Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Mkuu Lunyungu, ukisoma mada zangu za nyuma kuhusu hii subject ndio utaelewa kwa nini taifa tumekwama maana toka BCS siku zote nilikuwa na hii mada nikasema wanaofaa na wasiofaa, ndio maana huwa ninaipenda sana hii subject ukienda kule nyuma ukapata archives utaona wale niliosema hawafai wakachaguliwa anyways, hakuna nilipokosea! ha! ha!
- Dr. Slaa niwe mkweli sana, ninamuona makini sana kwenye role ya uongozi wa upinzani bado sijaweza ku-transform jinsi gani mawazo yake yanaweza kulisaidia taifa as a President, nina heshimu sana mchango wake kwa taifa, lakini hapa ninaongelea kiongozi anayeweza kulisaidia taifa letu likasogea mbele kuliko tulipo sasa! au badala ya Rais tu as usual!
Willie @ NYC, USA.
so shida yako tuseme nani anafaaa kuwa raisi kutoka ccm?
dah