Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Kwahiyo kwa Kukosa Kwako Ajira Kote huko ndiyo kwa Hasira zako umeamua uje JamiiForums Kuwachafua?

Yaani inaingia Akilini kweli Wewe Mtu Mmoja uyajue Mapungufu yao ( hizi Taasisi / Zahanati / Hospitali ) zote halafu Serikali yenye Mkono mrefu kupitia Wizara na Taasisi zake Nyeti wasijue?

Inaonyesha una Majungu na Mswahili.
Mimi nilikua idara ya ukaguzi ndio maana ninajua A,B,C
 
Binafsi nimeeshatibiwa Uhuru hospital (na hawara yangu alitibiwa pale) sijapata shida yoyote matibabu yangu yalienda vizuri kabisa,nyie watafuta ajira mtajiju mkiondoka watakuja wengine watatupa huduma murua kabisa

Hapa Aljumaa mjini kati napo nilishatibiwa vizuri kabisa ,ila njaa zenu mnaojiita madokta ndo mnaponda ila wapo vijana wazalendo watatutibu acha kelele na njaa zako Mtoa mada boya wee
 
Hamna uzalendo mbele ya njaa, Mbunye na wazazi
Binafsi nimeeshatibiwa Uhuru hospital (na hawara yangu alitibiwa pale) sijapata shida yoyote matibabu yangu yalienda vizuri kabisa,nyie watafuta ajira mtajiju mkiondoka watakuja wengine watatupa huduma murua kabisa

Hapa Aljumaa mjini kati napo nilishatibiwa vizuri kabisa ,ila njaa zenu mnaojiita madokta ndo mnaponda ila wapo vijana wazalendo watatutibu acha kelele na njaa zako Mtoa mada boya wee
 
Hamna uzalendo mbele ya njaa, Mbunye na wazazi
Kila mtu anapitia changamoto kwenye sehemu ya kutoa huduma kwa jamii,so jamaa anatakiwa ajue anatoa huduma kwa jamii so atulize matako,kama akiona usumbufu afungue hospital yake na si kuanza kuleta majungu huku mtandaoni na kuleta hofu kwa wananchi wanaopata huduma kwenye hospital hizo kwa njaa na umaskini wake
 
Habarini wanajukwaa.

Naomba nijikite kwenye mada yangu.

Pengine kutokana na ukosefu wa ajira,kama mtanzania mwenzenu ambae kwa nyakati tofauti nimewahi kuwa katika mkoa wa Mwanza kikazi kama mkaguzi wa maswala ya afya,nimekutana na kisanga cha ubabaishaji na usumbufu kwa baadhi ya hospital za watu binafsi mkoani humo.

Natoa tahadhari ya kwamba ukiomba kazi katika hospital hizi tambua unajitolea la sivyo utapata msongo wa mawazo!



1.HURUMIA WATOTO HOSPITAL

Hospital hii ipo mtaa wa kilelu-Mabatini.

Ni hospital nzuri yenye miundombinu ya kisasa.

Hii hawalipi kabisa mishahara,ukiajiriwa watakubali kiasi chochote cha mshahara ukibahatika utalipwa nusu au awamu moja baada ya hapo hesabu maumivu.

Mabingwa wa kubadili wafanyakazi maana hakuna mtu huvumilia usumbufu,matokeo yake hospital hii imekimbiwa na wagonjwa na iko kwenye mwelekeo wa kujifia.


Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba


2.ALJUMAA HEALTH CENTRE MWANZA

Kituo kidogo katikati ya soko kuu la mwanza la zamani kwenye jengo la msikiti wa Ijumaa.

Hospital ina miundombinu bora sana....iko equipped vizuri sana,inazo mashine za kisasa na vifaa bora sana nadiriki kusema moja ya hospital yenye vitu vizuri sana iko kwenye top 3 ya hospital zenye vifaa vya kisasa kwa mkoa huo.

Pamoja na sifa nzuri nilizotaja hapo juu,kituo hiki kina shida ya uongozi.

Kila kukicha wanabadili wafanyakazi na mshahara ni mpaka maombi,inachukua zaidi ya miezi 2 au 3 wafanyakazi kulipwa

Kazi ya kituo hiki sio guarantee ni kama vibarua tu

Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba kama utakuta mkataba ni ubabaishaji tu

Wafanyakazi kituo hiki hawana likizo wala day off!

Iko kwenye mwelekeo wa kujifia.


3.UHURU HOSPITAL

Ipo mtaa wa uhuru karibu na mtaa maarufu wa mlango mmoja.

Moja ya hospital bora sana mwanza ikiwa na miundombinu safi na ya kisasa.

Shida kubwa ni uongozi na mmiliki kua mbabaishaji


Inabadili wafanyakazi kama mvua na mishahara haieleweki wafanyakazi njaa kali

Sio sehemu salama kwa mtafuta ajira

Iko kwenye uelekeo mbaya kama mmiliki wake hatabadirika.

Mikataba hakuna


4.SALAAMAN HEALTH CENTRE MWANZA

Ipo mtaa wa mission karibu na njia panda ya bugando jirani na msikiti wa wahindi ule mweupe.


Kituo kizuri kiasi chake.

Kina tatazo la uongozi

Wanafukuza wafanyakazi kila kukicha,kufanya kazi kituo hiki unatakiwa uwe mvumilivu kuliko uvumilivu wa AYUBU!

Mshahara wanatoa nusu nusu,mfano leo utapewa laki kesho laki 2 baada ya wiki watamalizia

Hawatoi mkataba na wanafukuza na haupati haki yako popote

Usumbufu kwa wafanyakazi umepelekea kukosa wateja.

Mwelekeo wake ni kujifia.


5.STAR MED CARE

Ni dispensary ipo mtaa wa mabatini kama unaelekea shule ya msingi mabatini.

Uongozi ndio changamoto,hali inayopelekea kazi kuharibika matokeo yake kukosa mishahara.


Hizi ni baadhi ya hospital sumbufu sana na si salama sana kwa mtafuta ajira.

Usiku mwema!
Kufa kibudu kwa uchumi wa Tanzania kumesababisha yote haya
 
Habarini wanajukwaa.

Naomba nijikite kwenye mada yangu.

Pengine kutokana na ukosefu wa ajira,kama mtanzania mwenzenu ambae kwa nyakati tofauti nimewahi kuwa katika mkoa wa Mwanza kikazi kama mkaguzi wa maswala ya afya,nimekutana na kisanga cha ubabaishaji na usumbufu kwa baadhi ya hospital za watu binafsi mkoani humo.

Natoa tahadhari ya kwamba ukiomba kazi katika hospital hizi tambua unajitolea la sivyo utapata msongo wa mawazo!



1.HURUMIA WATOTO HOSPITAL

Hospital hii ipo mtaa wa kilelu-Mabatini.

Ni hospital nzuri yenye miundombinu ya kisasa.

Hii hawalipi kabisa mishahara,ukiajiriwa watakubali kiasi chochote cha mshahara ukibahatika utalipwa nusu au awamu moja baada ya hapo hesabu maumivu.

Mabingwa wa kubadili wafanyakazi maana hakuna mtu huvumilia usumbufu,matokeo yake hospital hii imekimbiwa na wagonjwa na iko kwenye mwelekeo wa kujifia.


Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba


2.ALJUMAA HEALTH CENTRE MWANZA

Kituo kidogo katikati ya soko kuu la mwanza la zamani kwenye jengo la msikiti wa Ijumaa.

Hospital ina miundombinu bora sana....iko equipped vizuri sana,inazo mashine za kisasa na vifaa bora sana nadiriki kusema moja ya hospital yenye vitu vizuri sana iko kwenye top 3 ya hospital zenye vifaa vya kisasa kwa mkoa huo.

Pamoja na sifa nzuri nilizotaja hapo juu,kituo hiki kina shida ya uongozi.

Kila kukicha wanabadili wafanyakazi na mshahara ni mpaka maombi,inachukua zaidi ya miezi 2 au 3 wafanyakazi kulipwa

Kazi ya kituo hiki sio guarantee ni kama vibarua tu

Hakuna mfanyakazi mwenye mkataba kama utakuta mkataba ni ubabaishaji tu

Wafanyakazi kituo hiki hawana likizo wala day off!

Iko kwenye mwelekeo wa kujifia.


3.UHURU HOSPITAL

Ipo mtaa wa uhuru karibu na mtaa maarufu wa mlango mmoja.

Moja ya hospital bora sana mwanza ikiwa na miundombinu safi na ya kisasa.

Shida kubwa ni uongozi na mmiliki kua mbabaishaji


Inabadili wafanyakazi kama mvua na mishahara haieleweki wafanyakazi njaa kali

Sio sehemu salama kwa mtafuta ajira

Iko kwenye uelekeo mbaya kama mmiliki wake hatabadirika.

Mikataba hakuna


4.SALAAMAN HEALTH CENTRE MWANZA

Ipo mtaa wa mission karibu na njia panda ya bugando jirani na msikiti wa wahindi ule mweupe.


Kituo kizuri kiasi chake.

Kina tatazo la uongozi

Wanafukuza wafanyakazi kila kukicha,kufanya kazi kituo hiki unatakiwa uwe mvumilivu kuliko uvumilivu wa AYUBU!

Mshahara wanatoa nusu nusu,mfano leo utapewa laki kesho laki 2 baada ya wiki watamalizia

Hawatoi mkataba na wanafukuza na haupati haki yako popote

Usumbufu kwa wafanyakazi umepelekea kukosa wateja.

Mwelekeo wake ni kujifia.


5.STAR MED CARE

Ni dispensary ipo mtaa wa mabatini kama unaelekea shule ya msingi mabatini.

Uongozi ndio changamoto,hali inayopelekea kazi kuharibika matokeo yake kukosa mishahara.


Hizi ni baadhi ya hospital sumbufu sana na si salama sana kwa mtafuta ajira.

Usiku mwema!
Kuna uwezekano mkubwa kwamba hao wamiliki wanapambana na "mlima" wa marejesho.
 
Katika hizo hospital ulizotaja moja anamiliki yule mzee mmilikiwa wa shule ya sokoni na nyingine ni ile anayomiliki yule kijana mpenda sifa kibaraka wa Redio mawingu, asilimia 100 ni wababaishaji kweli kauli yao kubwa utasikia "Tutakukata mshahara wako"
Uko sahihi......
Wababaishaji mno,mamlaka nazo zipo tu.
 
Binafsi nimeeshatibiwa Uhuru hospital (na hawara yangu alitibiwa pale) sijapata shida yoyote matibabu yangu yalienda vizuri kabisa,nyie watafuta ajira mtajiju mkiondoka watakuja wengine watatupa huduma murua kabisa

Hapa Aljumaa mjini kati napo nilishatibiwa vizuri kabisa ,ila njaa zenu mnaojiita madokta ndo mnaponda ila wapo vijana wazalendo watatutibu acha kelele na njaa zako Mtoa mada boya wee
Wewe usione dokta au nesi anakupa huduma nzuri ukafikiri mambo yako sawa,binadamu tuna matatizo mengi sana....mtu hajalipwa mshahara miezi miwili hawezi kufanya kazi kwa uweledi....watu wanaumia moyoni sema ndio basi hawana namna,hii ni hatari sana ndio ile unachomwa sindano ya uti wakati unaumwa maleria si busara kufurahia huu ujinga.
 
Kila mtu anapitia changamoto kwenye sehemu ya kutoa huduma kwa jamii,so jamaa anatakiwa ajue anatoa huduma kwa jamii so atulize matako,kama akiona usumbufu afungue hospital yake na si kuanza kuleta majungu huku mtandaoni na kuleta hofu kwa wananchi wanaopata huduma kwenye hospital hizo kwa njaa na umaskini wake
We unajua hela wanazoingiza huko kwenye hospitali ya private....faida wanapata kubwa sana...sema ni roho za kishetani za kutesa watu kwa kuwanyima haki zao....hakuna cha uchumi wala nini,wagonjwa wanaotibiwa hulipia pesa sasa hizo pesa zinaenda wapi?
 
Ukiona kila sehemu unayoenda inanuka kinyesi, basi jikague kwenye boxer inawezekana umejinyea bila taharifa. Ungekua na akili ungejiuliza kwa nn hospital zaidi ya 10 ziwe na shida inayofanana? Changamoto ni khali ya uchumi ni mbovu kwa wateja not managements.
Mimi nilikua idara ya ukaguzi ndio maana ninajua A,B,C
 
Na huto tuhospitali twa mwanza, wamiliki ni wale wale, ukikosana nao sehemu moja, ukienda kwingine hupati.., kwenye udahili unakutana na wale wale
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
 
Back
Top Bottom