Da vincci
Member
- Aug 9, 2009
- 61
- 9
WanaJF naomba tukumbushane mambo kadha wa kadha kuhusu shule zetu hizi mbili na kongwe zaidi Tanzania...mimi ni mmojawapo kati ya waliobahatika kuwa Mboyzia au mwana Berlin form 5&6 na najua wanaJF wengi mlikua either ma Warsaw au wanaBerlin.
Jamani kama tujuavyo huko tulikopita alipita Baba wa taifa,spika wetu wa sasa,jaji mkuu wetu pia wa sasa,mama Sitta na wengine lukuki..kwenye miaka ya 98 au 99 hivi ilifanyika harambee kubwa sana hapa Dar ya ma Old boys na ma Old girls a.k.a ma Warsaw..lengo kuu lilikua ni kuchangisha pesa na kufungua mfuko ili kusaidia matatizo ya Harvard na Oxford zetu hizi ndogo..matatizo kama ya majengo kuwa mabovu,vyoo visivyoingilika na nguo,chakula kibovu na kichache(kilichopolekea shule hizi kufungwa kwa muda mwaka juzi)..
walimu wa manati,umeme wa kuskilizia,maji ya kufata ng'ambo..na mengine kem kem..wanaJF hadi ninaporipoti hivi sasa mara tu baada ya Baba wa taifa kututoka mfuko ule pamoja na akaunti yake na kilichochangwa kilipopotelea sifahamu..kama Kuna mwanaJF yeyote mwenye taarifa na hili naomba aianike jamvini..
Lastly naomba tukumbushane enzi za kina mr Mrisho,Bitwale,Abdallah,mwalimu Masele..sir Issa yule ticha mlemavu wa macho but nondo vibaya kwenye somo la history,madam ng'osha,maduka,mama mwita na wengine kibao..take a moment na kumbuka lile beef na Milambo!safari za uhazili,kazima,na ng'ambo kuchakachua mambo flani..dah inafurahisha sana kukumbuka ma bweni kama sina nk..safari za jeshni kucheki football..
Walimu wakali kama Barosha na Kamrali...picha za baba wa taifa kila kona kule upper school zikiwa na jumbe murua na zenye kuibua fikra za kizalendo..tusisahau ma boogie dance na dada zetu wa warsaw,discussion za jumapili kwa advance..safari za kanisani student centre..mama Kabìgi,kuna mengi sana ya kukumbushana ma old boys wherever you are. . . .
Nawasilisha.
Jamani kama tujuavyo huko tulikopita alipita Baba wa taifa,spika wetu wa sasa,jaji mkuu wetu pia wa sasa,mama Sitta na wengine lukuki..kwenye miaka ya 98 au 99 hivi ilifanyika harambee kubwa sana hapa Dar ya ma Old boys na ma Old girls a.k.a ma Warsaw..lengo kuu lilikua ni kuchangisha pesa na kufungua mfuko ili kusaidia matatizo ya Harvard na Oxford zetu hizi ndogo..matatizo kama ya majengo kuwa mabovu,vyoo visivyoingilika na nguo,chakula kibovu na kichache(kilichopolekea shule hizi kufungwa kwa muda mwaka juzi)..
walimu wa manati,umeme wa kuskilizia,maji ya kufata ng'ambo..na mengine kem kem..wanaJF hadi ninaporipoti hivi sasa mara tu baada ya Baba wa taifa kututoka mfuko ule pamoja na akaunti yake na kilichochangwa kilipopotelea sifahamu..kama Kuna mwanaJF yeyote mwenye taarifa na hili naomba aianike jamvini..
Lastly naomba tukumbushane enzi za kina mr Mrisho,Bitwale,Abdallah,mwalimu Masele..sir Issa yule ticha mlemavu wa macho but nondo vibaya kwenye somo la history,madam ng'osha,maduka,mama mwita na wengine kibao..take a moment na kumbuka lile beef na Milambo!safari za uhazili,kazima,na ng'ambo kuchakachua mambo flani..dah inafurahisha sana kukumbuka ma bweni kama sina nk..safari za jeshni kucheki football..
Walimu wakali kama Barosha na Kamrali...picha za baba wa taifa kila kona kule upper school zikiwa na jumbe murua na zenye kuibua fikra za kizalendo..tusisahau ma boogie dance na dada zetu wa warsaw,discussion za jumapili kwa advance..safari za kanisani student centre..mama Kabìgi,kuna mengi sana ya kukumbushana ma old boys wherever you are. . . .
Nawasilisha.