Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Sisi watu wa Kemondo hatuna neno kupaswa tuna kupashwa. Iwe ni kupaswa kufanya kitu ama kupashwa habari yote ni KUPASHWA tu!neno sahihi ni "ilipaswa"
Hakina mama anapashwa arudi na kuja kuangalia makazi yalivyoathirika. Pia sasa mama atoe kauli thabiti na iwe kuntu juu ya makazi ya mabondeni. Pesa ya dharura itolewe viwanja vipimwe na watu hawamishwe haraka toka mabondeni zisiwe tena kauli bila matendo. Mama pia asisahau kuvunja nyumba ambazo zimejengwa kwenye mapito ya maji na kusababisha nyumba za wanyonge kujaa maji. Viwanja vya wazi vyote virudi huu ndio wakati muafaka. Mama rudi utende na kama una nia na 2015 basi hapa ndipo pa kutokea!