Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kiuhalisia CCM haijawatendea haki watanzania , maendeleo yaliyopo hayalandani na rasilimali zilizopo.
Leo hii tu maji, umeme na tiba zimekuwa za kupatikana kwa tabu? Miaka 60 ya uhuru?
Madini Lukuki.
Mbadala wa kuig'oa CCM anahitajika lakini sio hawa waganga njaa.
Leo hii tu maji, umeme na tiba zimekuwa za kupatikana kwa tabu? Miaka 60 ya uhuru?
Madini Lukuki.
Mbadala wa kuig'oa CCM anahitajika lakini sio hawa waganga njaa.