Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Uwii Nimepata kinyaa.
Nimekumbuka nilivyokuwa naokota kuku bandani wakiwa wamedondoka, roho inauma hata kubeba siwezi.
Kumbe ndio tunaolishwa mijini


Mi ndo maana huwa sili kuku mtaani,,ntakula mishkaki ya ng'ombe tu.