Tai: Ndege mchafu mwenye kuuokoa ulimwengu

Tai: Ndege mchafu mwenye kuuokoa ulimwengu

Kiswahili anaitwa TUMBUSI -vulture …shida kuna kamusi fake zina-refer , eagle 🦅na vulture kama Tai
 
TAI HAWAUI, WANAHIFADHI

Hawawindi
Wanasubiri kilichokufa.
Kisha wanakisafisha.
Huu ni wajibu muhimu wa mwisho wa asili. KUHIFADHI.

Mkuu mshana, Tai wanaua wanyama kama sungura, digigi na hata watoto wa mbuzi na kondoo, wakitokeza kwenye eneo wazi, hasa maeneo ya pori lenye miti mirefu na mapango ya milima na mawe. ambapo ndipo makazi ya Tai.
Tofautisha Eagle,Hawk,Falcon,Tai vulture(Furukombe)
Hawa Eagle ndio wenye uwezo wa kubeba mbuzi wao wanawinda ila Vulture wanakula vitu vilivyokufa au wanaita Carrion au carcas yaani mizoga
 
Mshana atema bungo tena!
Mshana atoa boko kwa mara nyingine!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom