Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,754
mkuu kumbe uko dar?
which President are you talking about?
Halafu hii ya leo nadhani haina RADI tu ila inaelekea kuwa kama ya jana
Nna uhakika kuwa viongozi kadha wa kadha weshawahi kwenda kwenye warsha na makongamano marefu na mafupi nchi za nje kujifunza namna ya kukabiliana na maafa na majanga kama haya. Nna uhakika pia kushafanywa warsha nyengine nyingi mno ndani ya nchi pia.
Kinachosikitika ni kuwa tuna act kama maafa haya ndo kwanza leo kutokea popote pale duniani-kama maajabu ya dunia vile.
Tusema kuwa ni kweli serikali haina uwezo wa kiufundi wa kufanya uokozi au wa kuzuwia kusambaa zaidi kwa maafa hayo, lakini serikali inashindwaje kuweza kuzungumza tu na wananchi wake?
Tuseme hawajui kuwa katika kipindi cha maafa kinachotoa faraja zaidi kwa wote ni ule upatikanaji wa taarifa na kuelewa kuwa watu wote wapo pamoja nawe? Rais, Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Wabunge, mko wapi?
hawa wengine wote haijalishi; people need to look at their President. Kama kazi anaona ngumu au anaona ni tatizo la "watu wa mabondeni" basi akae kimya tu wananchi wamesurvive without his leadership and I bet they will survive anyway.