Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Tumejitahidi sana....!
Duuu!!!
Tumejitahidi sana....!
Mangi........Haujamuelewa Katavi.......Anamaanisha kwamba tumejitahidi kupunguza idadi ya magoli......Tungeweza kufungwa hata 10 kwa kiwango kibovu tulichonacho...Maximo ni bora sana kuliko hiki kibabu Poulsen......Alikuwa na uwezo wa kuwajenga wachezaji kisaikolojia na kuwa na morali ya kushinda hata wakiwa ugenini....Bado tunayo safari ndefu sana na hakika tumerudi nyuma sana kihatua ukilinganisha na enzi za Maximo....Acha utani.Kodi za watu zimeliwa we unaleta utani.Kufungwa ndo kujitahidi gani huko na kocha mnaye expert?Haya mambo ya kujenga ghorofa hewani.Sawa na mambo yenu ya fly overs.
Acha utani.Kodi za watu zimeliwa we unaleta utani.Kufungwa ndo kujitahidi gani huko na kocha mnaye expert?Haya mambo ya kujenga ghorofa hewani.Sawa na mambo yenu ya fly overs.
Tatizo hatuna mipango, unapeleka timu iliyozimamoto kwa kuweka kambi ya siku 3 bila hata mechi za kirafiki halafu unataka ishinde!