Tafadhali Lowassa: Achana na 'active politics'; Bakia mshauri wa Taifa; furahia 80% yako

Mzee Mwanakijiji,

Nilishawahi kulinena hili miaka mitatu nyuma nikisema Lowassa akiamua kugombea urais basi atashinda Monduli tu. Kwengineko in Tanzania Lowassa ni sumu na atachangia kwa kiwango kikubwa chama chake kushindwa katika uchaguzi. Nilishauri aachane na ulingo wa siasa ajikalie kama mbunge mpaka atakapotosheka nao anaweza kustaafu na kuwa mshauri. Narudia bado msimamo wangu ule ule kuwa active politics particularly urais is a bad move for Lowassa. Richmond haijasahaulika, Madudu ya wizara ya ardhi bado hayajasahaulika, na kwengineko. Kuna msemo mtu ukifanya mazuri ni rahisi watu kusahau but baya halisahauliki ndani ya mioyo ya watu. Nguvu ya pesa katika urais ni kugumu maana sio rahisi kuhonga watu milioni 20 wakupigie kura wewe labda uwe na utajiri kama wa Bill Gates.

Hata hivyo mie ningelifurahi akagombea ili CCM kiwe chama cha upinzani kwani wamejisahau sana na kufanya madudu mengi. Ni wakati muafaka tupate chama cha upinzani tubadilishe kidogo taswira ya nyumba yetu ya Tanzania.
 
Sikio la kufa halisikii dawa.
Akiacha active politics kina pasco hawataonekana JF
OTIS
 
Mzee Mwanakijiji,

Nilishawahi kulinena hili miaka mitatu nyuma nikisema Lowassa akiamua kugombea urais basi atashinda Monduli tu. Kwengineko in Tanzania Lowassa ni sumu na atachangia kwa kiwango kikubwa chama chake kushindwa katika uchaguzi. Nilishauri aachane na ulingo wa siasa ajikalie kama mbunge mpaka atakapotosheka nao anaweza kustaafu na kuwa mshauri. Narudia bado msimamo wangu ule ule kuwa active politics particularly urais is a bad move for Lowassa. Richmond haijasahaulika, Madudu ya wizara ya ardhi bado hayajasahaulika, na kwengineko. Kuna msemo mtu ukifanya mazuri ni rahisi watu kusahau but baya halisahauliki ndani ya mioyo ya watu. Nguvu ya pesa katika urais ni kugumu maana sio rahisi kuhonga watu milioni 20 wakupigie kura wewe labda uwe na utajiri kama wa Bill Gates.

Hata hivyo mie ningelifurahi akagombea ili CCM kiwe chama cha upinzani kwani wamejisahau sana na kufanya madudu mengi. Ni wakati muafaka tupate chama cha upinzani tubadilishe kidogo taswira ya nyumba yetu ya Tanzania.

bila ya shaka watu wanahoji kama kweli anaaweza kupima vizuri na kuamua vizuri
 
Kwakuwa ni mtu wa visasi nia yake yakutaka yakulipiza visasi kwa wabaya wake nadhani hajaiona kwingine zaidi ya Kuwa Rais!
 
Nilishasema wewe (mwanakijiji) utamtetea lowassa penda usipende akihamia CDM

Kila siku zinavyoenda na proof EL ana mkono mrefu ..hadi JF
 
huu ushauri ni 'long overdue'......
lakini inaonekana yuko destined to embarrass himself......
 
You can not define him, much more better than this ...

"Ni divisive figure ndani ya chama na nchi; wengine wanaweza hata kusema ni 'polarizing figure' kwa maana ya kwamba kila jina lake linapotajwa pande mbili hutokea mara moja yaani ile inayomuunga mkono "

That is why I don't want even to think of him crossing to CDM in any cost ... for his own sake!!

WHY?

He will definitely polarize CDM and cause the instability which he will never be able to determine its outcome neither control it ... AND I am sure it will consume him like wild fire ... !!
 
You can not define him, much more better than this ...

"Ni divisive figure ndani ya chama na nchi; wengine wanaweza hata kusema ni 'polarizing figure' kwa maana ya kwamba kila jina lake linapotajwa pande mbili hutokea mara moja yaani ile inayomuunga mkono "

That is why I don't want even to think of him crossing to CDM in any cost ... for his own sake!!

WHY?

He will definitely polarize CDM and cause the instability which he will never be able to determine its outcome neither control it ... AND I am sure it will consume him like wild fire ... !!

.

Nyie vipi bwana ... mbona hamfikirii vizuri?! ... think ahead

Mimi kwa maoni yangu ni bora abakie kwenye active politics! ... tena ndani ya CCM

Kama watu wanataka mabadiliko ya ukweli hapa nchini kwetu basi aendele kukaa huko huko CCM na ikiwezekana na aombe kugombea kabisa Urais ....

Kwanini nasema hivyo? .... itawasaidia sana vyama vya upinzani mfano CDM katika kuiangusha CCM kwani watavurugana na watasambaratishana na kukiacha CCM kikiwa hoi ... na wengi wataungana katika kuiongezea nguvu CDM ili ielekee ushindi!

Nyie vipi bwana? .. mbona hamfikirii vizuri? ... think of aftermath! ...

Narudia tena ... kama unataka mabadiliko ya kweli ... mwombee EL asihame CCM ili wavurugane vizuri hadi waishiwe nguvu ... na CDM kiongezeke nguvu ili walete mabadiliko

Think harder! ... think!
 
Swali kubwa ni je ni upi uamuzi rahisi kwa Lowassa kufanya?

Nadhani sitapishana na Great thhinkers wengine.Ni dhahirii huyu bwana ni mkosaji tena sana tokea enzi za Mwalimu,ila cha kushangaza wakati huu (zama hizi za Richmond) ameubeba mzigo woote mwenyewe.Kuna mambo mengi sana yamejificha kwenye sakata la Richmond na ufisadi wa El.Iweje Baba Riz amuadhibu huyu bwana kupitia watu back ili hali walikuwa marafiki!!?.

Huyu El anachotakiwa kukifanya nia akiri mbele ya watanzania na aache kumumunya maneno,aelezee mwanzo mwisho .Inawezekana tunamuhukumu bure kumbe baba Riz ndio ameoza zaidi kwenye sakati hili.El akifa leo kabla hajaelezea umma wa watanzania kuhusu ukweli wa Richmond atakuwa ameiachia familia yake doa kubwa sana.Vyanzo vyangu vya taarifa (sijavipa 100%) vinasema baba Riz ndio Eng. wa mchezo wote ,ila El kwa kuwa ameamua achafuke atakufa kwa dhambi hiyo na watanzania watamlaani kwa dhambi hiyo.
 
Ushauri wangu kwa Lowassa, aachane na siasa za hii nchi haimfai urais, apumzike na familia yake.
Ushauri tu.

Kila binadamu ana malengo na tena Kila binadamu ana nguvu Fulani ndani yake inayomsukuma kuwa vile alivyo hivyo kupumzika hakutakuwepo kwake kama ndani yake ana jukumu bado kwa taifa hili, na hilo linaonekana hivyo na tuendelee kumpa sapoti walau katika hili la kuiadhibu ccm iliyotutesa kwa miaka Mingi!
 
Ahaaahaaahaaa....tunaposema ukweli watu wanaumia sana....lakini ndio ukweli huo hatuna namna kuufanya kuwa uwongo..mzee kachoka..
 
Kweli bana,Unaonaje heshima aliyonayo Warioba na Salim

Warioba na salim wangeheshimika zaidi kama wangesimama huko walipo na kutuonesha njia badala ya kuwa kimya au wakiongea wanakuwa na unafiki ndani yao(Rejea maneno ya warioba kwenye uzinduzi wa kampeni) au Kila mmoja anaona mambo sasa yanakwenda kombo hivyo walau tulihitaji wazee wenye hekima kutoka na kusema jambo lakini sivyo( Rejea ukimya wa salim) kwa hiyo kimsingi sio kuwa wanaheshhimika ila wananchi wamewasahau na wala hawaoni umuhimu wao sasa!!
 
Back
Top Bottom