joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,811
Yap au nwezi bado hujaanza et mkuuAhahaha! Eti "mwezi nchanga"
Yap au nwezi bado hujaanza et mkuuAhahaha! Eti "mwezi nchanga"
Mkuu kwanini utata uwe kwa Yesu tu mbona kuna wengine wamezungumziwa pia kwenye Qur'an ila suala la Yesu ndiyo limekuwa na mvutano?
Mawazo na fikra za Paulo chayo,Katika biblia hamna hata sehemu moja aliyosema kuhusu Utatu(Trity),nimekuwekea msatari wa biblia unaosema kuwa Yesu kasema yeye ni mwana wa Adamu,wewe umekuja na hoja Utatu,..Je hiyo mistari yenye maneno ya Yesu Mwenyewe huyakubali,unayapinga!??Kwa mtu ambaye haamini kuwa Mungu ana nafsi tatu, Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu hawezi kuamini kuwa Yesu ni Mungu kamwe. Hizi nafsi tatu zina jidhihirisha katika utendaji kazi wa Mungu.
Ninacho kushauri usisome Biblia na kuitafsiri kwa imani yako. Maana iko mistari katika Biblia inayo onesha kuwa hata Mungu aliwashukia watu akiwa katika utatu wake. Abraham ni mmoja aliye kutana na nafsi tatu za Mungu zikifanya kazi/utendaji wake.
Katika mistari miwili ya mwanzo kabisa ya Biblia kama umepata neema ya kufunuliwa na Mungu utaona dhahiri hizi nafsi mbili zimetajwa wazi, Mungu na Roho wa Mungu.
Wameshasema Taifa mkuu ina maana ni mojaNa taifa teule je? Manake liko moja tu!?
Nimesoma hizo hoja zako nadhani huna tofauti sana na wenzio wengi tu wasiojua kuhusu mashariki ya kati na hilo taifa uliloliita "taifa teule" la israeli,wengi wenu kwa kutokujua maandiko basi mnachukulia mambo ki rahisi rahisi tu.kuna thread nimewahi iandika hapa inahusu hilo taifa la israel na historia ya mashariki ya kati chukua muda wako isome vizuri,weka mbali ushabiki wa kidini na kisiasa tafakari nilichokiandika utajifunza vingi link hii hapa chiniIsrael ndio inajulikana kama taifa teule la Mungu na kuna ushahidi mwingi mitandaoni kuwa dunia ilianzia mashariki ya kati....
Nguvu waliyo nayo utabiri wa kurejea nyumbani... Namna yao ya kuabudu nakuamini tofauti na imani nyingine ni kama vile inatoa picha kuwa hata wazungu ni watu wa mataifa na si sehemu ya taifa teule! ?
Mawazo na fikra za Paulo chayo,Katika biblia hamna hata sehemu moja aliyosema kuhusu Utatu(Trity),nimekuwekea msatari wa biblia unaosema kuwa Yesu kasema yeye ni mwana wa Adamu,wewe umekuja na hoja Utatu,..Je hiyo mistari yenye maneno ya Yesu Mwenyewe huyakubali,unayapinga!??
Shetani ana hila, ni mjanja mjanja, ana ya jua maandiko, ana wajua hao manabii wengine wote. Shetani ana tambua hao manabii wote walitumwa na Bwana Yesu/Mungu kuja kufanya kazi zake kwa wanadamu pia kuwaletea ujumbe wa Mungu/Bwana Yesu.
Kwa nini Yesu? BWANA YESU ndiye MUNGU. Alipo kuja duniani alikuja kuutimiliza ule unabii wote alio watuma hao ulio waita manabii wengi. Yesu alikuwa ni game changer ni Mungu mwenyewe, ndiye Focal personal , ndiye Mungu tunaye mtafuta siku zote kwa kumuomba, kumtolea sadaka na kumtegemea. Shetani akishindwa kufanikiwa kuvuruga ukweli huu kuwa Bwana Yesu ni Mungu aliye uvaa uwanadamu akaishi kati ya wanadamu aka wafundisha jinsi ya kuwa wafuasi wake, basi shetani ajua kabisa hana chake tena/ kaisha.
Lakini sijui hata hao manabii wengine kama watu wana elewa vizuri kwa nini Bwana Yesu/ Mungu aliwaleta hapa duniani?
Mfano ni Yohana Mbatizaji, kuna mh mmoja anapenda kumtolea mfano na kwa kumuita jina la Quran (sina hakika -Yunusi na dhani). Anasema, "Alikuja kama mtangulizi wa kumsafishia njia Bwana Yesu." Ndio ni kweli ndivyo Biblia inavyo sema na hata yeye Yohana mbatizaji kabla ya ujio wake hapa duniani, Mungu aliwatuma.manabii wakaleta ujumbe kwa wanadamu kuwa kabla Bwana Yesu/ Mungu kuja duniani kutakuwa na mtangulizi wake wa kumsafishia njia. Mama yake na Yohana Mbatizaji ni ndugu wa Mariamu mama wa Yesu. Malaika Gabrieli alitumwa kwa Mariamu na Elizabert Mama wa Yohana Mbatizaji kwa wakati mmoja.
Sasa tatizo ni kwa nini Yohana Mbatizaji kwa nini kusafishiwa njia kwa aliyemtuma? Je kuna nabii mwengine kabla ya Yesu alisha safishiwa njia? What is so special kwa Yesu mpaka asafishiwe njia?, kwa nini manabii kibao kuanzia Musa walitabiri ujio wa Yesu? Utapata jibu, Bwana Yesu ni Mungu na kuja kwake hapa duniani ni kukamilisha/hakiki kazi alizo kuwa amewatuma manabii wake kwa watu wake duniani inayo lenga ukombozi wa wanadamu. Na kusema kweli Bwana Yesu aliikamilisha kazi ya ukombozi wa mwanadamu kutoka katika hukumu ya kifo iliyo sababishwa na dhambi. Ndio alishinda dhambi na kifo.
Lakini nini maana ya kusafisha/kutengeneza njia? Kwa nini Yohana Mbatizaji abatize kwa maji, kabla yake kuna nabii mwengine yeyote alibatiza kwa maji?
Yohana mbatizaji alikuwa ana wandaa wanadamu kisaikolojia kuwa Bwana Yesu atakapokuja ana kuja na Agano jipya (A very New Covenant). Hilo agano litaingiwa kati ya Mungu/Bwana Yesu na wanadamu wote ulimwenguni. Agano hili ni ubatizo. Ubatizo ulioanzishwa kwa maji na Yohana mbatizaji na kukamilishwa kwa uvatizo wa Roho wa Mungu na Mungu mwenyewe pale Bwana Yesu alipo batizwa na Yohana mbatizaji na Roho wa Mungu/ Roho Mtakatifu akashuka kama Huwa/Njiwa kutoka Mbinguni akatua mabegani mwa Yesu. Na sauti ikasikika kutoka mbinguni/ mawinguni ikisema, Huyu ndiye mwanangu mpendwa wangu ni naye pendezwa naye msikilizeni yeye." Hapa kwenye kubatizwa kwa Bwana Yesu tunaona pia nafsi tatu za Mungu zilijidhihirisha zote na waliokuwepo wali zishuhudia ingawa sina hakika kama walipata neema ya kuzitambua. Maana wange zitambua kuwa ndizo nafsi tatu za Mungu na ndivyo zinavyo fanyakazi leo hii kusingekuwa na utata wa utatu mtakatifu wa Mungu wetu/ Mungu wa Usrael. Na hili agano jipya la Bwana Yesu la ubatizo
Lakini tujiulize kama wewe si shetani au mfuasi wa shetani unawakubali vipi manabii na mafundisho yao na uamini kwamba waliletwa na mungu huyo unaye taka kutuaminisha una muamini lakini ukatae Utaifa wao na Taifa lao? Hata wakati mwingine wafuasi wako kujiapiza
kulifuta Taifa hilo na watu wake ambao ndio Mungu mwenyewe aliamua kwa utashi wake wawe ndio kizazi chao kitoe manabii wake.
Ukiangalia kwa undani zaidi haya masuala utagundua kuna watu wametuzidi kete sisi weusi kwenye kuandika haya mambo maana kitaalamu inafahamika its the one with pen who control the story.
Waliopata fursa ya kuandika juu ya haya mambo wamewamba sana hii ngoma kuvutia kwao.
Ila when you check it in your sense unagundua hata Dunia ilivyo watu walioanza walikuwa weusi then watu weupe wakapatikana kutokana na environment factors... Wazungu wamekuwa wazungu kwa kukaa sehemu yenye baridi sana. But probably walikuwa weusi mwanzoni then kutokana na kusafiri zaidi na kufika Europe miaka maelfu iliyopita wakajikuta wako weak in melanin and hair ambao ndio uzungu na mazingira ya ulaya yalivyo yanakushape uwe hivyo.
Ndio maana watu wa afrika wana nywele ngumu na ngozi ngumu ili kuzuia jua kuwadhuru that's wako afrika kwenye mazingira yanayowa favour Ku exist hivyo.. Thus maisha yalianzia afrika then watu walipotawanyika wakaadapt kulingana na environmental reasons.
Kuna mengi sana hatuyajui kwenye hii Dunia. Sema waliopata nafasi ya kuandika ndio wametu control story nzima kwa matakwa yao via maandishi yao.