Taifa la Ovyo namna hii!

Taifa la Ovyo namna hii!

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,181
Reaction score
41,657
Hapo juu wanakabana koo,

Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!

Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti anatuma Bashite ku test huu ni ujinga,
we are not even sure kama atatoboa kufika 2030!

Machungu sana aisee

Ngoja tuone ! Ma vitu ka kijinga sana


Britanicca
 
Hapo juu wanakabana koo,

Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!

Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti anatuma Bashite ku test huu ni ujinga,
we are not even sure kama atatoboa kufika 2030!

Machungu sana aisee

Ngoja tuone ! Ma vitu ka kijinga sana


Britanicca
Well unatarajia mabadiliko yoyote kwa gov yenye mizaha na power hungry ?

Tarajia things to get worse
 
Hapo juu wanakabana koo,

Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!

Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti anatuma Bashite ku test huu ni ujinga,
we are not even sure kama atatoboa kufika 2030!

Machungu sana aisee

Ngoja tuone ! Ma vitu ka kijinga sana


Britanicca
1774675738089.jpg
 
Hapo juu wanakabana koo,

Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!

Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti anatuma Bashite ku test huu ni ujinga,
we are not even sure kama atatoboa kufika 2030!

Machungu sana aisee

Ngoja tuone ! Ma vitu ka kijinga sana


Britanicca
punguza porojo gentleman
 
Hapo juu wanakabana koo,

Kuna mkuu hatamaliza miaka miwili hapo top! Kisa anatamani nafasi ya Mkuu wake zaidi Mambo yanayopikwa yako beyond belief!

Kampango ka kufanya bibi aendelee 2030 eti anatuma Bashite ku test huu ni ujinga,
we are not even sure kama atatoboa kufika 2030!

Machungu sana aisee

Ngoja tuone ! Ma vitu ka kijinga sana


Britanicca
Wenyewe waparuane tu
Najua jua mmoja wao hatakua hai hadi 2030
 
View attachment 3563826
Huu ni ushahidi kuwa hawa washenzi wanakulana wenyewe ndani ya CCM na serikali yao haramu

Na bado. Watamalizana wao kwa wao na watasemana tu nani alifanya nina kwenye mauaji ya halaiki ya MO29
Bashite anawatingishia tako lake anafikiri ni wenzake kumbe wanamtumia tu for a while then wanamkolimba, soon wanampa Wizara ya Mambo ya Ndani na hapo ndiyo wataenda kum fix once and for all.
 
Nchi imegeuka ‘Wild West’ nadhani Tanzania ilibidi ipite hii njia kujifunza swala la kuongoza nchi nafasi za juu sio za mtu yeyote i.e raisi na maafisa wa vyombo vya usalama na ulinzi.

Yaani hovyo kweli huku TFF wanalazimisha vibali kubashiri match, huku CCTV mara inataka kibali na feees, kila mtu na lwake.

Itakuwa miaka mitano mirefu sana ya kujifunza kwa kila mtu raia na viongozi wazalendo.

Swala la kuongoza nchi sio la mzaha, imekuwa watu wakijisikia tu wanajianzishia vyanzo vyao vya mapato.

It’s chaos
 
Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao
Kama vile utaishi milele.

Lakini ukitafakari juu ya kifo, na ukajua kwamba siku moja utalala mauti, utawapenda wenzio, utawalinda, utawaheshimu, na ukiwa kiongozi utaongoza kwa HAKI. Tuache kiburi cha uzima, kifo kipo. Na hilo ndilo neno la leo.
Tumsifu Yesu Kristo 🙏🏽
 
Back
Top Bottom