Your IQ Capacity is at work....Mapenzi yanahusu nini? Kuna mapenzi kwenye siasa? Labda ya Esther na Halima.
Nakubaliana na wewe kabisaKuanzia mwaka 2016 mpaka Leo kuna hujuma kubwa sana kwa wafanyabiashara hasa wale waliokuwa wanamshangilia Team nywele nyeupe au wazee wa mabadiliko, Utafanyiwa kila aina ya fugisu za kodi na utasalimu amri tu,
Kadi imenifanya nionekane nipo Team pendwa kwa sasa, wakisikia mzigo wa mtoto wa fulani haina shida
Kumbuka kwa biashara zetu Tanzania ni wachache wanaweza kodi meli yote peke yako, Tunashare meli sasa watu wakiona Team nywele nyeupe kwenye mzigo utapata tabu sana
HIZI BIASHARA ZINAFUNGWA KUNA MAMBO MENGI FAIZA, MENGINE TUNAUMIA NDANI, KUSEMA TUNAOGOPA
FITINA NA UJINGA UMEJAA KATI YA TIMU MBILI ZA MPIRA
Nchi moja tumeamua kuharibu biashara kisa Team za mpira za 2015
Jifikirie wewe sasa ubaetawaliwa na kinyesi, tukuite nani? Kipindupindu?Your IQ Capacity is at work....
Hahahahah... CCM ni zaidi ya kinyesi[emoji216].
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Kwa mtu yeyote aneifahamu Kusini ya mkoa wa Dar Es Salaam ataelewa kuwa ukianza kufika Mtoni (kwa Aziz Ali) kushuka Kusini utakutana na mchezo wa bao la kete (solo).
Bao la kete Kusini ya Tanzania ni mchezo unaochezwa na takriban jamii nzima, kuanzia watoto, vijana hadi wazee, wote, akina mama na akina baba. Bao lina aina ya michezo mingi tofauti. Lakini maarufu ni ule wa kusafiri, kutakata, kutembea, kulala na kuulinda mtaji. Ambao hufanyiwa mashindano ya kitaifa. Marehemu Mzee Nyerere alikuwa ni mpenzi wa mchezo huu wa bao na alikuwa bingwa.
Licha ya mchezo wa bao kuwepo takriban Tanzania nzima, lakini mchezo huo Kusini umekuwa maarufu zaidi kwa kuwa kwanza inajulikana wachongaji mabao mazuri ya nakshi ni wamakonde, na kusini ndiyo kwao. Pili, "mikete", miti ambayo hudondosha kokwa za kete zinazochezewa bao ipo mingi Kusini.
Kwanini nimelikumbuka bao? Bao Lina mitego na mahesabu ya hali ya juu sana kwa wenye kulijuwa kulicheza vizuri, wanaweza kumtega mtu mpaka mizunguko mitano ijayo na kila mzunguko aliyetegwa atakuwa anahisi anashinda tu lakini ndiyo anazidi kumtengenezea njia ya ushindi aliyemtega.
CCM siku za nyuma kidogo imepokea wapinzani wengi sana waliotokea vyama vya upinzani kutoka kada mbali mbali, kuanzia washabiki na wanachama wa kawaida, wenyeviti wa serikali za mitaa, madiwani, wabunge na wengi wengine.
Jee, huu siyo mtego wa upinzani kupandikiza mapandikizi ya kuja kuisambaratisha CCM? Jee, CCM imetegwa ikategeka? CCM tunachezewa "chess" au bao?
Upinzani wa Tanzania unaweza kuwa na vichwa na mahesabu na mitago ya kisiasa kama mahesabu na mitego ya mabingwa wa bao kama Mzee Nyerere, vya kuweza kutega mizunguko mitano ijayo?
Ni tafakuri tu ya FaizaFoxy.
Mchangiaji kasema Bila TIS,POLICCM, kwa ufupi U-Dolaism. jibu lako hali jaonesha chama hicho kutosaidiwa na Dola, hao uliowataja hawamaanishi chama kimejitenga na Udolaism.Si kweli. Ingekuwa hivyo tusingeona wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji, madiwani na wabunge wa upinzani.
CCM ni chama cha kupigiwa mfano duniani.
Mnauaminisha umma CCM kipo vizuri huku mna Nag'ang'ana na MBELEKO Ya Ma DED hahahahaaaaa ......, kama mnajiamini Acheni tume iwe huru. Ondoeni hao makada kwenye usimamizi..... alafu mshinde ,hapo walau mnaweza ongea.....,Maana jinsi Magufuli na Bashiri walivyousambaratisha upinzani na tunavyoona jinsi wimbi la upinzani lililorudi CCM, inatisha, inabidi mtu ujiulize na kufikiri nje ya boksi.
Wengi wao ni kama Wewe, Tumbo kwanza HAKIMimi binafsi nimetafuta kadi ya CCM kwa shinikizo la Mzee wangu, Mwaka 2015 nyumba nzima Yeye pekee alikuwa anasifia ccm kisa anapata pesa na cheo kupitia huko ccm
Leo hii yeye anakumbuka bora angetusikiliza, maana alikuwa mbogo hata kwa mke wake, Anaona chama kinaharibika kimeingiliwa na mamluki wageni
Mimi binafsi nashukuru baada ya kuwa na kadi, Mzee akanitambulisha baadhi ya maeneo ya wana ccm mkakati sasa Biashara na mambo yangu yamenyooka, Sisumbuliwi sana kutoa vitu bandari
Nitaponda ccm lakini kuna muda nasifia kuangalia maslahi yangu binafsi yasiharibike
Ulichokataza ndicho unachofanya hahahaaaaaaaaaa.[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji41]Mapenzi yanahusu nini? Kuna mapenzi kwenye siasa? Labda ya Esther na Halima.
CCM hata isimamishe mgombea hewa itapita.Mnauaminisha umma CCM kipo vizuri huku mna Nag'ang'ana na MBELEKO Ya Ma DED hahahahaaaaa ......, kama mnajiamini Acheni tume iwe huru. Ondoeni hao makada kwenye usimamizi..... alafu mshinde ,hapo walau mnaweza ongea.....,
Eti kada wa chama ndio msimamizi mkuu wa uchaguzi ....Mnashinda watu mnajigamba hamuoni aibu[emoji40] [emoji40] [emoji40]
Mchangiaji kasema Bila TIS,POLICCM, kwa ufupi U-Dolaism. jibu lako hali jaonesha chama hicho kutosaidiwa na Dola, hao uliowataja hawamaanishi chama kimejitenga na Udolaism.
CCM ni ile ileee!
Lowassa ndo kielelezo cha CCM kuwa imara?[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji41] [emoji40]Lowassa yuko wapi?