TAIFA STARS ni Siasa pia

TAIFA STARS ni Siasa pia

Heeh!tumefungwa..refa maliza mpira tu..yatakuwa mengi bure..then mara hali ya hewa,mara hatuna mapro,mara unajua uchovu wa safari...ngoja warudi hapa
 
ndiyo bahati mbaya tuliyonayo kila mara
 
dk ni ya 36 Tanzania 0 Morocco 1
 
Tanzania bana,tupo kundi hapa tukitaraji kodi zetu zinaweza kutuweza kuiona timu yetu live lkn matumaini yanazidi kupotea,ina maana tbc1 wamechemka kabisa.
utakuta wako biize kuonyesha taarab au sherehe za sisiem
 
faul mita kama ishirini hivi mchezaji no 19 wa Tz amemfanyia mathambi Shamack.

Kaseja naokoa mpira mkali sana ulipigwa na namba 14 wao
 
Tanzania wanasawazisha kwa kili kali iliyopigwa na namba 16
Tz 1 moroko moja
 
Bao limefungwa na k Sadala
 
Tanzania GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

Goli sa k Sadala
 
I Rajabu anapewa kadi ya manjano. Kaseja anaokoa mpira huo wa athabu ; Hi hatari kubwa.
 
Athabu nyingine nje kidogo ya eneo la hatari. Tusubiri tuone morocco watafanya nini.

dk ni 44 mpira unagonga ukuta na unaokolewa na Tz
 
Ktka kupiga hiyo faulu, inaonekana kasseja ameumiswa. yuko chini anatibiwa
 
Tuko sasa mapumziko magoli ni Tanzania 1 Morocco 1
 
morocoo washashinda goli 1 ndgu
Sio kashinda Neno Kushinda huwa linatumika baada ya mechi tu tena kuwepo anayeongoza Mkuu Ulitakiwa useme Morocco anaongoza Goli Moja...

But now Stars Kachomoa goli so ni 1-1
 
Back
Top Bottom