Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,363
- 217,396
Asante sana kwa taarifa mkuu , nimekwishaanza uchunguzi huru , nikibaini kuna Ukweli , nitahakikisha hii timu inapoteza mechi zote zilizosalia , tena kwa idadi kubwakubwa ya magoli !
akili yako ndogo sana.inasikitisha.hivi hukumbuki kuwa timu hizi zilikuwa na njaa hadi kuchanguiwa unga na wanchi?hivi hukmbuki kuwa hadi mpishi wa taifa z=starz aliwahigi kugoma?au hujui kuwa ccm ndo ilikuwa ikulu hata enzi hizo?
mm nitampa tabu sana shemeji yenu mana wangeshinda hata hii rasimu ya katiba isingejediliwa.mm naomba tufungwe gemu zooooooooooooooooooooote zilizobaki watanzania wasijedanganywa 2015 kuwa tumeendela hadi tukaenda kombe la dunia.
mm nitampa tabu sana shemeji yenu mana wangeshinda hata hii rasimu ya katiba isingejediliwa.mm naomba tufungwe gemu zooooooooooooooooooooote zilizobaki watanzania wasijedanganywa 2015 kuwa tumeendela hadi tukaenda kombe la dunia.
kuna taarifa za ccm kutumia timu ya taifa kujiongezea umaarufu hasa katika kpindi hiki kigumu cha kuelekea 2015.inadaiwa kuwa kipigo cha jana klikuwa simanzi kubwa sana kwa akina mwigulu waliopanga kuja kuipokea timu hapa dar na kuifanyia party ili kuipongeaza na kujionyesha kuwa wanaijali.
Bora ifungwe kwani kwenye kombe la dunia tutapigwa 20watanzania ni watu wa ajabu sana, ebu angalia jitu kama hili linaombea timu yake ya Taifa ifungwe! ujinga na umaskini wa Tanzania unaletwa na watu kama nyie, bila shaka ndio nyie mnaopinga miradi ya maendeleo katika maeneo yenu kisa eti serikali itapata cha kuongea
Leo ntakunywa bia mpaka basi. Nimefurahi sana kufungwa.
Wangekua na nyodo sana na vi dreads vyao, wanataka eti tuwashangilie! badala ya yao kucheza mpira.
Wewe mwenye akili kubwa inayofurahisha, kwa hiyo unataka waendelee kuchangiwa unga? waendelee kuwa na wapishi wanaogoma? Ilishatokea na tatizo likarekibishwa ndio maana kwa sasa hata wachezaji wanafurahia kuitwa kwenye timu ya Taifa. Yote hayo yamefanywa na serikali ya CCM. Pengine wamejirekebisha kwa makosa yaliyofanywa nyuma ndio maana sasa Taifa Stars mambo yao safi. Ni serikali ya CCM ndio inaiboresha Timu ya Taifa. Subiri Chadema au chama kingine nacho kikiingia madarakani na kuiboresha tutaita Serikali ya Chadema au chama chochote kile ndio kinaboresha timu. Kwa sasa huwezi kuitenganisha CCM na Serikali. Chochote kinachofanywa na serikali ni credit kwa CCM.
watanzania ni watu wa ajabu sana, ebu angalia jitu kama hili linaombea timu yake ya taifa ifungwe! Ujinga na umaskini wa tanzania unaletwa na watu kama nyie, bila shaka ndio nyie mnaopinga miradi ya maendeleo katika maeneo yenu kisa eti serikali itapata cha kuongea
kuna taarifa za ccm kutumia timu ya taifa kujiongezea umaarufu hasa katika kpindi hiki kigumu cha kuelekea 2015.inadaiwa kuwa kipigo cha jana klikuwa simanzi kubwa sana kwa akina mwigulu waliopanga kuja kuipokea timu hapa dar na kuifanyia party ili kuipongeaza na kujionyesha kuwa wanaijali.
kuna taarifa za ccm kutumia timu ya taifa kujiongezea umaarufu hasa katika kpindi hiki kigumu cha kuelekea 2015.inadaiwa kuwa kipigo cha jana klikuwa simanzi kubwa sana kwa akina mwigulu waliopanga kuja kuipokea timu hapa dar na kuifanyia party ili kuipongeaza na kujionyesha kuwa wanaijali.
Leo ntakunywa bia mpaka basi. Nimefurahi sana kufungwa.
Wangekua na nyodo sana na vi dreads vyao, wanataka eti tuwashangilie! badala ya yao kucheza mpira.
Wewe mwenye akili kubwa inayofurahisha, kwa hiyo unataka waendelee kuchangiwa unga? waendelee kuwa na wapishi wanaogoma? Ilishatokea na tatizo likarekibishwa ndio maana kwa sasa hata wachezaji wanafurahia kuitwa kwenye timu ya Taifa. Yote hayo yamefanywa na serikali ya CCM.
NIMEAMINI UNA LAANA.