya kumkana Musa,Bani Israel(Wayahudi) walikuwa wanasubii Masaya(Kristo kwa lugha ya kigiriki),Mungu akawaletea Masaya(Yesu aka Isa aka Iso aka Yoshua aka Jesus) lakini hata hivyo wakamkejeli na kumsulubu Msalabani..
Kuna watanzania humu JF wanafikiri dini ya kiyahudi(Hebrew) inamkubali Yesu(Isa) lakini hawajui kuwa Wayahudi wa kale na hawa wa sasa hawana habari kabisa na Yesu kwao wao wanamuona Yesu tapeli,mzushi tu..
Kutokana na Kukataa na kuwakejeli Mitume,Mungu kaahidi kwenye Quran kuwa,wale wataowakejeli na kuwakataa Mitume atawaondoa na kuwachagua Wengine,Mungu kamleta Muhamad ambae ni mtume pekee ambae sio Myahudi,Muhamad kafundisha yale yale aliyoyaleta Musa sema akasawazisha mengine na kuzidisha yale yaliokuwa hayajamaliza kuyafundisha Isa(Yesu)...
kwahiyo taifa teule la mataifa ni china?kwanini?Jifunze kufuatilia mjadala wote hatua kwa hatua kabla hujaamua kuchangia... Ungekuwa umefanya hivyo usingekuja na swali lako hili
Hakuna andiko kama hilo.Hebu ngoja nikiwa na Bible nitakujibu
Mkuu nakuunga mkono but Issa siyo yesu jaribu kuelewa.Israel walilaaniwa the moment walipokengeuka na kukufuru neema walizopewa kupitia kwa Nabii Musa...laana ile iliendelea mpaka kufikia kipindi cha Nabii Issa na bado waliendelea kukufuru na kumtishia kumuua Nabii Issa. Laana hiyo iliendelea na mpaka sasa inaendelea. ISRAEL ni Taifa lililolaaniwa.
Nabii Issa ni Mtume wa Mungu alyezaliwa na Maryam Bint Imran ..Nabii Issa hakuzaliwa hana Baba na huu ndo Muujiza mkubwa juu ya uumbaji wa Mwenyezi Mungu..Nabii Issa alikuja na ujumbe wa kumuabudu Mungu aliye mmoja , kusali na kutoa zaka pamoja na kufanya yaliyo mema hakuuliwa wala hakusulubiwa kwa mujibu wa imani yangu ya Uislam.Mkuu nakuunga mkono but Issa siyo yesu jaribu kuelewa.
Mkuu Mshana Jr kwa maoni yangu kwa reference ya bible/apocrypha na vitabu vya kiyahudi... Ni kwamba baada ya gharika tunaona dunia nzima yaani familia ya Nuhu ilikuwa inamuabudu Mungu mmoja ila baadae alipokuja wasumeria wakaanza ibada za masanamu huko shinar chini ya mfalme Nimrod ambaye aliweza kushawishi koo za Ham na Japhet kumfuata ila ukoo wa shem pekee ndio baadhi walibaku kumuabudu Mungu
Sasa Mungu akajinasibisha kupitia shem baada ya mnara wa babeli maana dunia nzima ilishaanza kuabudu masanamu..... Kupitia shem ndipo Abraham anazaliwa na anaishi kwenye pango kwa shem na kufundishwa habari za MUNGU wa kweli na alipotoka hapo aliweza kusimama katika imani na hilo likapelekea Mungu kuendelea kujitambulisha dunia kupitia ukoo wa SHEM na hilo likaendelea hadi Abraham then Yakobo mpaka Israel iliyofuata
HOWEVER baada ya wayahudi kumkana Mungu na kuanza kufanya waliyokatazwa Mungu akawalaani na kuwapa hukumu ikiwemo kuwatawanya duniani.... Kwenda utumwani na kushambuliwa na magonjwa kibao hivyo baada ya Israel kufanya uasi Mungu akaendeleza agano na abraham ila kulingana na maandiko wote wenye imani kwa Mungu wanakuwa uzao wa abraham by default na Yesu alipigilia msumari wa mwisho maana alileta wokovu kwa mataifa yote hivyo wanadamu wote tumekuwa taifa teule sio israel tena maana leo hii Mungu anaabudiwa dunia nzima tofauti na enzi hizo kila nchi ilikuwa na ibada zake na miungu yake
So kwa maoni yangu wanadamu wote tumekuwa taifa teule ila Israel ni mambo ya agano la kale tu na unabii wa siku za mwisho ila wote tupo sawa sasa na waisrael wanaofanya maasi na kutesa watu huko palestina wataonja moto wa jehanum kama kawaida unless na wenyewe wamrudie MUNGU wa kweli
Ni hayo tu
Labda niite wataalam wa historia na maandiko waje wanirekebishe ili tujifunze zaidi
Cc Malcom Lumumba tikakami wa lopelope chabuso blackstarline popbwinyo hearly
Nabii Issa ni Mtume wa Mungu alyezaliwa na Maryam Bint Imran ..Nabii Issa hakuzaliwa hana Baba na huu ndo Muujiza mkubwa juu ya uumbaji wa Mwenyezi Mungu..Nabii Issa alikuja na ujumbe wa kumuabudu Mungu aliye mmoja , kusali na kutoa zaka pamoja na kufanya yaliyo mema hakuuliwa wala hakusulubiwa kwa mujibu wa imani yangu ya Uislam.
Naomba nieleweshe juu ya Yesu.
Nabii Issa ni Mtume wa Mungu alyezaliwa na Maryam Bint Imran ..Nabii Issa hakuzaliwa hana Baba na huu ndo Muujiza mkubwa juu ya uumbaji wa Mwenyezi Mungu..Nabii Issa alikuja na ujumbe wa kumuabudu Mungu aliye mmoja , kusali na kutoa zaka pamoja na kufanya yaliyo mema hakuuliwa wala hakusulubiwa kwa mujibu wa imani yangu ya Uislam.
Naomba nieleweshe juu ya Yesu.
inawezekana waisrael wangemkubali Kristo dunia au watu wa mataifa wasingemjua kwa nafasi aliyo nayo.
Hapa kuna mkanganyiko mkubwa isije kuwa tunadhulumiwa ukweli bila kujua