Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

tumeshajifunza waandamanaji wakianza day one polisi wanatakiwa wahakikishe hakuna atakayerudi day two kuandamana akiwa mzima au mfu
Uzuri Wa bahati risasi za police wetu huwa hazina macho.
 
Hivi makamu Wa rais Tanzania haongozi watu au yule ni mwanaume? Jamani this is too much kwanini unadharau mama zetu?
 
Rejeeni matokeo uchaguzi 2015! Unadhani Watanzania wangapi wameshawishika na sera awamu ya 5? Wapo wa Tz wengi pia wasio na upande,wanafata uhalisia wa maisha! Si mbali sana watu hawatavaa kijani kwa aibu na kuhofia usalama wao.Endeleeni kupandikiza chuki hakika mtavuna mnachopanda!
 
jwtz ujue wapo pia naona unaota polisi tu.
Kwa hiyo kigezo cha kujiamini hivi ni huo mshahara tu mnaowalipa? Au serikali ndiyo baba yao,mama yao na ndugu yao? Jamani tumieni akili hata hao wanaweza kukataa mishahara yenu na wakawageuka.usiongee kama umekatwa kichwa
 
Au hizo nchi nyingine hazina sheria isipokuwa Tanzania tu
Kila nchi ina namna yake wengine polisi na jeshi hawasimamii sheria kikamilifu mfano za usalama barabarani kiasi kuwa watu wakiamka tu waweza ingia tu barabarani na kuanza kuandamana
 
Zanzibar kule walikomdhibiti seif na wafuasi wake uchaguzi uliopita,Thubutu
Maadamano ya amani yanawezekana kabisa kwani ni haki ya kikatiba kufanya maandano ili watu wa wasilishe mawazo yao kwa serikali itambue kuwa kile wanacho wafanyia wananchi sio haki hata kidogo.

Na hii ili iwezekane yaanze kwa kupitia viongozi wetu wa dini wale ambao wasio wanafiki kabisa wanao amini kikweli kweli kuwa Mungu yupo na kuwa huyu Mungu wanaye muamini hapendi dhuluma, nina hakika ina wezekana kabisa.

Njia nyingine ni kwa viongozi wa Dini zote waungane na kuiambia serikali waziwazi juu ya matendo maovu yanayo fanyiwa hawa wafuasi wao ambao huwenda sio tu kwamba hawa wezi kufanya maandamano bali wana hofu ya Mungu ambayo hufundishwa na hao hao viongzi wa dini kuwa wacha Mungu wana stahili kuwa heshimu viongzi wao ikiwa ni pamoja na serikali iliyopo madarakani.

Hilo ni fundisho zuri sana juu ya utii kwa mamlaka zilizopo well, lakini ni vipi ikiwa hizo mamlaka sasa zimeuona huo utii Kama ni ujinga wa wananchi?
Chonde chonde viongozi wetu wa kiroho ili nchi iende vizuri jueni kwamba mchango wenu pia unatakiwa ili kunyoosha pale palipo pinda.
Na sifa kubwa kwa viongozi wa dini ni kuwa wakweli na wala sio kuwa wanafki.
 
Maadamano ya amani yanawezekana kabisa kwani ni haki ya kikatiba kufanya maandano ili watu wa wasilishe mawazo yao kwa serikali itambue kuwa kile wanacho wafanyia wananchi sio haki hata kidogo.
.
Kifungu kipi cha katiba kinachoruhusu maandamano na kimetaja maandamano?
 
Hivi makamu Wa rais Tanzania haongozi watu au yule ni mwanaume? Jamani this is too much kwanini unadharau mama zetu?
Sio mimi ni maandiko.ukimaliza kufikiria kuwa tunawadharau rudi ktk bibria kuna andiko linasema mwanamke naasinene mbele ya wanaume.ukimaliza nitajie jina hata moja la nabii mwanamke
 
Uwekezaji bora kabisa uliofanikiwa karne hii uko Tanzania, na aina ya huo uwekezajini "UJINGA", bila ujinga Tanzania hakuna CCM..
 
Sio mimi ni maandiko.ukimaliza kufikiria kuwa tunawadharau rudi ktk bibria kuna andiko linasema mwanamke naasinene mbele ya wanaume.ukimaliza nitajie jina hata moja la nabii mwanamke
Nabii mwanamke alikuwepo mama mmoja anyeitwa Debora
 
Njia ya kwanza kuandamana nikijua nyumba zote za askari zilipo mnaanza kuzitia moto hizo then mnaingia kitaa. Hakuna askari atayeacha familia eti akamlinde mwasiasa.
Mngejua hata hao polisi wanatamani kweli haya yatokee ili huyu mnywa damu aondoke...
We jitoe ufahamu tu hapa wakati Da Mange wenu amesema yeye ataandamana Washington DC sio hapa bongo. Ameshawageuza maandazi yaliyogoma hamira.
 
Maandamano huanzishwa na wachache na kisha kuungwa mkono baadae
 
Back
Top Bottom