Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

HAmia kenya basi.Kenya na Tanzania ni nchi tofauti zenye majina tofauti na mambo tofauti.Tanzania is not a Copy cat of Kenya
Ustaarabu unaigwa wewe mbulula! Ukishindwa kuiga ustaarabu wa wengine eti kwa sababu kila mtu anajina lake basi wewe utaitwa "mshenzi"
 
Jamaa si angetoa hizo mil50 kila kijiji haya yote tungeyasahau!ukiwa huna ela una hasira unaweza kuandamana hata peke yako eti

Hio ya kuandamana peke yako iko kali sana mkuu,😀
 
Anzia kwako tafadhali tutajie jina lako usijiite babu M mana M haijulikani inamaanisha matako,matango,mapumbu,mazuzu ama nini mkuuu
Mnachojua ni matusi ambayo inachangiwa na kutokuwa na cha kuandika.

Wazungu wanakwambia “talk the talk...walk the walk”. Mimi ningekuwa ninafanya kampeni za kuhamasisha watu kuandamana, ningekuwa wa kwanza kutumia jina langu na kwenye maandamano ningekuwa mbele.

Wanaotakiwa kuweka majina yao halisi ni hao wanao tuhamasisha kuandamana.
 
Mnachojua ni matusi ambayo inachangiwa na kutokuwa na cha kuandika.

Wazungu wanakwambia “talk the talk...walk the walk”. Mimi ningekuwa ninafanya kampeni za kuhamasisha watu kuandamana, ningekuwa wa kwanza kutumia jina langu na kwenye maandamano ningekuwa mbele.

Wanaotakiwa kuweka majina yao halisi ni hao wanao tuhamasisha kuandamana.
Sawa wewe huhamasishi ila si unataka uwazi na ukweli kwenye kila jambo talk the talk taja jina lako matako weee usitureteee porojo na kujaza watu ujinga
 
Hio ya kuandamana peke yako iko kali sana mkuu,😀
Acha tu rebeca.unafanya kila jinsi ya kupata ela lakini the harder u try the worse it gets!yaani sumtimes natembea naona km mwili km sio wangu!unaweza kupata kichaa huu mwaka tu nimekula loss karibia mil16.acha tuuu
 
Acha tu rebeca.unafanya kila jinsi ya kupata ela lakini the harder u try the worse it gets!yaani sumtimes natembea naona km mwili km sio wangu!unaweza kupata kichaa huu mwaka tu nimekula loss karibia mil16.acha tuuu

Oole sana rafiki, ni upepo tu utapita
 
Mnachojua ni matusi na mnachoendeleza mitandaoni ni matusi na bullying!
Sidhani kama nimekutukana. Nimekushauri upanue uelewa wako ili kuweza kujua nguvu ya social media.

Kumbukumbu zote duniani zinaonesha jinsi social networks zilivyoweza kusababisha kuanguka kwa tawala za Misri, Tunisia na Libya. Wewe unasema hazina nguvu!! Ni dhahiri hujibidishi kuujua ukweli. Nimekushauri tafuta namna ya kuongeza ufahamu. Siamini kama ni tusi.

Unadhani ni kwa nini leo hii watawala karibia wote duniani wanatumia social networks kuwasiliana na watu wao?
 
Mkuu hivi wewe kwenu nahisi umelelewa na baba sana sana. Una tatizo linaloitwa inferiority complex wengi ya watu waliokosa malezi au kunyonya maziwa ya mama udogoni au kukatishwa linawakumba Sana lakini lina tibika ukiwaona psychologist wa brain

Mara nyingi mnakuwa watu wa mihemko, wapenda kuwa negative, kujibu kitu kabla hata ya kumaliza kusoma. Hasira hasira za kijinga

Mbaya zaidi ni waandishi wa takataka za kimawazo. Try to be positive na punguza mihemko na povu
 
Karibu sana mpendwa
performance-with-crocodiles-at-samphran-elephant-ground-near-bangkok-bg6pmg.jpg
Hivi ni vitisho lakini amini nakwambia dola inaweza kuamua kuuwa kwa mfano lakini hamuwezi kuuwa kuwamaliza wote. na baada ya kuwaua huyo mwenyekiti wa ccm ajiandae kuishi kifungoni maisha yake yote.
 
Serikali za kiarabu hazikutaka kushughulikia maandamo yalipoanza.Issue sio network tu ni action inatakiwa kuanza mara moja.Waarabu walichelewa kuchukua hatua uasi u;ipokuwa kiwango cha chini.Ukisema hakuna kukusanyika iwe ni hakuna full stop.Anayegoma hujui ana bomu kwenye makalio yake au vipi inabidi akabiliwe kwa nguvu zote sababu huwezi sema ni mwandamanaji asiye na silaha ulimsachi saa ngapi kujua anayo au hana? Tanzania ukiandamana ukiambiwa acha acha polisi hawana muda wa kuongea au kukusearch kujua una silaha au huna ni kukutwanga tu
 
Kile kitendo cha watu kuanza kuongea tu mitandaoni suala la kuandaa mgomo nayo ni hatua usibeze.
Mimi ninaongelea Maandamano, wewe unaongelea mgomo!

Kwa kukusaidia, kuandaa maandamano ni rahisi kuliko kuandaa mgomo.

Kama kuandaa maandamano tu wamewashindwa, huo mgomo wataweza?

Kuongea kwenye mitandao haijaanza leo.

Umesahau kipindi cha Rais Kimwete kuna baadhi ya watu walifanya maandamano mpaka Marekani. Nini kilitokea?

Ninadhani wewe unaongea kwa mihemko!

Mimi ninaongea kwa kutumia uzoefu na mazingira ya jamii ya Kitanzania.

Hizi kelele baada ya siku tatu zitaisha na tunaanza kusikia kelele zingine.
 
Back
Top Bottom