Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,417
- 10,018
We ni.muongo sanaHiyo Njia ya Kigoma kupitia Urambo, Kaliua, Uvinza hadi Kigoma ni inshu sana shimo zake lwenye Vumbi zinaweza fika KM 200.
Nawaza tu kwamba Kwanini ukifika Tabora usipite Sikonge, Ipole, Inyonga, Mpanda, Mishamo, Uvinza hadi Kigoma ambayo shimo lake linafikia KM130 hiii ni baaada ya Barabara ya Tabora - Mpanda kukamilika kwa kiwango cha Lami so unaweza endesha Tabora Mpaka 4 Hrs then Mpanda Kigoma 5 Hrs tena