Tahrir Square ya Tanzania

Tahrir Square ya Tanzania

Hakuwezi kukosekana wajinga wachache. Baadhi yao sasa hivi wapo jela wakati aliyewahamasisha amejificha!

Ndio maana kuna neno “nyumbu”
Wajinga hao hao wachache ndio waliomkimbiza Gaddafi.
 
Acha tu rebeca.unafanya kila jinsi ya kupata ela lakini the harder u try the worse it gets!yaani sumtimes natembea naona km mwili km sio wangu!unaweza kupata kichaa huu mwaka tu nimekula loss karibia mil16.acha tuuu
kwa hiyo umekula loss ya milioni 16 badala ya kufikiria ufanyeje ili loss ipungue unawaza maandamano? Kwa hiyo ukiandamana ndio hiyo loss itaondoka?
 
Suala la Makonda ndo basi tena. Lilishapita kama upepo.

Nakumbuka kuna watu walidai sijui watamfungulia mashitaka, mara sijui watampeleka tume ya maadili...mpaka leo Makonda bado ni mkuu wa mkoa.
 
Kama yeye sio mwoga aje Dar kuhamasisha. Tulishaambiwa, akili ya kuambiwa, changanya na yako.
Wanaposikia mambo kama haya Serikali ya Magufuli tayari wanajitayarisha mkao wa kula, wanajua siku yao ya kunywa damu za raia wasio na hatia iko njiani. Siku hiyo si ajabu tayari wanayo orodha ya Watanzania watakaopoteza maisha na si lazima uwe kwenye hayo maandamano kama tulivyoshuhudia kwa Aquilina.

Jeshi letu la polisi wanapigania kupandishwa vyeo kulingana na idadi ya vifo walivyovisimamia dhidi ya Watanzania. Bunduki na risasi wanapewa polisi wetu si kwa nia ya kuwalinda wananchi wanaokamuliwa waweze kulipwa mishahara bali kuwaua ili waonekane wanafanya kazi...hapa kazi tu.
 
Mambo ya kuchoma kadi hahahahahaaaa.

Bila kuwa na political focus, haiwezekani kufanikiwa kisiasa.

Leo anazozana na kutukanana na mwanamuziki fulani halafu kesho anaibuka tena na suala la siasa.

Kesho kutwa anatukanana na viongozi wa dini halafu siku inayofuata anaibuka na suala la maandamano ya kisiasa.

Kwa mantiki hii, watu wanamchukulia kama kiburudisho tu cha kupoteza muda na umbea.hasa ikichukiwa kuwa baadhi ya watanzania wanapenda sana umbea umbea!
 
tumeshajifunza waandamanaji wakianza day one polisi wanatakiwa wahakikishe hakuna atakayerudi day two kuandamana akiwa mzima au mfu
Nyie endeleeni kubeza wakati fund raising kufanikisha maandamano inaendelea ndani na nje ya nchi.
 
Tutakuwa tunaimba ule wimbo maarufu wa kinondoniL
makufuli akifa, Mimi siwezi kulia
Nitalitupa kagera. Liwe Chakula cha mamba!!x10
 
Dada yale aishie ng'ambo anahamasisha watu waingie barabarani huku yeye kajificha nyuma ya iPhone
 
Kama mlishindwa kupambana na mkoloni wa kiengereza mpaka alipoamua kuwapa uhuru kupitia makaratasi. Mtaweza kuandamana kumuondoa sizonje. Poor wadanganyika
 
Waarabu waliandamana mwezi mzima maana walikuwa na uhakika wa kula for the next coming days..!

Waswahili ni siku moja tu ya maandamano kisago wanachopata jumlisha na njaa..kesho kila mtu kaenda kibaruani kutafuta mkate wa kila siku na movement inaishia hapo.
 
Back
Top Bottom