cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,611
- 137,280
Niliozwa mke kumbe alikuwa mke wa mtu, siku tumelala saa sita usiku eti mjumbe na mume mwenzangu wamekuja kunifumania! Eti akanisamehe ila mke kamchukua, dili la pande mbili, nilikooa eti yule ni yatima hapa si kwao walipanga tu kwa muda.