Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
kuna taarifa za CCM kutumia timu ya taifa kujiongezea umaarufu hasa katika kpindi hiki kigumu cha kuelekea 2015.inadaiwa kuwa kipigo cha jana klikuwa simanzi kubwa sana kwa akina Mwigulu waliopanga kuja kuipokea timu hapa Dar na kuifanyia party ili kuipongeaza na kujionyesha kuwa wanaijali.