Taifa liache unafiki. Hivi uovu wa Gekul unafikia hata robo ya ule wa Makonda?

Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Unaita watu wajinga lakini wewe ndio mjinga kuliko hao.

Kwa kuwa kuna tuhuma kubwa dhidi ya Makonda basi uhalifu wa Gekul unyamaziwe, hizii ni sheria za kichwani mwako tu lakini duniani hazitumiki popote.

Lissu kumtaja Makonda haina maana kuwa ndiye aliyehusika. Upelelezi ni zaodi ya mtu kutajwa. Mara ngapi watu wamesingiziwa uhalifu kwa kutajwa tena wakati mwingine katika kura za siri na baadae ikadhihirika watu sa a uhasama wa kuchukuliana wanawake.

Marekani sio kipimo cha haki duniani hivyo hoja kuwa Marekani imemzuia Makonda kuingia kwao sio kigezo Makonda ni muhalifu.

Uteuzi wa .Makonda ni ndani ya mamlaka halali ya CCM iweje CDM na watu wengine nje ndio wapige kelele? Toka lini wapinzani wa chama kimoja wakawatakia heri chama kingine?
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Kwa Makonda hakuna waliojitokeza hadharani kulalamika kama wapo wajitokeze.
 
Kwaiyo lisu kumtaja hadharani ndo ushahidi wa wazi Cha pili lisu ni mwanasheria kama ana ushahidi wa wazi kwanini asifungue kesi mahakamani? Niç
Mahakama zipi? Hizi hizi zinazopokea amri toka mama kizimkazi.
 
Sexless unafikiri sana na ukicheza utapata msongo wa mawazo. Hii dunia hakuna haki,unaweza fuatilia saaaana ukagundua hata huu uamuzi una hidden agendas nyuma yake na si haki. Haki ni mbinguni tu. Tuko wengi tunajiuliza sana ila tunaenda na upepo wa pongezi ila tukiwaza kina mwafulani mbona bado wanadunda,nafsi zinatusuta kwanini fulani hakupata haki? Marehemu wote wapumzike kwa amani,waliopata ulemavu Mungu awape nguvu,waliobaki na msongo wa mawazo kwa kubakwa,kufilisiwa na kuteswa pia Mungu awape nguvu. Nawatakia Jumapili Njema.
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Hii mchi ina watu wanafiki na wenye mihemko mpaka kupitiliza.
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Lisu ni mshenzi tu naitwa mara. Nyingi polisi akafungue kesi haendi yuko bize mitandaoni
 
1-Kama kwako Lisu ni mtu wa kumtilia maanani kwa matamshi yake basi utakuwa ni mwehu tu.

2-Alipovamia CMG wewe ndiye alikuingiza chupa kwenye kinyeo ama alifanya uhalifu upi?

3-Fuata nyayo za Kubenea ukafungue mashitaka upya na huyo jamaa yako si ni Lawyer!
 
1-Kama kwako Lisu ni mtu wa kumtilia maanani kwa matamshi yake basi utakuwa ni mwehu tu.

2-Alipovamia CMG wewe ndiye alikuingiza chupa kwenye kinyeo ama alifanya uhalifu upi?

3-Fuata nyayo za Kubenea ukafungue mashitaka upya na huyo jamaa yako si ni Lawyer!

Mmh! CCM huwa hawezi kunjenga hoja, ni watu wa kutoa matusi tu
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Je uovu wa msoga gang unafikia hata robo ya idi amini
 
Kama kweli tunajali maadili na haki za watu basi Makonda alipaswa kuwa anaozea Segerea kwa maovu makubwa aliyoyafanya. Lkn bado anapewa cheo huku mikono yake imejaa dhulma na damu nyingi za watu.

Ushahidi uko wazi kabisa: Lissu kamtaja hadharani, mwandishi wa magazeti ya Mwanahalisi kafungua mpk kesi lkn ikazimwa na serikali, Manara kaandika hadharani tuhuma za Makonda za uporaji wa nyumba ya GSM.

Mbali na hayo pia CCTV video clips zipo zikimuonesha anavamia studio za Clouds. Na hata Serikali ya Marekani ilisema kuwa mtu huyu anadhulumu haki ya watu kuishi (anaua), mpaka ikampiga marufuku kukanyaga nchini kwao

Halafu kuna wajinga wanamsifia Rais kwa maamuzi ya kinafiki dhidi ya Gekul.
Kupambanaa na wauza ngada ndiyo uovu?
Au ulikuwa unafurahia kuona watoto wetu wanasinzia vituo vya usafiri?
 
Vijana tupunguze bangi, sio nzuri kwa afya zetu. Unahalalishaje uovu wa Gekul kwa uovu wa Makonda?. Acha ujinga
 
Back
Top Bottom