Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

Hoja sio kuandamana, hoja ya msingi ni kwa nini waandamane. Je, sababu za maandamano ni tatizo linalogusa Watanzania wengi au ni frustration tu za baadhi ya watu wanaodhani malengo yao binafsi ya kisiasa na kijamii yamezibwa.

Naona yule dada yao wa Marekani bado anaendelea kuwashikia akiri makamanda.

Alianzisha zoezi la kuchoma kadi za CCM, sijui liliishia wapi?

Kwa sasa anakuja na utumbo wa kuandamana eti ili kuiondoa serikali madarakani! Huyu anadhani kuondoa serikali madarakani ni kama kuvunja ndoa wakati wowote au kutafuta penzi kwenye mitandao!

Unajua kuna baadhi ya watu wadanganywa sana na vikoment au vi-like vya kwenye mitandao mpaka wanadhani Tanzania ni mitandao ya Kijamii.

Wanadhani hata Ikungulyabashashi kwa kina Nyani Ngabu wanaishi kwenye mitandao ya Kijamii!

Hizi kelele baada ya siku tatu zitaisha halafu wataibuka na suala jingine.

Tanzania kuna vituko!

Dada wa marekani nimemsoma na baadhi ya details anazozitoa are so clessified inaonekana anapata feed ya baadhi ya watu walio kwenye very stretegic posts ....kuna vitu anaandika unaona kabisa mtu wa kawaida hawezi kuvipata ....it seems kuna uvujaji wa siri au wa situation ndani ya serikali wa makusudi ....
Hata mfano anavyoandika the current mood in the millitary ,police ,TISS and other establishment kuwa morale ipo all time low ....sio kitu tu inaonekana nako huko kuna watu wanampa feed
 
Mimi nashauri tahrir square ya Tanzania siku hiyo iwe pale pale eneo alilouawa Yule Mwanafunzi. Yani hii itakuwa ni Zaidi ya Tunisia aiseee
 
Hii ni kutoka 2018!

Baada ya maneno meeengi, hakukutokea lolote la maana.

Watu waliishia kuandamana kwenye vi keyboards vyao.

Supposedly, kuanzia kesho eti kutakuwepo na maandamano yasiyo na kikomo, nchini kote.

Yeah right....I’ll believe it when I see it.
 
MKuu that was CHADEMA na naona walikuelewa, ila hi ya sasa ni ya Waanchi naamini hawajkusikia bado, Labda pandisha uzi mwingine wakusikie na uongee nao.
Otheriwise naiona tarehe 26-4-2018 ya amani na furaha kwa waTz na wewe ukiwepo.
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.
 
Tahrir square ya Tanzania itakuwa Chato ikiongozwa na jesika
 
Back
Top Bottom