Nawaombeni mnisaidie, nataka kujua mitihani ya TAHOSA (Tz head of school ass.) inalipiwa shilingi ngapi? Je, kuna tofauti yeyote ya malipo hayo kati ya shule na shule?
Inategemea na kanda, siyo kati ya shule na shule. Ila kwa kuwa TAHOSSA hawatoi steshenari zote kama bahasha, nk. na pia gharama za usimamizi (supervision & invigilation), baadhi ya shule huongeza senti chache kufidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.