Mzee Mwanakijiji,
Nilishawahi kulinena hili miaka mitatu nyuma nikisema Lowassa akiamua kugombea urais basi atashinda Monduli tu. Kwengineko in Tanzania Lowassa ni sumu na atachangia kwa kiwango kikubwa chama chake kushindwa katika uchaguzi. Nilishauri aachane na ulingo wa siasa ajikalie kama mbunge mpaka atakapotosheka nao anaweza kustaafu na kuwa mshauri. Narudia bado msimamo wangu ule ule kuwa active politics particularly urais is a bad move for Lowassa. Richmond haijasahaulika, Madudu ya wizara ya ardhi bado hayajasahaulika, na kwengineko. Kuna msemo mtu ukifanya mazuri ni rahisi watu kusahau but baya halisahauliki ndani ya mioyo ya watu. Nguvu ya pesa katika urais ni kugumu maana sio rahisi kuhonga watu milioni 20 wakupigie kura wewe labda uwe na utajiri kama wa Bill Gates.
Hata hivyo mie ningelifurahi akagombea ili CCM kiwe chama cha upinzani kwani wamejisahau sana na kufanya madudu mengi. Ni wakati muafaka tupate chama cha upinzani tubadilishe kidogo taswira ya nyumba yetu ya Tanzania.
Nilishawahi kulinena hili miaka mitatu nyuma nikisema Lowassa akiamua kugombea urais basi atashinda Monduli tu. Kwengineko in Tanzania Lowassa ni sumu na atachangia kwa kiwango kikubwa chama chake kushindwa katika uchaguzi. Nilishauri aachane na ulingo wa siasa ajikalie kama mbunge mpaka atakapotosheka nao anaweza kustaafu na kuwa mshauri. Narudia bado msimamo wangu ule ule kuwa active politics particularly urais is a bad move for Lowassa. Richmond haijasahaulika, Madudu ya wizara ya ardhi bado hayajasahaulika, na kwengineko. Kuna msemo mtu ukifanya mazuri ni rahisi watu kusahau but baya halisahauliki ndani ya mioyo ya watu. Nguvu ya pesa katika urais ni kugumu maana sio rahisi kuhonga watu milioni 20 wakupigie kura wewe labda uwe na utajiri kama wa Bill Gates.
Hata hivyo mie ningelifurahi akagombea ili CCM kiwe chama cha upinzani kwani wamejisahau sana na kufanya madudu mengi. Ni wakati muafaka tupate chama cha upinzani tubadilishe kidogo taswira ya nyumba yetu ya Tanzania.