Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

Teh teh teh. Kuangusha serikali kuna linganishwa na kuvunja ndoa au penzi. Na aje huku asaidie kuorganize maandamano. Anasemea mbali

Hatukuandamana wakat tunasaini mikataba ya kipuuzi kuwapa bure madini yetu. Tunataka kuandamana kipindi tunataka kurekebisha mapungufu Yale. Wadanganyika bwana
 
Mmmmm hii sasa anavuka mipaka kama anaaza kushawishi watu waandamane.hapa ndio urudi ktk dini mtume Muhammad s.a.w.anasema ukiona mwanamke anawaongoza wanaume basi subili kiama.akiwa na maana dunia itakua inakaribia mwisho.na sehemu nyengine akasema ukiona mambo yako unaongozwa na mwanamke basi kuishi kaburini ni bora kiliko duniani.sasa turudi kwahuyo dada tanzania wa marekani je yeye na wanawe watakujakuja kutusaidia kulikomboa taifa? Akili ya kuambiwa changanya nayakwako.(kikwete)
 
Nyani Ngabu, hata iwapo agenda ya kuandamana ingekuwepo, mtu mtanzania gani mweneye akili timamu ataandamana pasipokuwa na uongozi? Aandamane akiongozwa na nani, na nini (lengo kuu)? Upinzani wa hapa kwetu hauna uongozi imara wala agenda ya kudumu isipokuwa kuzengea matukio na/au ruzuku. Sasa hao wazengea ruzuku na matukio watamshawishije mtu, Mtanzania, mwenye akili timamu aandamane kuwaunga mkono?
 
Ningekuwa mimi ningefungua kesi mahakamani kuhusu hizi election irregularities.

Lakini CDM hawawezi kufanya hivyo. Wamebaki kulalamika na kunung'unika tu mitandaoni.

Well, NEWS FLASH.
Watanzania wengi wapiga kura hawako mitandaoni na kwa sasa wanaikubali serikali ya Magufuli. Hizi tulizoshuhudia ni rasharasha tu, usubiri 2019 na 2020. Itakuwa ni VILIO NA KUSAGA MENO.

CDM, go back to the drawing board. Wananchi wamekwishawashitukia.
 
Nakumbuka Kenya waliweza kukutana mpaka kumwapisha Raila pamoja na ubabe wa polisi wao japo haikua na umaana sembuse wangekuwa wanadai katiba!! Kunanchi watu hawataki ujinga kabisa.
Hao wana dual citizenship baba bongo hamna hio unaona yule Miguna kapelekwa zake Canada wale viongozi wamejipanga kotekote huku ukizingua ukifutiwa uraia wako ndo basi tena
 
Mbele aanze Mbowe kwanza akifuatana na Lowassa,Seifu,Zero na watoto wao na wake zao ndio wengine wafuate.
 
Jitahidi sana uandike wosia kabla hujaandamana.

Pia usisahau kuandika orodha ya wanaokudai.

..........Ahsante kwa kuelewa..........
 
Hatukuandamana wakat tunasaini mikataba ya kipuuzi kuwapa bure madini yetu.

Kama huwezi kuona mabadiliko ya kidunia, kijamii, kisiasa na kiuelewa kati ya 1990s na sasa, basi ni haki kuandika ulichokiandika.

Tunataka kuandamana kipindi tunataka kurekebisha mapungufu Yale. Wadanganyika bwana

Mnataka? I thought 'mmesharekebisha'. Anyways, yaani aliyesababisha tatizo ndiyo huyo unategemea alirekebishe! Kweli mdanganyika. Yaani unaamini kabisa fisadi Magufuli ana nia ya kurekebisha uwizi ambao alishiriki kuubariki?

[HASHTAG]#kalaghabaho[/HASHTAG]
 
Watanzania wameanza kjwaza kivingine. Tumefika pabaya sana. Dikteta anaetawala kwa mkono wa chuma hakubaliki, atatoka tu!!
 
Mimi mbona kila siku huwa naandamana aisee. Hii ya silence ndo safi tutaona na hivyo viwanda 2025... Dadeki
 
Nani kakwambia iko locked... sikunile tu.lowasa alivyokuwa anachukua fomu watu 1000 tu walitaka kupiga mabomu walivyoona ile nyomi ilibidi wasande...na hata hawakuzidi buku 2. Ndio unambie mikoa 25 yote ilipuke ndo waweze kuzuia...hata wajigawe mara laki hawataweza kuzima.
JWTZ ujue wapo pia naona unaota polisi tu.
 
Nani kakwambia iko locked... sikunile tu.lowasa alivyokuwa anachukua fomu watu 1000 tu walitaka kupiga mabomu walivyoona ile nyomi ilibidi wasande...na hata hawakuzidi buku 2. Ndio unambie mikoa 25 yote ilipuke ndo waweze kuzuia...hata wajigawe mara laki hawataweza kuzima.
Acha uongo siku anachukua fomu alipewa kibali cha kusindikizwa na wafuasi wake toka buguruni hadi ofisi za tume na polisi .Wagombea wote walipewa uhuru huo bila ubaguzi.Lowasa akaja na nyomi zake za kukodi hakuna aliyembughudhi
 
Juyu si ndo yule nyani mtu alomwiita mtukufu wetu kuwa ni bomu?
 
Mkuu hapa unataka kusema mini? Kwamba Tanzania inaongozwa na magaidi ndo maana kila kitu ni mtutu wa bunduki? Au hizo nchi nyingine hazina sheria isipokuwa Tanzania tu
 
Back
Top Bottom