Wakuja waje
Member
- Nov 14, 2020
- 24
- 75
- Thread starter
- #21
Mimi nilikua idara ya ukaguzi ndio maana ninajua A,B,CKwahiyo kwa Kukosa Kwako Ajira Kote huko ndiyo kwa Hasira zako umeamua uje JamiiForums Kuwachafua?
Yaani inaingia Akilini kweli Wewe Mtu Mmoja uyajue Mapungufu yao ( hizi Taasisi / Zahanati / Hospitali ) zote halafu Serikali yenye Mkono mrefu kupitia Wizara na Taasisi zake Nyeti wasijue?
Inaonyesha una Majungu na Mswahili.