Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,207
- 15,880
Mkuu kuna kitu hujanielewa bado,sizungumzii aina ya vikombe hasha mimi namzungumzia huyu anayetoa huduma akitumia hiki kikombe,akiwa anataka kumpimia mteja wake anavishika vyote kwa mikono yake anachomoa kimoja sasa huu mkono anaoutumia kufanya hii kazi mpaka chupa tatu ziishe na hana maji ya kujiswafi mikono yake in case akakutana na situation iliyo nje ya kazi yake ndo nilipokazia hoja yangu.Kikombe cha al kasusuNi take away na kina mikono ya kushikiaView attachment 1332649
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakutana na mtu wanaefahamiana wanasalimiana kwa kushikana mikono je huu mkono ulioongezeka hapo usafi wake uko vipi?
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk