HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,949
- 102,723
Dume hilo
Ni vidonge mkuu.Coding ndo vinini?
Acha bange mkuuComputer ya aina gani ulitumia?
Ulitakiwa utafute miwani maalum ya macho itakayokukinga na mionzi....Shida haya makomputer yanatuharibu macho mimi mwenyewe nilijifunza kwa miaka 2 kwa kufuatilia tutorials za Bucky Roberts lakini niliishia njiani baada ya haya macomputer ya kichina kuanza kuniumiza macho
Kwa wakati ule 2015 hii miwani ilikuwa haijulikani sanaUlitakiwa utafute miwani maalum ya macho itakayokukinga na mionzi....
Haya mambo ka kukaa kwenye computer Muda mrefu siyo mchezo inahitaji umakini..
Unavyoona kuna Edward Snowden wanavaa miwani usifikiri ni wagonjwa wa macho