TAIFA STARS ni Siasa pia

TAIFA STARS ni Siasa pia

Sasa huyu Chamakh anaionea Tanzania tu, hakiwa Arsenal anazunguka tu kama saa
 
Timu ndiyo zinarudi uwanjani. Wamorocco wamekuwa kwa kwanza kuingia; Stars wamejikusanya wote karibu na katikati ya uwanaja naona wanasali
 
Mrwanda anapewa kadi ya manjano kwa kumpiga kikumbo mchezaji mmoja wa morocco. ambaye yupo chinni akiuguzwa.

Uwanjani mashabiki wa moroccoi tofauti na dk 30 zwa mwanzo wa mchezo ambao walikuwa wakishangilia sana, sasa wako kimya kama wamemwagiwa maji
 
Kasena ameokoa goli la wazi kabisa ameuondoa mpira miguuni mwa mchezaji mmoja wa moroko. Ameumia na amelala chini. Wachezaji wote wa T Stars wmemzunguka. Inaonekana maumivu ni makali sana !
 
Nyoso anapewa kadi ya manjano. kwa rafi mbaya. Hata hivyo mprira wa athabu hauzai matunda yeyote
 
maripota mmekimbia tunasubiri wengine hatuna access na tv. matokeo ngapi had sasa jamani
 
Huku ni dk ya 64 anatoka mchezani A Rajabu anaingia Ngassa
 
Morocco wanapata fauli kama mita moja nje ya box ya penalt
 
Kasena ameokoa goli la wazi kabisa ameuondoa mpira miguuni mwa mchezaji mmoja wa moroko. Ameumia na amelala chini. Wachezaji wote wa T Stars wmemzunguka. Inaonekana maumivu ni makali sana !
Hapo kwenye Red Mkuu Unachanganya Madesa
Kasena yule aliyenunua Kampuni ya wazalendo UDA?
 
kwa faulu hiyo, moricco wanafunga goli la pili . Hii ni dk ya 69
 
Back
Top Bottom