Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,213
- 1,639
Huyu wa Magufuli. Mama kashuhulika na wa kwake.Tuanze na Makonda kwanza mwenye uovu wa shetani
Huyu wa Magufuli. Mama kashuhulika na wa kwake.Tuanze na Makonda kwanza mwenye uovu wa shetani
Unaita watu wajinga lakini wewe ndio mjinga kuliko hao.Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Kwa Makonda hakuna waliojitokeza hadharani kulalamika kama wapo wajitokeze.Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Mahakama zipi? Hizi hizi zinazopokea amri toka mama kizimkazi.Kwaiyo lisu kumtaja hadharani ndo ushahidi wa wazi Cha pili lisu ni mwanasheria kama ana ushahidi wa wazi kwanini asifungue kesi mahakamani? Niç
Hii mchi ina watu wanafiki na wenye mihemko mpaka kupitiliza.Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Alienda kufanyaje?Alikwenda kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi (mkuu wa mkoa) ndio maana aliambatana na vyombo vya dola.
Clouds walijotokeza hadharani kulalamika kuvamiwa kituo chao.Kwa Makonda hakuna waliojitokeza hadharani kulalamika kama wapo wajitokeze.
Lisu ni mshenzi tu naitwa mara. Nyingi polisi akafungue kesi haendi yuko bize mitandaoniKama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
1-Kama kwako Lisu ni mtu wa kumtilia maanani kwa matamshi yake basi utakuwa ni mwehu tu.
2-Alipovamia CMG wewe ndiye alikuingiza chupa kwenye kinyeo ama alifanya uhalifu upi?
3-Fuata nyayo za Kubenea ukafungue mashitaka upya na huyo jamaa yako si ni Lawyer!
Je uovu wa msoga gang unafikia hata robo ya idi aminiKama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
We hili la kukalia chupa unaliona dogo...
Machoko utawajua tuAlimpumulia maamko
Kupambanaa na wauza ngada ndiyo uovu?Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.
Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.
Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao
Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Kwahiyo Ben Saa8, Azory Gwanda, Lisu n.k ndiyo walikuwa wauza ngada?Kupambanaa na wauza ngada ndiyo uovu?
Au ulikuwa unafurahia kuona watoto wetu wanasinzia vituo vya usafiri?
Ndio hizo hizo wewe ulitaka afungue wapiMahakama zipi? Hizi hizi zinazopokea amri toka mama kizimkazi.