Same_Return_1878
Member
- Nov 14, 2019
- 14
- 30
Kuwa single kabisa kiukweli sio jambo dogo. Upwiru unatesa sana 😂Hahahahah huyu anaeongelewa hapa no yule single single kwelikweli
Kuwa single kabisa kiukweli sio jambo dogo. Upwiru unatesa sana 😂Hahahahah huyu anaeongelewa hapa no yule single single kwelikweli
Sio kweliUtafiti mpya unaonesha wanaume wengi walio chini ya umri wa miaka 30 ni Hawako kwenye mahusiano ya kimapenz na wengi hawatafuti kabisa,na kwa sasa wanaume wengi wanaishi bila shinikizo la mahusiano wala ndoa sasa kutokana na hilo wanasaikolojia wanasema mwanaume anapokuwa single anapata muda mzuri wa kujijenga,kujipanga kimaisha na kuepukana na migogoro isiyo ya lazima ya kimapenzi pia kwa kuwa hana mpenzi anapata muda mzuri wa kutunza kibunda chake hivyo anakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanikiwa.
Kuwa single haimaanishi kuwa mpweke, ni nafasi nzuri ya kujijenga so itumie vizuri.
Naunga mkono hoja yako, mwanamke omba omba ni sawa na mkopo wa oya.Bado msisitizo ni ule ule usiwe na mahusiano na mwanamke asiye na uchumi huru. Kama uta date mwanamke ambaye hawezi hata kujihudumia mahitaji yake yeye mwenyewe bro sahau kuhusu kutoboa.
Wake 700 na michepuko 300 wa mfalme Suleiman walikuwa hawachezi vikoba.Roho mbaya tu,unawashauri watuache ili wafanikiwe, mfalme Suleiman alikufa masikini????
nyumba yangu ya kwanza, ya pili, ya tatu na sasa inaendelea ya nne, nimejenga kwa msaada wa mke wangu. yeye ni mhasibu wangu. pesa nikiwa nayo mimi bila kujadiliana naye huwa najikuta nimegawa yote, kwa sababu nina moyo wa huruma sana ila mke wangu ni mgumu wa pesa mno, anaweza kupata shida sana wakati ana pesa nyingi tu anazihifadhi, kwa sababu hiyo, tumesaidiana kusevu na kufikia mambo mengi kama familia. ushirikiano huu umesababisha tukubaliane hakuna hela kutoka bila kujadiliana nani tumsaidie nani tusimsaidie, la sivyo, niliishia kusomesha wengi, nikawa mtoaji hovyo hadi nilipooa ndio pesa ikaanza kufanya kazi ya maana. huu ndio ulikuwa udhaifu wangu. amenifanya nimeiga tabia zake na miimi nipo kama yeye sasa hasa baada ya kupata watoto wengi, nawaza kila mtoto awe na nyumba yake na itakuwa hivyo kwa Jina la Yesu. ukipata mke bora, utafanikiwa, ukipata mke toka kwa shetani, utakuwa masikini na atakukimbia na utakufa kabla ya siku zako.Utafiti mpya unaonesha wanaume wengi walio chini ya umri wa miaka 30 ni Hawako kwenye mahusiano ya kimapenz na wengi hawatafuti kabisa,na kwa sasa wanaume wengi wanaishi bila shinikizo la mahusiano wala ndoa sasa kutokana na hilo wanasaikolojia wanasema mwanaume anapokuwa single anapata muda mzuri wa kujijenga,kujipanga kimaisha na kuepukana na migogoro isiyo ya lazima ya kimapenzi pia kwa kuwa hana mpenzi anapata muda mzuri wa kutunza kibunda chake hivyo anakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanikiwa.
Kuwa single haimaanishi kuwa mpweke, ni nafasi nzuri ya kujijenga so itumie vizuri.
Aliyekwambia wanawake wote duniani wanacheza vicoba Nani?Wake 700 na michepuko 300 wa mfalme Suleiman walikuwa hawachezi vikoba.
Unaelewa maana ya single kwa muktadha wa hali ya sasa mzee?Single kinadharia, ila kwa uhalisia unakuta anamiliki warembo 7+, yaani ana majukumu kuliko aliyeoa
Mkishazeeka ndio mnataka maridhiano na muafaka,ila mnapokuwa mabinti umri kati ya 16 hadi 26 hapo huwa hakuna mnalosikia ninyi ni kusema tu mnapenda sana pesa na hamtaki mahusiano yasiyokuwa na hela.Roho mbaya tu,unawashauri watuache ili wafanikiwe, mfalme Suleiman alikufa masikini????
Aliekwambia hawapigi mademu miti ni nani?Fanikiweni tu wakuu ila hamna wakunitenganisha mm na mbususu
Unajua maana ya single wewe?Utafiti mpya unaonesha wanaume wengi walio chini ya umri wa miaka 30 ni Hawako kwenye mahusiano ya kimapenz na wengi hawatafuti kabisa,na kwa sasa wanaume wengi wanaishi bila shinikizo la mahusiano wala ndoa sasa kutokana na hilo wanasaikolojia wanasema mwanaume anapokuwa single anapata muda mzuri wa kujijenga,kujipanga kimaisha na kuepukana na migogoro isiyo ya lazima ya kimapenzi pia kwa kuwa hana mpenzi anapata muda mzuri wa kutunza kibunda chake hivyo anakuwa kwenye nafasi nzuri ya kufanikiwa.
Kuwa single haimaanishi kuwa mpweke, ni nafasi nzuri ya kujijenga so itumie vizuri.
Mwanaume utakula Kwa jasho!!Mkishazeeka ndio mnataka maridhiano na muafaka,ila mnapokuwa mabinti umri kati ya 16 hadi 26 hapo huwa hakuna mnalosikia ninyi ni kusema tu mnapenda sana pesa na hamtaki mahusiano yasiyokuwa na hela.
Ulichofanya hapa ni kukiri kuwa wewe si chochote bila mkeo jambo ambalo ni hatari sana kwa maisha yako.nyumba yangu ya kwanza, ya pili, ya tatu na sasa inaendelea ya nne, nimejenga kwa msaada wa mke wangu. yeye ni mhasibu wangu. pesa nikiwa nayo mimi bila kujadiliana naye huwa najikuta nimegawa yote, kwa sababu nina moyo wa huruma sana ila mke wangu ni mgumu wa pesa mno, anaweza kupata shida sana wakati ana pesa nyingi tu anazihifadhi, kwa sababu hiyo, tumesaidiana kusevu na kufikia mambo mengi kama familia. ushirikiano huu umesababisha tukubaliane hakuna hela kutoka bila kujadiliana nani tumsaidie nani tusimsaidie, la sivyo, niliishia kusomesha wengi, nikawa mtoaji hovyo hadi nilipooa ndio pesa ikaanza kufanya kazi ya maana. huu ndio ulikuwa udhaifu wangu. amenifanya nimeiga tabia zake na miimi nipo kama yeye sasa hasa baada ya kupata watoto wengi, nawaza kila mtoto awe na nyumba yake na itakuwa hivyo kwa Jina la Yesu. ukipata mke bora, utafanikiwa, ukipata mke toka kwa shetani, utakuwa masikini na atakukimbia na utakufa kabla ya siku zako.
Ndio atakula kwa jasho haimaanishi kuteseka maana yake Atatengeneza utajiri wake kwa kutuliza kichwa, akili na kutumia nguvu zake na sio kupewa tu kama vile urithi.Mwanaume utakula Kwa jasho!!