Afri-Cast
Member
- Apr 1, 2020
- 49
- 109
Habari ya Asubuhi wakuu, nina safari ya Kigoma from Dar, Mara ya mwisho nilipitia Nyakanazi-Kakonko-Kibondo-Kasulu, Wenyeji wa ile Barabara wakasema nimezunguka mno, Next time nipitie Tabora-Urambo-Uvinza.
Sasa hii njia siijui vizuri naomba ushauri kwa aliyepita siku za karibuni, na lami imeishia wapi kwa sasa? Maana kupitia nyakanazi kuna karibu 200Km za rough road inachosha sana! Naomba ushauri kwa aliyepitia Urambo-Uvinza.
Sasa hii njia siijui vizuri naomba ushauri kwa aliyepita siku za karibuni, na lami imeishia wapi kwa sasa? Maana kupitia nyakanazi kuna karibu 200Km za rough road inachosha sana! Naomba ushauri kwa aliyepitia Urambo-Uvinza.