Cannibal OX
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,096
- 3,477
Ni kweli Lowasa angepumzika ili aungane na Mzee Mtei wawe watazamaji chini ya Jopo la Wazee CDM & Ukawa. Afu kwenye hilo Jopo la Wazee wamrudishe Dr Slaa kama Mzee wa Jopo.
Hujui uhakiki wa vyeti feki ni zoezi la Nchi nzima na limedumu mwaka wa pili sasaMitaa ipi? Hivi mitaa ipi hiyo ambayo wati wanapoteza mda wao kumjadili Bashite?