TAFITI: Wanaume walio single wanafanikiwa haraka

TAFITI: Wanaume walio single wanafanikiwa haraka

Unajua maana ya single wewe?
Bongo kuna single?

Single ni mtu asiye na mpenzi .

Kwa uzi huu lengo ni wale wasio na ndoa, kitu ambacho sio matumizi sahihi ya neno single
Single ni status ya kimaisha kumaanisha unaishi na nani,ndio maana kuna engaged, married, in relationship, etc. Mtu anaposema yupo single it means currently hakuna mtu ambaye ana commitment nae za kimaisha.

So ukolala na makahaba au hawa wadangaji maana yake upo katika mahusiano nao?

Naweza kuwa single halafu nakula dada zako bila shida.
 
Mwanaume ana nafasi kubwa ya kufanikiwa kwa haraka akiwa mwenyewe kuliko akiwa na mwenza kwa nyakati hizi tofauti na zamani.

Sababu zipo wazi kabisa kama ifuatavyo.

1. Mwanaume ana budget binafsi ndogo sana kimatumizi ukilinganisha na mwanamke. Kuanzia chakula,mavazi, matibabu, na hata entertainment.

Mwanaume anakwenda saloon mara 4 au tatu kwa mwezi na gharama yake ni kati ya 5,000 hadi 20,000 kwa mwezi kwenye kutengeneza kichwa chake.

Wanaume hula chakula cha magengeni ni simple na nafuu, migahawa ilitengenezwa kwaajiri ya wanaume kutokea mwanzo wake.

Mwanaume anaweza kuwa na jeans moja na kadeti mbili, shati tatu na fulana tatu, soksi pair moja,na boxer tatu, viatu pea tatu na akadumu navyo kwa siku 365 (mwaka) au zaidi bila kununua vipya.

Kiafya wanaume kutokana na mishe zao kuumwa ni nadra sana wanaweza kumaliza mwaka mzima bila kukanyaga hospital tofauti na wanawake ambao period kila mwezi, mood swings, na wanaweza kupata UTI wakiwa wachafu bila kuambukizwa na mtu yoyote.

Mwanaume anaweza kukaa mwaka mzima bila kutoka out au kula bata na asidhurike. Kinyume na wanawake ambao kutoka out kwao ni sehemu ya ibada na sadaka kwa Shetani ambae ndie mungu wao wanaemuabudu kwasasa.

2. Kisaikolojia mwanaume akiwa mwenyewe bila uwepo wa mwanamke eneo lake hana mtu wa kumuumiza kichwa au kumchanganya direction hii ina mfanya kuwa mbunifu,kufocus, kuwa consistent, na kujali muda wake zaidi. Hii moment huitwa solitude. Wanawake wakiwa moment ya hivi huwa wanakuwa karibu zaidi na shetani na anawaingia kirahisi zaidi.

3. Idea nzuri na ubunifu mkubwa ulipatikana kipindi wanaume walipokuwa wenyewe pekee yao na MUNGU wao bila kuwepo na mwanamke anayemletea mawenge yake mara iphone,mara sijala nataka kitimoto,mara jenista ndio nani etc hizi zote ni distraction kwake kumtoa katika focus ili awe masikini.

4. Watoto wa kiume wengi kwasasa wameanza kupata financial literacy juu ya pesa zao na kuzitumia zaidi kujiendeleza na kumanage wenyewe. Zamani ili aminika kuwa mwanaume pesa zake zinashikwa na mkewe na ndie mpanga matumizi. Kutokana na culture ya wanawake wa sasa kupenda hela imewastua wanaume kutunza pesa zao wenyewe na wameona matunda ya pesa zao kutotumika hovyo kwasababu wanawake wakiona hela ya mwanaume wanawashwa kuipangia matumizi ambayo hata si ya lazima.

5. Wanaume wengi wamegundua kuwa katika umri wa kuanzia 16 hadi 35 ni umri muhimu sana kwao kujitafuta na kujiwekeza na hivyo kupoteza muda na mahusiano na hawa wadangaji wa kisasa wanaojifanya ni High value women ni kupoteza muda na pesa bila faida, so kuwa single na kujijenga ndio njia pekee ya kufanikiwa na kufika umri mkubwa wakiwa na mafanikio.

Diamond huyo hapo hajaoa hadi leo. Ila tazama umri na mafanikio yake anamshinda hata mzee aliyekuwa meneja muajiri BOT.

Sababu zipo nyingi sana. Nadhani nitaleta uzi hapa soon ku'cover sehemu ya hii topic ya "mwanaume kufanikiwa zaidi akiwa single".
 
Ulichofanya hapa ni kukiri kuwa wewe si chochote bila mkeo jambo ambalo ni hatari sana kwa maisha yako.

Kwa maelezo yako hapa ni wazi unakiri kuwa mkeo akaamua kusema ana achana na wewe anataka kuanza upya kimaisha aidha na mwanaume mwingine au vyovyote ni wazi utachanganyikiwa na kulia kama mtoto mdogo huku kamasi zikikutoka.

Watoto wako wakishuhudia hilo tukio la baba yao kulia kama mwanamke ndipo hapo sasa tunaanza kuona madhara ya kuwa mwanaume legelege kama wewe ambae maamuzi yako binafsi uti wa mgongo ni mkeo.

So mkeo akiangua maana yake wewe umefika tamati,yaani wewe bila mkeo wewe ni takataka 😂, kwamba hapo ndani mwanamke ndie brains wewe ni mkokoteni unaburutwa uelekeo wa mkeo.

Mkeo anaweza hata kuwa na mwanaume na hautatakiwa kumlaumu sababu wewe ndie mwanaume ambaye upo kwenye maisha yake ila hauna korodani anakupanga na unapangika. Mwanaume ambaye ume surrender mamlaka yako kwa mkeo utamlaumu mkeo akipata kidume ambaye ana maamuzi makavu ya binafsi?

Ndio maana huwa mnalalamika kuwa wanawake wanagongwa nje ila sababu ni hizi kariba za kike za kujisifia kabisa kuwa mkeo ndio ana final say na ndio mfanya maamuzi.

Mimi bora ni haribu kuliko mwanamke anipe amri ya mwisho. Akijitahidi sana labda anishauri kwa lugha ile ya ushauri ila sio yeye apange mimi nifanye, kuwa mwanaume sometimes ni zaidi ya vita. Sio kitu cha watu lege lege.

Sasa subiria hizo nyumba huko mbeleni lazima utangulie mbele za haki au unyanyasike kushika pesa za hizo nyumba.
ukija kuoa, ukawa umeoa mwanamke sahihi, utakuja kufahamu kwamba pamoja na kwamba mimi kama mume ni kichwa, lakini hata mikono, miguu, mdomo na hata vidole vina umuhimu na kichwa hakiwezi kufanya kazi zote bila mikono. this is very important, ila kama umeoa mwanamke usiyempenda na ambaye hamuendani, utakuwa na position hiyo umeelezea. sisi wengine huko kwenye ndoa za mashaka tulishahama, miaka tuliyokaa ni ya kufanya mambo ya msingi kuliko mashindano. tumekaa miaka ya kutosha, Mungu katujalia watoto wa kutosha, tumeshagombana vya kutosha, tumeshapatana vya kutosha, tumeshasomana na kujuana kila mtu majukumu yake ni yepi, limit zake ni zipi, nani anastahili heshima ipi bila kuvuka mstari, tukajikuta tumekuwa mwili mmoja badala ya miwili.hivyo hata mke akishauri kitu cha msingi sioni kama ananitawala, tunashirikiana kwani ni mwili mmoja, na kwa vile tumeokoka najua na ninaona na kuthibitisha kuwa hana nia mbaya ila kujenga.
 
Mwanaume ana nafasi kubwa ya kufanikiwa kwa haraka akiwa mwenyewe kuliko akiwa na mwenza kwa nyakati hizi tofauti na zamani.

Sababu zipo wazi kabisa kama ifuatavyo.

1. Mwanaume ana budget binafsi ndogo sana kimatumizi ukilinganisha na mwanamke. Kuanzia chakula,mavazi, matibabu, na hata entertainment.

Mwanaume anakwenda saloon mara 4 au tatu kwa mwezi na gharama yake ni kati ya 5,000 hadi 20,000 kwa mwezi kwenye kutengeneza kichwa chake.

Wanaume hula chakula cha magengeni ni simple na nafuu, migahawa ilitengenezwa kwaajiri ya wanaume kutokea mwanzo wake.

Mwanaume anaweza kuwa na jeans moja na kadeti mbili, shati tatu na fulana tatu, soksi pair moja,na boxer tatu, viatu pea tatu na akadumu navyo kwa siku 365 (mwaka) au zaidi bila kununua vipya.

Kiafya wanaume kutokana na mishe zao kuumwa ni nadra sana wanaweza kumaliza mwaka mzima bila kukanyaga hospital tofauti na wanawake ambao period kila mwezi, mood swings, na wanaweza kupata UTI wakiwa wachafu bila kuambukizwa na mtu yoyote.

Mwanaume anaweza kukaa mwaka mzima bila kutoka out au kula bata na asidhurike. Kinyume na wanawake ambao kutoka out kwao ni sehemu ya ibada na sadaka kwa Shetani ambae ndie mungu wao wanaemuabudu kwasasa.

2. Kisaikolojia mwanaume akiwa mwenyewe bila uwepo wa mwanamke eneo lake hana mtu wa kumuumiza kichwa au kumchanganya direction hii ina mfanya kuwa mbunifu,kufocus, kuwa consistent, na kujali muda wake zaidi. Hii moment huitwa solitude. Wanawake wakiwa moment ya hivi huwa wanakuwa karibu zaidi na shetani na anawaingia kirahisi zaidi.

3. Idea nzuri na ubunifu mkubwa ulipatikana kipindi wanaume walipokuwa wenyewe pekee yao na MUNGU wao bila kuwepo na mwanamke anayemletea mawenge yake mara iphone,mara sijala nataka kitimoto,mara jenista ndio nani etc hizi zote ni distraction kwake kumtoa katika focus ili awe masikini.

4. Watoto wa kiume wengi kwasasa wameanza kupata financial literacy juu ya pesa zao na kuzitumia zaidi kujiendeleza na kumanage wenyewe. Zamani ili aminika kuwa mwanaume pesa zake zinashikwa na mkewe na ndie mpanga matumizi. Kutokana na culture ya wanawake wa sasa kupenda hela imewastua wanaume kutunza pesa zao wenyewe na wameona matunda ya pesa zao kutotumika hovyo kwasababu wanawake wakiona hela ya mwanaume wanawashwa kuipangia matumizi ambayo hata si ya lazima.

5. Wanaume wengi wamegundua kuwa katika umri wa kuanzia 16 hadi 35 ni umri muhimu sana kwao kujitafuta na kujiwekeza na hivyo kupoteza muda na mahusiano na hawa wadangaji wa kisasa wanaojifanya ni High value women ni kupoteza muda na pesa bila faida, so kuwa single na kujijenga ndio njia pekee ya kufanikiwa na kufika umri mkubwa wakiwa na mafanikio.

Diamond huyo hapo hajaoa hadi leo. Ila tazama umri na mafanikio yake anamshinda hata mzee aliyekuwa meneja muajiri BOT.

Sababu zipo nyingi sana. Nadhani nitaleta uzi hapa soon ku'cover sehemu ya hii topic ya "mwanaume kufanikiwa zaidi akiwa single".
Comment Bora Sana ya Uzi huu,
Japo nimeoa, Ila umeandika fact tupu✍️
 
Mwanaume ana nafasi kubwa ya kufanikiwa kwa haraka akiwa mwenyewe kuliko akiwa na mwenza kwa nyakati hizi tofauti na zamani.

Sababu zipo wazi kabisa kama ifuatavyo.

1. Mwanaume ana budget binafsi ndogo sana kimatumizi ukilinganisha na mwanamke. Kuanzia chakula,mavazi, matibabu, na hata entertainment.

Mwanaume anakwenda saloon mara 4 au tatu kwa mwezi na gharama yake ni kati ya 5,000 hadi 20,000 kwa mwezi kwenye kutengeneza kichwa chake.

Wanaume hula chakula cha magengeni ni simple na nafuu, migahawa ilitengenezwa kwaajiri ya wanaume kutokea mwanzo wake.

Mwanaume anaweza kuwa na jeans moja na kadeti mbili, shati tatu na fulana tatu, soksi pair moja,na boxer tatu, viatu pea tatu na akadumu navyo kwa siku 365 (mwaka) au zaidi bila kununua vipya.

Kiafya wanaume kutokana na mishe zao kuumwa ni nadra sana wanaweza kumaliza mwaka mzima bila kukanyaga hospital tofauti na wanawake ambao period kila mwezi, mood swings, na wanaweza kupata UTI wakiwa wachafu bila kuambukizwa na mtu yoyote.

Mwanaume anaweza kukaa mwaka mzima bila kutoka out au kula bata na asidhurike. Kinyume na wanawake ambao kutoka out kwao ni sehemu ya ibada na sadaka kwa Shetani ambae ndie mungu wao wanaemuabudu kwasasa.

2. Kisaikolojia mwanaume akiwa mwenyewe bila uwepo wa mwanamke eneo lake hana mtu wa kumuumiza kichwa au kumchanganya direction hii ina mfanya kuwa mbunifu,kufocus, kuwa consistent, na kujali muda wake zaidi. Hii moment huitwa solitude. Wanawake wakiwa moment ya hivi huwa wanakuwa karibu zaidi na shetani na anawaingia kirahisi zaidi.

3. Idea nzuri na ubunifu mkubwa ulipatikana kipindi wanaume walipokuwa wenyewe pekee yao na MUNGU wao bila kuwepo na mwanamke anayemletea mawenge yake mara iphone,mara sijala nataka kitimoto,mara jenista ndio nani etc hizi zote ni distraction kwake kumtoa katika focus ili awe masikini.

4. Watoto wa kiume wengi kwasasa wameanza kupata financial literacy juu ya pesa zao na kuzitumia zaidi kujiendeleza na kumanage wenyewe. Zamani ili aminika kuwa mwanaume pesa zake zinashikwa na mkewe na ndie mpanga matumizi. Kutokana na culture ya wanawake wa sasa kupenda hela imewastua wanaume kutunza pesa zao wenyewe na wameona matunda ya pesa zao kutotumika hovyo kwasababu wanawake wakiona hela ya mwanaume wanawashwa kuipangia matumizi ambayo hata si ya lazima.

5. Wanaume wengi wamegundua kuwa katika umri wa kuanzia 16 hadi 35 ni umri muhimu sana kwao kujitafuta na kujiwekeza na hivyo kupoteza muda na mahusiano na hawa wadangaji wa kisasa wanaojifanya ni High value women ni kupoteza muda na pesa bila faida, so kuwa single na kujijenga ndio njia pekee ya kufanikiwa na kufika umri mkubwa wakiwa na mafanikio.

Diamond huyo hapo hajaoa hadi leo. Ila tazama umri na mafanikio yake anamshinda hata mzee aliyekuwa meneja muajiri BOT.

Sababu zipo nyingi sana. Nadhani nitaleta uzi hapa soon ku'cover sehemu ya hii topic ya "mwanaume kufanikiwa zaidi akiwa single".
Daaaah saluti sana kama umemaliza hakuna mwenye swali hapa
 
ukija kuoa, ukawa umeoa mwanamke sahihi, utakuja kufahamu kwamba pamoja na kwamba mimi kama mume ni kichwa, lakini hata mikono, miguu, mdomo na hata vidole vina umuhimu na kichwa hakiwezi kufanya kazi zote bila mikono. this is very important, ila kama umeoa mwanamke usiyempenda na ambaye hamuendani, utakuwa na position hiyo umeelezea. sisi wengine huko kwenye ndoa za mashaka tulishahama, miaka tuliyokaa ni ya kufanya mambo ya msingi kuliko mashindano. tumekaa miaka ya kutosha, Mungu katujalia watoto wa kutosha, tumeshagombana vya kutosha, tumeshapatana vya kutosha, tumeshasomana na kujuana kila mtu majukumu yake ni yepi, limit zake ni zipi, nani anastahili heshima ipi bila kuvuka mstari, tukajikuta tumekuwa mwili mmoja badala ya miwili.hivyo hata mke akishauri kitu cha msingi sioni kama ananitawala, tunashirikiana kwani ni mwili mmoja, na kwa vile tumeokoka najua na ninaona na kuthibitisha kuwa hana nia mbaya ila kujenga.
Umerudi kule kule kwenye utegemezi wa mke. Unafosi maisha yako yawe ni mchango wa mkeo. Sikatai mkeo umemzoea na mnaelewana sana na ni best yako. Ila nimekuelekeza tu kuwa tazama mgongo wako. Huyo unaemuona hapo leo ni swahiba ipo siku hautaamini namna ata kutreat sababu anajua wewe hauna jipya bila yeye.

Ukitaka mwanamke akuone wa pekee maisha yako yote ishi nae ndani ya framework yako. Ikitokea amekubadilishia gear ni neno moja tu anatoweka maishani kwako.
 
Back
Top Bottom