Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuoa sio tatizo changamoto inakuja kwenye kuimudu ndoa. Alafu sio uogo Bali inabidi ujipange kwanza.[/QUOTE]Sikatai, kujipanga ni lazima na nimuhim pia, lakini jamanii hadi ufikie 40's hujaoa etikisa kuendekea kutafta pesa n.k with such related fallacies, yaan hapo sio bna, maana pesa haitoshagi kama sifa yake kuuu kiuchumi.QUOTE="kanchibay, post: 31186834, member: 531815"]
Yaan, achatu kuwa single yataka moyo nduguyangu naaa kwa watu tunao jiheshim hatuezi kuacha kuoa, huo utakua ni uoga wa maisha.
Sikatai, kujipanga ni lazima na nimuhim pia, lakini jamanii hadi ufikie 40's hujaoa etikisa kuendekea kutafta pesa n.k with such related fallacies, yaan hapo sio bna, maana pesa haitoshagi kama sifa yake kuuu kiuchumi.Kuoa sio tatizo changamoto inakuja kwenye kuimudu ndoa. Alafu sio uogo Bali inabidi ujipange kwanza.
Ndo maana nikasema kijana sababu ndo kwanza anaanza kukutana na changomoto za maisha. Ila ukiwa una age kubwa inakuwa afadhali unakuwa na experience kubwa na changamoto za maisha na jinsi ya kukabiliana nazo. na ndo maana unaweza kukuta jamaa amefukuzwa kazi lakini bado anakomaa na familia yake ila kijana anatelekeza familia[/QUOTE]Sawa mkuu.Sikatai, kujipanga ni lazima na nimuhim pia, lakini jamanii hadi ufikie 40's hujaoa etikisa kuendekea kutafta pesa n.k with such related fallacies, yaan hapo sio bna, maana pesa haitoshagi kama sifa yake kuuu kiuchumi.
Na maisha yanaendelea, kwenye ndoa unapata utulivu, hasa ukioa unaependana na anaejua hali yako...Mbona kuna maskini kibao wameoa na wana familia??
Kweli aisee ndio maana namfukuzia binti wa mzee machache anifungulie nyota nitokee kimaisha.hahaha boss; kuna watu katika maisha unaweza ukawa nao karibu milango ya kheri ikaanza kufunguka, hujawahi sikia au experience kitu kama hiki?
Kuna watu wana vismart sana mkuuuKweli aisee ndio maana namfukuzia binti wa mzee machache anifungulie nyota nitokee kimaisha.
HahahaahahahahahWaambie vijana waolewe tuu hakuna jinsi
Kweli aisee ndio maana namfukuzia binti wa mzee machache anifungulie nyota nitokee kimaisha.hahaha boss; kuna watu katika maisha unaweza ukawa nao karibu milango ya kheri ikaanza kufunguka, hujawahi sikia au experience kitu kama hiki?
Lakini kwenye hii issue ya familia sio ya kubet,takwimu zinaonesha watoto waliotelekezwa na wanaoishi maisha duni ni wengi mno.Kuna watu wana vismart sana mkuuu
Upo sahihi,hata kama wanekubaliana kuteseka pamoja ni sawa kwao.Unahisi kwamba haiwezekani, Ndoa ni makubaliano baina ya wawili.
TrueOa upate akili, unakuta ndoa ndio itakuw msaada wako ukatoka kimaisha vijana tusidanganyane huwez kuwa na heshima mahal popote pale bila ndoa
Sema kwa hili baadhi ya wanaume huwa hamjiamini sijui kwa nini?Upo sahihi,hata kama wanekubaliana kuteseka pamoja ni sawa kwao.
Hili swala halihitaji kujiamini tu, uwezo wa kumudu majukumu ndio sehemu kubwa (mambo ya fedha).na mkianza kupata watoto ndio balaa,unakuta mtuu anakuambia shida halafu anasema sijui watoto hawajala...Sema kwa hili baadhi ya wanaume huwa hamjiamini sijui kwa nini?