Itabidi kwanza tutofautishe kati ya academic degree na professional degree. Hakuna academic degree ya masters by coursework siku hizi isipokuwa kwenye professional degrees tu. Kwa mfano Engineering ukipata Master of Engineering ni coursework tupu, na hiyo ni professional degree, ila ukitaka Master of Science in Engineering ni lazima uwe na publication. Ni vivyo hivyo pia kwa degree za Master of Business Admininstration (MBA) kuwa huhitaji publication kwa vile ile nayo ni professional degree, siyo academic degree. Ph.D. siyo professional degree, bali ni academic degree, na kuitoa bila kuwa na publication ni fedheha kwa chuo.