Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

Tahadhari na kinywaji cha Al-Kasusu

[emoji23][emoji23]
Mbona harsh hivyo

Ila Dsm, ukisikia kitu kinaongeza nguvu bhasi lazma kiuze tofauti kabisaa na mikoani.
Jinsi ulivyopokea tu maandishi yangu. Hakuna hata ukali hapo. 😂😂

Yaani. Na ndio sababu ukipita baadhi ya maeneo kuna mabango kibao ya wafanyabiashara wakitangaza dawa zao.
 
Labda Al kasus Mpya ila Kasus I know Ni dawa Ya tumbo, Nilikuwa nasumbuliwa Na tumbo Kujaa Gas, Uchovu, Rafiki Yangu mwarabu Akaniambia niwe natumia , Ni mda mrefu natumia Sijawahi ona effect zake Huku down , Labda hiyo mpya wanayochanganya na Viagra kama Mtoa mada alivodai 🙏
 
Labda Al kasus Mpya ila Kasus I know Ni dawa Ya tumbo, Nilikuwa nasumbuliwa Na tumbo Kujaa Gas, Uchovu, Rafiki Yangu mwarabu Akaniambia niwe natumia , Ni mda mrefu natumia Sijawahi ona effect zake Huku down , Labda hiyo mpya wanayochanganya na Viagra kama Mtoa mada alivodai 🙏
Ooh. Hakuna shida Mkuu. Lakini kama mimi kote ninakoona hili jina wanasema ni dawa ya nguvu za kiume.

 
Jinsi ulivyopokea tu maandishi yangu. Hakuna hata ukali hapo. [emoji23][emoji23]

Yaani. Na ndio sababu ukipita baadhi ya maeneo kuna mabango kibao ya wafanyabiashara wakitangaza dawa zao.
Ndio maana biashara ya pweza haitokaa iishiwe soko DSM. Hata alkasusu ni upepo, utapita tuu
 
Jihadharini.kuna baadhi ya watu nimewauliza wanasema wanahisi wanachanganya na unga wa viagra ili kupata wateja. Viagra imeua watu wengi sana na wengine ni wagonjwa wa moyo.
...🙄🙄🙄 hii ni zaidi ya hatari.
 
drilling,
"" WANAHISI*
NENDA KAHAKIKISHE URUDI TENAA
KUHUSU KUPANDA PRESSURE MKUU ATUJUI UNA.MAGONJWA GANI MENGINE PENGINE YAMECHANGIA HILO

KAPIME FBP ISOME SHIDA NN..MWISHO ONDOA HOFU SIKU UTAONJA IMAGE UKAHISI INA ...KUMBE WAPI LADHA IMEKOLEA
 
Hahaha. Lol. Ngoja siku zisogee sogee [emoji12]nitakutafuta ndugu yangu tuunde Kamati ya namna tunaeza kuja na kumpindua huyu kasusu.

Unajua tena wanasemaga tuchangamke fursa.
Hahahah mi nitakuwa meneja mauzo na manunuzi maana najua we utakuwa mkurugezi
 
Back
Top Bottom