Tafadhali Dkt. Dotto Biteko, tunaomba andiko lako la PhD

Tafadhali Dkt. Dotto Biteko, tunaomba andiko lako la PhD

UDOM NI CHUO CHA HOVYO HAPAJAWAI TOKEA, KIFUTWE TUU.
Daaah! hicho chuo hata kilivyoanzishwa watu waliona ni bure kabisa.......graduates wataanza kujishtukia kusema wamesoma UDOM, wanasiasa acheni viherehere vya kutaka PhD ili muonekane na nyinyi ni wasomi mnaua credibility za vyuo kuona kwamba mnatunukiwa PhD za mchongo juu ya sahani.
 
PhD ya part time kuanzia 2018 leo Gamba ameshapata.Awamu ya tano teuzi nyingi kigezo kilikuwa PhD hata Kama uwezo ni mdogo na PhD holder,hajui utafiti wake ulihusu nini na umeongeza nini kwenye tasnia husika.Aidha hizo tafiti zao huwezi kuzipata maktaba au mitandao kwa rejea.

Ushauri
Tafiti zote ziwe zinapatikana maktaba kwa ajili ya watu kuzisoma isije ikawa wamenakiri mawazo ya wengine.
 
PhD ya part time kuanzia 2018 leo Gamba ameshapata.Awamu ya tano teuzi nyingi kigezo kilikuwa PhD hata Kama uwezo ni mdogo na PhD holder,hajui utafiti wake ulihusu nini na umeongeza nini kwenye tasnia husika.Aidha hizo tafiti zao huwezi kuzipata maktaba au mitandao kwa rejea.

Ushauri
Tafiti zote ziwe zinapatikana maktaba kwa ajili ya watu kuzisoma isije ikawa wamenakiri mawazo ya wengine.
Nakazia tu zinatakaiwa ziwekwe kwenye mfumo wa kielektroniki ambao mtu yoyote anaweza kuzipata, sio wanaunda mfumo halafu kazi fulani zinakuwa hazipatikani, watuwekee hata abstract tujue kama yaliyomo yamo😁
 
kuna hatari Watanzania wote tukawa na Phd na maprofesa kuliko nchi yeyote duniani..

Ila maajabu pia, pamoja kuwa na maprofesa na madr kuliko nchi yeyote, utakuta pia hakuna tafiti wala ugunduzi wowote ambao umeshafanyika..
Halafu tukawa hatuna maendeleo ya aina yoyote yale. Wizi, ubadhirifu, ufisadi, ulafi, umaskini na ujinga ndio ukatawala!
Viongozi wako pale kibinafsi na kuiba tu hawajali nchi wala raia wao. Bure kabisa
 
UDOM = Chuo cha Mchongo kutoka kuwa chuo cha Kata

Hii inadhalilisha sana na kushusha heshima ya ''Elimu''
 
Hata PhD ya Pr Mukandara ni ya kuhojiwa mwenye swali aniulize
Watu hawajipi hizo PhD , huwa wanatunukiwa na vyuo baada ya kukidhi vigezo.Kwa hiyo kama una shida na PhD hizo nenda kwenye chuo kilichompa hiyo digrii ukawalalamikie
 
UDOM imejishusha sana kwa kugeuka kuwa degree mill inayomilikiwa na Serikali. Mtu amejiunga part-time mwaka 2018, leo baada ya miaka minne (ambyo ni equivalent ya miaka miwili au chini yake kwa full time) tayari Ph.D inatunukiwa. Huwa wana publish wapi hizo Ph.D zao? Ninawanafunzi wawili wa masters ambao wamechelewa kupata degree kwa vile journal publications zao zimechelewa kwenye review process ingawa wana peer reviewed conference papers bado inatakiwa journal publication; mtu hapati degree bila kuwa na journal publication. Naona kwa UDOM Ph.D. zinagawiwa kama free sample tu. Ni afadhali wangekuwa wanatoa subject degrees kama Doctor of Political Science (D.Phil-Politcs), Doctor of Education (D.Ed), Doctor of Public Administration (D.P.A) au Doctor of Business Administration (D.B.A) kuliko kutoa Ph.D.; ni kama hawajui tofauti kati ya Ph.D na doctorate degrees nyingine.
A lot of sense
 
UDOM imejishusha sana kwa kugeuka kuwa degree mill inayomilikiwa na Serikali. Mtu amejiunga part-time mwaka 2018, leo baada ya miaka minne (ambyo ni equivalent ya miaka miwili au chini yake kwa full time) tayari Ph.D inatunukiwa. Huwa wana publish wapi hizo Ph.D zao? Ninawanafunzi wawili wa masters ambao wamechelewa kupata degree kwa vile journal publications zao zimechelewa kwenye review process ingawa wana peer reviewed conference papers bado inatakiwa journal publication; mtu hapati degree bila kuwa na journal publication. Naona kwa UDOM Ph.D. zinagawiwa kama free sample tu. Ni afadhali wangekuwa wanatoa subject degrees kama Doctor of Political Science (D.Phil-Politcs), Doctor of Education (D.Ed), Doctor of Public Administration (D.P.A) au Doctor of Business Administration (D.B.A) kuliko kutoa Ph.D.; ni kama hawajui tofauti kati ya Ph.D na doctorate degrees nyingine.
Nimeandika sana kuwa UDOM Ni University ya Kata, mkanishambulia. Shule za kata zina sifa moja Kuu Hazina ubora. UDOM Ni takataka tupu, tupu kabisa
 
UDOM imejishusha sana kwa kugeuka kuwa degree mill inayomilikiwa na Serikali. Mtu amejiunga part-time mwaka 2018, leo baada ya miaka minne (ambyo ni equivalent ya miaka miwili au chini yake kwa full time) tayari Ph.D inatunukiwa. Huwa wana publish wapi hizo Ph.D zao? Ninawanafunzi wawili wa masters ambao wamechelewa kupata degree kwa vile journal publications zao zimechelewa kwenye review process ingawa wana peer reviewed conference papers bado inatakiwa journal publication; mtu hapati degree bila kuwa na journal publication. Naona kwa UDOM Ph.D. zinagawiwa kama free sample tu. Ni afadhali wangekuwa wanatoa subject degrees kama Doctor of Political Science (D.Phil-Politcs), Doctor of Education (D.Ed), Doctor of Public Administration (D.P.A) au Doctor of Business Administration (D.B.A) kuliko kutoa Ph.D.; ni kama hawajui tofauti kati ya Ph.D na doctorate degrees nyingine.
PhD za kujaza questionnaire
 
mtu hapati degree bila kuwa na journal publication. Naona kwa UDOM Ph.D. zinagawiwa kam
Kutegemea na miongozo ya chuo, kuna aina tatu ambazo wanawapa phd. Wanaweza kupata kwa kuandika monograph, publishable manuscript, na published manuscript thesis. Sasa kama ametumia monograph anaweza kuwa amefanikiwa. Pia kama ni published manuscript thesis anaweza kufanikiwa pia ka paper zake amepeleka kwa open access journals zinazolipiwa kuanzia dol elfu mbili. Hawa wanafanya kazi kwa haraka na wanatools nyingi za kumsaidia mwandishi/mtafiti.

Najaribu kutafuta wema katika utaratibu huu wasasa.
 
Nimeandika sana kuwa UDOM Ni University ya Kata, mkanishambulia. Shule za kata zina sifa moja Kuu Hazina ubora. UDOM Ni takataka tupu, tupu kabisa
Sijawahi ku-question credibility ya UDOM kabla ya huu upuuzi waliofanya mwaka huu. Ninajua kuwa kuna maprofesa pale ambao wali-publish kwenye journal ya kitivo chao tu, ambapo wao wenyewe ndio members wa editorial board na mareviewer. Waliandika paper zisizokuwa na mbele wala nyuma, halafu wakazitumia hizo kujipandisha vyeo kuwa maprofesa. Haiyumkiniki ndio hao maprofesa wanaotoa Ph.D. hizi. It is possible kuna maprofesa pale wenye hadhi stahihiki lakini wapo wababaishaji wengi zaidi ya wale wenye stahiki
 
Back
Top Bottom