mdesi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,349
- 2,087
Mimi najiuliza swali moja Yale maghala makuu yamejaa korosho zilizokosa mnunuzi, na msimu mwingine unakuja, sijui wataziweka wapi. Ni dhahiri wanunuzi wanaweza wakarudi nyuma msimu ujao kwa hawajui wataingiliwa namna gani. Mkuu anaweza akamuru kama wanataka kununua korosho tz lazima wanunue Kwanza za kwenye maghala. Hapo ndo utakuwa mwisho marketability ya zao la korosho tz. Kaburi li wazi.