Tahadhari tusiyoizingatia

Tahadhari tusiyoizingatia

Tuaambiwaga your brain doesn't know what it can not do until you tell it
1466229134380.jpg
 
Duu mmh...! Kwahiyo hapo ni wazi kabisa kulikuwa na clear channels za tahadhari toka kwa Kitale, na hata kule kukataa wasisafiri siku ile na matukio yote yaliyofuatia ilikuwa ni mwendelezo huo huo wa tahadhari lakini hakuna aliyeweza kuzing'amua kwa hakika
Mume wangu alipania safari siku hiyo toka asubuhi anawahi deal lake safari ilitakiwa ianze saa 6, mie nikamuandalia kila kitu, kufika saa 4 nikaanza kupata wooga wa ajab, wasiwasi ikabidi nimwambie usiende hii safari nenda kesho, akaniambia wivu sasa huo mi naenda kikazi, jamanii nilimbembelezaa asiendee hadi chozi ujue hadi nikajishangaa, hee muda umefika wenzake wakaja kumpitia walikua na usafiri binafsi, akawaambia msikieni huyu ananizuia safari wanawake wengine bana maneno kibao akabeba kirago chake huyoo wakaondoka, baada ya nusu saa huyu hapa karudi, heee akaniambia huwezi amini amepaatwa na tumbo ghafla amerudi wenzake wameenda mama miaaa masaa 2 tu simu wamepata ajalii na mmoja kafa palepaleee[emoji24].
 
Mume wangu alipania safari siku hiyo toka asubuhi anawahi deal lake safari ilitakiwa ianze saa 6, mie nikamuandalia kila kitu, kufika saa 4 nikaanza kupata wooga wa ajab, wasiwasi ikabidi nimwambie usiende hii safari nenda kesho, akaniambia wivu sasa huo mi naenda kikazi, jamanii nilimbembelezaa asiendee hadi chozi ujue hadi nikajishangaa, hee muda umefika wenzake wakaja kumpitia walikua na usafiri binafsi, akawaambia msikieni huyu ananizuia safari wanawake wengine bana maneno kibao akabeba kirago chake huyoo wakaondoka, baada ya nusu saa huyu hapa karudi, heee akaniambia huwezi amini amepaatwa na tumbo ghafla amerudi wenzake wameenda mama miaaa masaa 2 tu simu wamepata ajalii na mmoja kafa palepaleee[emoji24].
Duu Mungu wangu
 
875b6f11e33177ef98fddb3984dcbead.jpg
Ushuhuda wa kuhuzunisha wa Shauritanga girls boarding school
Nakukumbuka ilikuwa ni 1994 (kama sijakosea) ulipotokea moto kwenye shule tajwa hapo juu ambao uliondoka na mabinti 41 (kama sijakosea tena) kati yao kulikuwa na ndugu wawili
Tunafahamu ishu za kutoroka shule hasa weekend na kwenda home hasa kama sio mbali
Weekend hiyo wale mabinti wawili walitoroka na mpango wao ilikuwa wakalale nyumbani na kurudi Shuleni Jumapili
Wakashinda nyumbani vizuri na wazazi wao ilipofika jioni wakatakiwa kurudi shule (wazazi hawakuwa na lengo baya) mabinti walijitetea kwa nguvu zote mpaka kusaidiwa na mama lakini baba alishikilia msimamo wake..ikabidi waondoke kwa roho nzito mno kurudi Shuleni
Usiku ule wale mabinti ni kati ya wanafunzi walioteketea na ule moto
Hawa wazazi walikuwa wameshafunga kizazi hawakutaka kuzaa tena..
Baada ya kupata hizi taarifa na nafikiri kabla ya mazishi waliandika ushuhuda huu nao wakajiua kwa sumu
590e356f261007fa40328e3cad58b9fc.jpg

Duu...! inasikitisha kwa kweli
 
Nimeisoma habari nikajikuta machozi yanataka kutoka,
2011 baba alipoteza co-owners wenzake wawili ambao tulikua nao kama familia katika ajali ya gari. Usiku aliota ndoto ya ajabu (aliota kaka ake kavunjika mguu halafu anaendesha gari, kwa kua ni mtu wa dini sana alijua nini kinaendelea), akatusimulia mimi na mama, akawapigia na kuwaambia wasisafiri lakini wao walilazimisha ili wawahi kazi (walikua wakitokea Arusha kumzika baba yao wakielekea mbeya). Baba aliumwa ghafla, hakwenda kazini. Saa 6 usiku ilipigwa simu (baba alikua wa mwisho kuongea nao) akaambiwa gari imepata ajali na wote wawili wamefariki.
 
Na vipi zile ishara zinazotokea kimwili mfano wanasema jicho likicheza utaona kitu kibaya, Makalio yakicheza utakaa kwenye msiba, Nywele zikisisimka kuna hatari hapo...Hizi ziko kwenye mlango wa ngapi mshana jr ?
Hizi ziko kiimani zaidi kwenye mila na desturi lakini kiuhalisia ukweli ni mdogo sana...
Ile ni normal muscle twitching lakini kwakuwa maneno huumba basi hiyo hali hutengeneza uhalisia fulani hivi
 
Hizi ziko kiimani zaidi kwenye mila na desturi lakini kiuhalisia ukweli ni mdogo sana...
Ile ni normal muscle twitching lakini kwakuwa maneno huumba basi hiyo hali hutengeneza uhalisia fulani hivi
Kitalaam wanasema mtu ukiwa na msongo wa mawazo ama kuufikirisha sana ubongo basi huchoka na hupelekea macho kucheza, na dawa yake ni kupumzika tu.
 
875b6f11e33177ef98fddb3984dcbead.jpg
Ushuhuda wa kuhuzunisha wa Shauritanga girls boarding school
Nakukumbuka ilikuwa ni 1994 (kama sijakosea) ulipotokea moto kwenye shule tajwa hapo juu ambao uliondoka na mabinti 41 (kama sijakosea tena) kati yao kulikuwa na ndugu wawili
Tunafahamu ishu za kutoroka shule hasa weekend na kwenda home hasa kama sio mbali
Weekend hiyo wale mabinti wawili walitoroka na mpango wao ilikuwa wakalale nyumbani na kurudi Shuleni Jumapili
Wakashinda nyumbani vizuri na wazazi wao ilipofika jioni wakatakiwa kurudi shule (wazazi hawakuwa na lengo baya) mabinti walijitetea kwa nguvu zote mpaka kusaidiwa na mama lakini baba alishikilia msimamo wake..ikabidi waondoke kwa roho nzito mno kurudi Shuleni
Usiku ule wale mabinti ni kati ya wanafunzi walioteketea na ule moto
Hawa wazazi walikuwa wameshafunga kizazi hawakutaka kuzaa tena..
Baada ya kupata hizi taarifa na nafikiri kabla ya mazishi waliandika ushuhuda huu nao wakajiua kwa sumu
590e356f261007fa40328e3cad58b9fc.jpg
Umenitoa machozi,leo tar18.06.2016 ni miaka22 tokea tukio hilo!! Mungu awalaze mahali pema daaah, so sad jaman!! Ni mengi nimekumbuka...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom