Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

Wacha tu wawawekee mana mmezidi kula vyakula vinavyomaliza nguvu zenu huku mkijiaminisha kuwa yapo madawa ambayo ndio suluhisho kwani mlianza na mavumbi ya Kongo sasa mnahamia kwenye alkasusi. lol. Mtakoma.
Na nyie mpunguze mabwawa mkuu.

dodge
 
Watu wanahangaika na alkasus hivi mnaijua karanga nyie...?
 
Wacha tu wawawekee mana mmezidi kula vyakula vinavyomaliza nguvu zenu huku mkijiaminisha kuwa yapo madawa ambayo ndio suluhisho kwani mlianza na mavumbi ya Kongo sasa mnahamia kwenye alkasusi. lol.

Tulieni dawa iwaingie.

Alkasusu siyo dawa Ya nguvu za kiume mkuu, It acts as a detoxifier,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu ndugu yangu yaani kwa sasa kila mmoja anakimbilia kuwa mbunifu wa dawa hata zile zisizofaa kwa afya ili mradi tu huko majumbani mambo yaende sawa.
Pole yao

Katika kutatua matatizo ya wanadamu wengi wako bize kutibu bila kutafuta chanzo cha tatizo

Kwa mfano nguvu za kiume huwa hazitibiwi na hizo wanazo ita dawa ila zinatibiwa kwa kujua kwanin huna nguvu hizo
 
Wacha tu wawawekee mana mmezidi kula vyakula vinavyomaliza nguvu zenu huku mkijiaminisha kuwa yapo madawa ambayo ndio suluhisho kwani mlianza na mavumbi ya Kongo sasa mnahamia kwenye alkasusi. lol.

Tulieni dawa iwaingie.
[emoji23][emoji23]
Mbona harsh hivyo

Ila Dsm, ukisikia kitu kinaongeza nguvu bhasi lazma kiuze tofauti kabisaa na mikoani.
 
Back
Top Bottom