Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Kama kuna mtu anafikiri kapinda basi sizonje kapinda zaidi yake...!
Sina wazo la kuandamana maana sidhani kama muda wa kuandamana umefika na sioni right cause ya Mimi kuandamana Dada yetu katangulia mbele ya haki..namwachia Mungu but sizonje navyomjua anaweza hata na yeye kuja battle ground atembeze virungu na njugu mawe kwa wale wafuata upepo wa kuandamana.
Sina wazo la kuandamana maana sidhani kama muda wa kuandamana umefika na sioni right cause ya Mimi kuandamana Dada yetu katangulia mbele ya haki..namwachia Mungu but sizonje navyomjua anaweza hata na yeye kuja battle ground atembeze virungu na njugu mawe kwa wale wafuata upepo wa kuandamana.

