TAHADHARI: Muogopeni mtu huyu ni hatari

TAHADHARI: Muogopeni mtu huyu ni hatari

Mjini Mipango Ndugu,Pole kwa yaliyokukuta linapokuja swala la hela usimuamini mtu hata kama dingi yako!!
Kweli kabisa mkuu! Nina jamaa zangu wa karibu walinishirikisha mpango wa kuanzisha mradi fulani kupitia kampuni. Tukakubaliana kuchanga milioni 5 kila mmoja. Halafu eti zitunzwe kwenye akaunti ya mmoja wao. Nikawaambia NO. Nikawaambia tutayarishe katiba, tusajiri kampuni then tufungue akaunti ya kampuni ndipo tuchange pesa tuiingize kwenye akaunti hiyo. Aisee nilichoambiwa huwezi amini, nadhani walitaka kunifanya kama huyo jamaa aliyepigwa laki 8.
 
ukishindwa kabisa kumpata nenda sumbawanga kuna radi ya shilingi 50. inamtafuta popote alipo duniani na ikimpata lazima akae.
teteteteeeeee chezea radi za kamati za ufundi. radi inakata kona ukienda unayo ukijificha unayo na hamjeruhi yoyote isipokuwa yuleyule aliyekusudiwa kwikwiwkwiwiiwiwii duniani kuna mambo
 
Pole sn ila nawe ungetujuza amekutapeli laki8 ilikua akusaidie nini?
 
aisee kuwa uyaone, Mi dunia ya sahivi simuamini yoyote yule,na wala sina rafiki. rafiki yangu yupo grosari tena ndani ya friji.

kwenye blue hapo ua anti-social
n kwenye red huyo c rafiki,ni adui tu
 
Kweli kabisa mkuu! Nina jamaa zangu wa karibu walinishirikisha mpango wa kuanzisha mradi fulani kupitia kampuni. Tukakubaliana kuchanga milioni 5 kila mmoja. Halafu eti zitunzwe kwenye akaunti ya mmoja wao. Nikawaambia NO. Nikawaambia tutayarishe katiba, tusajiri kampuni then tufungue akaunti ya kampuni ndipo tuchange pesa tuiingize kwenye akaunti hiyo. Aisee nilichoambiwa huwezi amini, nadhani walitaka kunifanya kama huyo jamaa aliyepigwa laki 8.

nami nilikumbana na kadhia kama hiyo,tuanzishe NGO na vikao vikafanyika Makumbusho village,kumbe yule mhamasishaj ana lake moyoni,wadau tukashtuka,na mimi ndo nilipewa jukumu la documentation,kama issue ingekwenda as usual basi ningeangukiwa mimi,nimekua mwoga sana kwa watu wa mji huu,u think +vely,they think -vely
 
Last edited by a moderator:
Nimesikitika sana,ni kaka wa my classmate Ridhael Mteta,sasa ni marehemu.
 
Na wewe unataka kuwa kama yeye,umetuambia anafanya kazi airwing halafu unasema unamsaka kwa udi na uvumba!au ndio kuchafuliana?gweke vizuri.
 
Huyu jamaa amemtapeli jamaa yangu mwalimu laki 5 kwa ishu ya uhamisho kutoka huko aliko ili ahamie kibaha alipewa mkwanja mwaka jana mwezi wa nne bt mpaka leo hatujui aliko hv juzi juz tu tumepata taarifa jamaa yuko jeshini,kijijini kwao ndo ameharibu kabisa kawatapeli walimu kibao kamuachia baba ake madeni lukuki hata kukanyaga kwao hakanyagi tena inasemekana anatumia ushirikina kuji protect asikamatwe.
 
Ni kijana mzaliwa wilaya ya same kata ya suji kijiji cha tae,ni tapeli mkubwa anae jifanya usalama wa taifa,uvccm,afisa wa tamisemi,TRA,NECTA N.K...jina lake halisi ni NELSON SAFIEL MTETA (MANDELA),amewahi kufanya kazi VETA Tanga,morogoro,kibaha na sasa anafanya kazi karakana ya jeshi airwing.

Mtu huyu wana jf ni tapeli mkubwa akiwa jijini tanga amewatapeli wafanya biashara kibao akijifanya ni afisa wa TRA,amewatapeli vijana wengi akijifanya atawapatia leseni za udereva,ametapeli walimu kwa kujifanya atawahamisha vituo vyao vya kazi na kuwapandisha madaraja,amewatapeli watu wengi tu akijifanya atawapatia nafasi za jeshi,jkt,polisi na magereza,na hata kuwatafutia vyeti feki vya form 4 na 6,amemtapeli hata na mkewe ambae ni mwalimu wa shule moja ya msingi jijini tanga na kumtelekeza kwa kumnyanganya documents zake za kazi, namba anazotumia ni 0784/0657 991187,0652 717271,0755 441940.

Mimi mwenyewe amenitapeli pesa taslimu TSH laki 8 namsaka kwa udi na uvumba usiku na mchana....

JIEPUSHENI NAE.
c kuchafuana huku?.mbona umedai anapatikana maeneo ya airwing
 
Huyu jamaa amemtapeli jamaa yangu mwalimu laki 5 kwa ishu ya uhamisho kutoka huko aliko ili ahamie kibaha alipewa mkwanja mwaka jana mwezi wa nne bt mpaka leo hatujui aliko hv juzi juz tu tumepata taarifa jamaa yuko jeshini,kijijini kwao ndo ameharibu kabisa kawatapeli walimu kibao kamuachia baba ake madeni lukuki hata kukanyaga kwao hakanyagi tena inasemekana anatumia ushirikina kuji protect asikamatwe.

Aisee hao matapeli wa dizaini hiyo wapo wengi. Kuna mwingine anaitwa robinson mchau ndio jina lake halisi na inawapasa mumuepuke ni mchungaji pia mwalim wa chuo cha stephen moshi memorial university college (smmuco) ni branch ya tumaini university. Huyu jamaa naye anajifanya mstaarabu sana, sasa umwamini akushawishi jambo ukakubali utajuuuta! Naye pia anatumia ushirikina kujikinga maana ametapeli wengi sana wanaume kwa wanawake. Tena wanawake anadiriki kuwatapeli kwa kufunga ndoa nao kanisani anapotea anaenda kwinginine anafunga ndoa na mwanamke mwingine kanisani anapotea tena ana amefanya ivo kitambo sana. Sasa ivi ana mke anafanya kazi kcmc kama hr officer anaitwa dora olotu. Baadhi ya majina anayotumia akijabadilisha ni kama mathias mchau, urio n.k. Mfano jina la mathias mchau alitumia alipoenda kuchumbia mdada fulani moshi vijijini siku ya utambulisho wazazi wa binti waliandaa vyakula na vinywaji kumkaribisha mkwe, shughuli ilipoisha akatoa ahadi ya kurudi tena kutoa mahari na kuvalisha pete. Wee sasa shughuli ilipobainika kwamba tayari ana mke mbona palilkuwa ahapatoshi kwa laana alizoacha baba wa binti sababu jamaa alisumbua wazee kijijini waandae shughuli wakati yeye alikuwa anafanya usanii na utapeli. nia yake hasa ilikuwa kutafuna mali za yule mdada mchaga mwenzie halafu akaenda na kijijini kupeleleza wazazi wa binti wana utajiri kiasi gani ili atafute namna ya kuwatapeli na wao
 
Asikanyange hapa namnanihiii mchana kweupe. Shetani mkubwa huyu!
 
Matapeli wako wengi. Ila kabla ya kuandika yote hayo, ungeweka na taarifa ya polisi ili kuondoa dhana kwamba huyu mtu anachafuliwa jina. Swali muhimu ni kwamba, huyu mtu anapewa pesa kwa biashara gani? Hao wanaompa pesa, ofisi husika hawazioni? Je hii sio rushwa?
 
Ni kijana mzaliwa wilaya ya same kata ya suji kijiji cha tae,ni tapeli mkubwa anae jifanya usalama wa taifa,uvccm,afisa wa tamisemi,TRA,NECTA N.K...jina lake halisi ni NELSON SAFIEL MTETA (MANDELA),amewahi kufanya kazi VETA Tanga,morogoro,kibaha na sasa anafanya kazi karakana ya jeshi airwing.

Mtu huyu wana jf ni tapeli mkubwa akiwa jijini tanga amewatapeli wafanya biashara kibao akijifanya ni afisa wa TRA,amewatapeli vijana wengi akijifanya atawapatia leseni za udereva,ametapeli walimu kwa kujifanya atawahamisha vituo vyao vya kazi na kuwapandisha madaraja,amewatapeli watu wengi tu akijifanya atawapatia nafasi za jeshi,jkt,polisi na magereza,na hata kuwatafutia vyeti feki vya form 4 na 6,amemtapeli hata na mkewe ambae ni mwalimu wa shule moja ya msingi jijini tanga na kumtelekeza kwa kumnyanganya documents zake za kazi, namba anazotumia ni 0784/0657 991187,0652 717271,0755 441940.

Mimi mwenyewe amenitapeli pesa taslimu TSH laki 8 namsaka kwa udi na uvumba usiku na mchana....

JIEPUSHENI NAE.

Ninachokiona hapa ni kwamba bado watanzania walio wengi wanaamini kufanikiwa ni lazima upite njia za kiujanja ujanja. Mf. Kupandishwa daraja kazini, kupata kazi, leseni za udereva, uhamisho, n. k. Ukiangalia kwa undani unagundua kuwa vingi vya hizo vitu ni haki zao za msingi. Ni kiasi cha kuijua haki yao na kuidai basi!! Badala yake tunainunua.
Kuna mahali tumepotea. Tunahitaji kupiga u-turn!

Mungu ubariki Tz!
 
Back
Top Bottom