Tafrani Kimara: Msongamano kituo cha Mwendo kasi - Abiria wakiwemo wanafunzi wazimia!

Ubarikiwe sana Mkuu, unatimiza wajibu wako kwa Taifa vizuri sana. Nani atakusikiliza?
Kuna fikra zinagongana kwenye jamii yetu kila siku, wananchi wataka kuwatendea wenzao kibepari lakini wanataka kuwa na serikali ya kijamaa. Kama kuna watu wanalipa hadi 3000 kwa kupanda "Noah" toka Posta mpaka Mbezi ya Kimara ni kwa nini hao mwendo kasi wanashindwa kuboresha huduma zao ili watoze zaidi ili wajiendeshe kiufanisi?
 
Inawezekana wewe ndio mjinga usiyejua taratibu za forodha!.....mambo ya instalment yako kwenye income tax usisahau hilo!

Akili kama zako ndio zimejaa huko TRA, hamna kitu unaweza fanya isipokuwa sheria imesema au tofauti na inavyosema sheria.
Yaani kwa vile nimesema instalment basi kwa sababu unajua income tax inalipwa kwa instalment umeziba kabisa akili zako na kufuta kabisa possibility ya kodi zingine kulipwa kwa instalment.

Shame.
 
Hali ni tete katika kituo cha kimara kama ilivyoripotiwa na Benjamin Mzinga wa ITV msongamano wa abiria ni mkubwa na watu wanaathirika kwa kuumizana na kukosa hewa.

Source: ITV mubashara!
muda mfupi ujao tutapata wagojnwa wengi sana wa pumu na athma pia magonjwa ya kuambukiza kwa hewa,ukiambiwa hali ni tete unweza dhani masihara ila nendeni pale ubungo terminaol mida ya jioni na asbh pia pale kimara asbh,serikali wanasubiri kusikia mtu kafariki ndio waje namatamko ya kijinga na ya kinafiki pia kiubabe,huu mradi haufai jinsi unavyeondeshwa bora dala dala zetu za zamani
 
changamoto kubwa ya simon kisena ni kubebeshwa zigo kubwa kuliko uwezo wake mkopo unamzidi mrabaha wa kurudisha serikalini pia...magodfather wamemkacha....anabaki anhaha haha angeachia tu mwekezaji mwenye uwezo ashikilie hatamu ama sivyo shirika litakuja mfia mikononi
 
Kuna fikra zinagongana kwenye jamii yetu kila siku, wananchi wataka kuwatendea wenzao kibepari lakini wanataka kuwa na serikali ya kijamaa. Kama kuna watu wanalipa hadi 3000 kwa kupanda "Noah" toka Posta mpaka Mbezi ya Kimara ni kwa nini hao mwendo kasi wanashindwa kuboresha huduma zao ili watoze zaidi ili wajiendeshe kiufanisi?

No, wasipandishe Nauli, wenye madaladala walikuwa wanatoa hiyo huduma kwa bei nafuu zaidi, na mazingira yao ya biashara yalikuwa ya hovyo sana lakini wawekezaji walikuwa wanaongezeka kila siku.

tatizo sio nauli, ni yale umesema mwanzo.
 
Mpaka mbunge wenu atakapokubalu kuachia ubunge na kujiunga na CCM ndiyo tutachukua hatia. Tofauti na hapo endeleeni kupambana na hali zenu. Labda kuwa ma mradi wa kuwabomoleeni hilo mdiyo tutal8fanya haraka sana. Kwa hilo la mwendo kasi nendeni mumshauri mbunge wenu aungane na jitihada za mheshimiwa
 
Hao TRA ni wajinga tu, ni ngumu sana kupata hela za kulipia hayo magari in one instalment, waestablish liability waingie mkataba wa malipo kwa instalment, they need to be pro service, ubabe tu wa kutumia nguvu za sheria nao ni utumwa wa madaraka.
Serikali ifikirie kuivunja TRA na kuanzisha taasisi mpya ambayo itajengwa na watu wenye uelewa mkubwa na mpana katika masuala ya uchumi, biashara na uongozi.

Nina mashaka makubwa sana kama TRA hii ya sasa ina watu wenye uelewa mkubwa. Kati ya taasisi zinazoua uchumi wa Tanzania, ya kwanza ni TRA.
 
Hilo shirika linaendeshwa kikiritimba kama jeshi la Polisi na Tanesco. Waruhusu competition.
Serikali ilifanya kosa la kiufundi kuondoa daladala ili kupisha mwendokasi. Ushindani ndio huboresha huduma. Hii kanuni ya msingi.
Wangeacha ruti za daladala mbezi mwisho/kimara hadi posta; na hadi kariakoo.
Huu ubabaishaji na usumbufu usingekuwa kwa kiwango hicho; maana abiria wanaotumia usafiri wa umma wangekuwa na chaguo.
 
huu si mwendo kasi bali ni mwendo wa kukwepa foleni tatizo sio kimara ni vituo vyote kuna msongamano na wala sio tatizo linalotokana na kuzuiwa mabasi 70 kwa kulipa ushuru bali huu mradi unaendeshwa kienyeji unaweza kukaa kituoni ukaona mabasi tupu yanapita bila kubeba abiria au mabasi tupu yamepaki sasa hiyo inahusiana nini na kuzuiwa hizo bus 70 hata kama wakileta mabasi 700 tatizo litakuwa palepale uendeshaji mbovu kwenye majiji yote makubwa mradi huu unaendeshwa na serikali na sio watu binafsi kwani mtu binafsi anataka faida lakini serikali haipati faida moja kwa moja bali inapata faida pale watu wanapofika kwenye shuguri zao mapema na kuzalisha na kulipa kodi miradi kama hii inaendeshwa kwa ruzuku ya serikali.Uingereza walijaribu kumpa mtu binafsi lakini wakaja kumnyang'anya kwa sababu alikuwa hapeleki mabasi mpaka abiria wajae mwendo kasi basi linatakiwa liondoke hata kama lina abirira 5
 
Serikali ifikirie kuivunja TRA na kuanzisha taasisi mpya ambayo itajengwa na watu wenye uelewa mkubwa na mpana katika masuala ya uchumi, biashara na uongozi.

Nina mashaka makubwa sana kama TRA hii ya sasa ina watu wenye uelewa mkubwa. Kati ya taasisi zinazoua uchumi wa Tanzania, ya kwanza ni TRA.

Uko sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom