TAHADHARI: Muogopeni mtu huyu ni hatari

TAHADHARI: Muogopeni mtu huyu ni hatari

Opera Min

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
890
Reaction score
659
Ni kijana mzaliwa wilaya ya same kata ya suji kijiji cha tae,ni tapeli mkubwa anae jifanya usalama wa taifa,uvccm,afisa wa tamisemi,TRA,NECTA N.K...jina lake halisi ni NELSON SAFIEL MTETA (MANDELA),amewahi kufanya kazi VETA Tanga,morogoro,kibaha na sasa anafanya kazi karakana ya jeshi airwing.

Mtu huyu wana jf ni tapeli mkubwa akiwa jijini tanga amewatapeli wafanya biashara kibao akijifanya ni afisa wa TRA,amewatapeli vijana wengi akijifanya atawapatia leseni za udereva,ametapeli walimu kwa kujifanya atawahamisha vituo vyao vya kazi na kuwapandisha madaraja,amewatapeli watu wengi tu akijifanya atawapatia nafasi za jeshi,jkt,polisi na magereza,na hata kuwatafutia vyeti feki vya form 4 na 6,amemtapeli hata na mkewe ambae ni mwalimu wa shule moja ya msingi jijini tanga na kumtelekeza kwa kumnyanganya documents zake za kazi, namba anazotumia ni 0784/0657 991187,0652 717271,0755 441940.

Mimi mwenyewe amenitapeli pesa taslimu TSH laki 8 namsaka kwa udi na uvumba usiku na mchana....

JIEPUSHENI NAE.
 
...pole mkuu!
.. anafanya kazi karakana ya jeshi airwing Dar' pale majumba sita, Ukonga au kuna airwing nyingine?
...kama unapicha yake tuwekee hapa tukamsake.
 
khaaaaa amekuwa YAHYA WA LADY JAY DEE? YAHAYA UNAISHI WAPI, MASKANI YAKO KINONDONI YAHAYA WEEEEE!!!!! MARA ANAJIITA ............ MARA.............. YAHAYA WEEEEEE
 
asante kwa taarifa ila unaposema unamsaka kwa udi na uvumba wakati unatueleza anapofanyia kazi ni karakana ya jeshi airwing nakuwa sikuelewi ujue
 
ss si umfate huko kazini kwake si unapajua then pole sana
 
asante kwa taarifa ila unaposema unamsaka kwa udi na uvumba wakati unatueleza anapofanyia kazi ni karakana ya jeshi airwing nakuwa sikuelewi ujue

....mkuu huyu mtu yuko airwing nimejaribu kufika mara kadhaa pale bahati mbaya sikufanikiwa kumuona lakini wanao mjua wanasema yupo airwing karakana ya jeshi.
 
asante kwa taarifa ila unaposema unamsaka kwa udi na uvumba wakati unatueleza anapofanyia kazi ni karakana ya jeshi airwing nakuwa sikuelewi ujue

Hha haaaa au wanachfuliana majin hao haiwezekani mtu unajua tarifa zake zote unashindwa kumchukulia hatua inawezekana laki nane umeigwaje mkuu
 
Pole mkuu sijui ndo huyu nimekaa nae? Kuna mtu kaja hapa nilipo simuelewielewi
 
...pole mkuu!
.. anafanya kazi karakana ya jeshi airwing Dar' pale majumba sita, Ukonga au kuna airwing nyingine?
...kama unapicha yake tuwekee hapa tukamsake.

Ndio hapo hapo mkuu,kwa bahati mbaya sina picha yake mkuu,jamaa ukimuona anaonekana mstaarabu kweli kweli kumbe hafai hata kidogo kijijini kwao hataki hata kwenda wanakijiji wameapa akitia mguu wanamchinja.
 
Hha haaaa au wanachfuliana majin hao haiwezekani mtu unajua tarifa zake zote unashindwa kumchukulia hatua inawezekana laki nane umeigwaje mkuu

Sina haja ya kumchafua mtu hapa jukwaani jamaa ni mjanja sana kama ilivyo kwa matapeli wengine nimejaribu mara kadhaa kumtafuta pale airwing lakin cha ajabu najikuta nashindwa kumpata,MUNGU naamini ananisikia ipo siku nitamdaka tu.
 
Yahaya unaishi wapi, Yahaya ..... maskani yako kinondoni Nyumba namba haijulikani yahaya eee.....
Kumbe hana hela hana helaaaaaa
 
Mjini Mipango Ndugu,Pole kwa yaliyokukuta linapokuja swala la hela usimuamini mtu hata kama dingi yako!!
 
Hha haaaa au wanachfuliana majin hao haiwezekani mtu unajua tarifa zake zote unashindwa kumchukulia hatua inawezekana laki nane umeigwaje mkuu
inawezekana akawa anajificha na arobaini zake hazijatimia ila kwa dalili ni kama tayari
 
Chezea yahaya weye,pole sn naamini kuna siku utamkamata tu,omba mungu,ila kina yahaya wapo wengi,turushie picha yake tukusaidie kumsaka,huenda yupo fb
 
Huyu saizi yetu ngoja tutampa laki ya moto.
 
Back
Top Bottom