The Only Friend and Only Competitor of Kenya is Tanzania

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Nawasalimia wote ndani ya jukwaa hili la East Africa.
Poleni na uchovu wa shughuli mbalimbali. Wengine siku ya leo wameenda kuabudu huku wengine wakiendelea na shuguli za kujenga Taifa.

Bila kupoteza muda. Napenda kuongelea jambo hili nililoandika katika kichwa tajwa hapo juu. Kwamba Tanzania pekee ndiye rafiki wa kweli na mshindani wa Kenya.

Najua kabisa Kenya ni bwana wadogo kwa Tanzania ndiyo maana wakipata shida huwa wanakimbilia kwa kaka yao kupata msaada. Kuna matukio mengi sana yameshawahi kutokea hapa Afrika huku Tanzania ikibaki kuwa kaka mkubwa kwenye mataifa mbalimbali hususani Kenya.

Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961, kipindi kile Jommo Kenyatta alikuwa katika jitihada ya nchi yake kupata uhuru. Kitendo hicho kilimfanya Kenyata kutembea toka Nairobi hadi Dar es salaam kuja kushuhudia uhuru huo. Inaonesha ni namna gani mzee Jommo Kenyatta alivyokuwa anampenda sana kaka yake Tanzania.

Pamoja na hayo kulitokea machafuko ya uchaguzi kwa ndugu zetu wakenya. Kweli mambo yalikuwa makubwa sana. Lakini Tanzania ilijitahidi kurejesha amani ndani ya nchi hiyo. Hakika Kenya anajivunia kuwa na rafiki makini na anayeona mbali kama tai.

Katika suala la EPA Kenya ilitaka kujiingiza mkenge, kwamba kutaka kurudisha ukoloni Afrika kwa mgongo wa mikataba. Lakini kwa kuwa kaka mkubwa anaona mbali alikataa kitu kama hicho. Kitendo ambacho bwana mdogo aliona anaonewa kwa sababu zake kadha wa kadha. Baada ya kuelezwa kwa kina bwana mdogo alielewa lakini ilimbidi ake kimya na kumuachia kaka aubebe mzigo wa bwana mdogo. Kwa kuwa ni bwana mdogo Kaka amesimama kidete kuhakikisha mkataba huo hauingiwi.

Sijawahi kusikia ugomvi wa mipaka kati ya Tanzania na Kenya. Lakini ukiangalia majirani wengine wa kenya ni ugomvi ugomvi tu wa mipaka na maeneo. Upande wa Somalia kuna ugomvi, Upande wa Ethiopia kuna ugomvi, Upande wa S. Sudani kuna ugomvi na Uganda napo kuhusu kisiwa. Hakika upande wa Tanzania diyo pumziko la Kenya.

Nikija kuongelea upande wa ushindani. Tanzania na Kenya siyo maadui lakini ni washindani kiuchumi. Halafu ikumbukwe sisi sote ni waafrika lengo letu ni kuondokana na ukoloni wa watu weupe.

Kwa miongo mingi sasa Kenya imekuwa ikiwa juu kiuchumi hapa Afrika Mashariki.
Lakini kwa muongo huu uliopita Kenya imeanza kuona kuna nchi inakuja kwa kasi kuteka uchumi wa Africa Mashariki. Nchi hiyo ni Tanzania, Imeanza kuchukua idara mbalimbali. Mf: Utalii, Ujenzi, Usafirishaji nk. Kitendo hicho kimemfanya kenya aone kwamba Tanzania ni adui wake. Lakini kusema ukweli ni ushindani mkali wa kiuchumi.

Tanzania imekuwa ikijitahidi sana kuweka mazingira mazuri ya biashara. Hayo mazingira yamefanya watu wengi kupenda kufanya biashara zao Tanzania.

Nchi mbali mbali zimeanza kuhamisha biashara zake toka Kenya na kuja Tanzania. Mfano kiwanda cha vigae kilichopo Kenya kuanza kuhamishia Tanzania


Wawekezaji wakubwa wa viwanda vya cement kuwekeza Tanzania
Dagote Cement


Kiwanda cha Saruji Tanga


Pamoja na hilo jambo kubwa ambalo limeifanya kenya kutetemeka ni baada ya Rais wa uganda kuamua kupitishia bomba la mafuta Tanzania


Na kuna taarifa za chini chini zinasema huenda Uganda wakaamua kupitishia bidhaa zao Bandari ya Dar es salaam.

Nawakaribisha kwa hoja.

 
Haha, haha, Muda si mrefu Kenya atakua ndo atakua mshindani kwani tz inamfukuza mwishoe atamwacha,mfano enzi hizo A/kusini ndo alikua baba Wa Africa kiuchumi, but saivi kuna Nigeria mambo yanageuka,
 
Nimekuja mbio mbio nikidhani jamaa leo kasahau na kwa mara ya kwanza akatumia akili kibahati mbaya, kumbe ni upuzi ule ule wa trolling and trolling.....and even more trolling hadi pia jumapili asubuhi.
NB; I DON'T FEED TROLLS
*Nimeachia kusoma hapo kwa aya ya pili*
 
The only exporter wa omba omba to kenya. report courtesy MK254

Eti muanze kutuwaza?? Lini mliwacha kutuwaza na kutumia Kenya kama benchmark yenu.
Begging ni personal, lakini ukiona wananchi wako wanatitirika kwa wingi kwenda kuomba omba kwa majirani, jua kuna tatizo sehemu.
Ingekua wanakuja kupiga kazi, hiyo sawa na hungeskia tukishangaa, lakini wanazidi kuja kwa wingi na kutinga pembeni mwa barabara zetu. Hatujui nini kimesababisha hivi, maana huko mnatuambia umaskini umefutwa kabisa.

1242002.jpg

A Tanzanian man, his wife, and the street beggars they were arrested with on Wednesday night for collecting money in Embu town. Photo/KNA

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.

He said the arrests followed a tip-off from members of the public, who informed them the group stayed at a hotel in the town.

Sang' said they were told members were moved to various strategic locations in the morning and taken back to the hotel later every day.

Coins amounting to Sh3,844 were recovered from the suspects being held at Embu police station, he said, adding they reported collecting a lot of money.

The OCPD said they tracked down the organiser and that the group will be arraigned in court once investigations are completed.

He asked residents to inform police of suspicious people in their neighbourhood
s in an effort to curb crime.
 
The only exporter wa omba omba to kenya. report courtesy MK254

Eti muanze kutuwaza?? Lini mliwacha kutuwaza na kutumia Kenya kama benchmark yenu.
Begging ni personal, lakini ukiona wananchi wako wanatitirika kwa wingi kwenda kuomba omba kwa majirani, jua kuna tatizo sehemu.
Ingekua wanakuja kupiga kazi, hiyo sawa na hungeskia tukishangaa, lakini wanazidi kuja kwa wingi na kutinga pembeni mwa barabara zetu. Hatujui nini kimesababisha hivi, maana huko mnatuambia umaskini umefutwa kabisa.

1242002.jpg

A Tanzanian man, his wife, and the street beggars they were arrested with on Wednesday night for collecting money in Embu town. Photo/KNA

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.

He said the arrests followed a tip-off from members of the public, who informed them the group stayed at a hotel in the town.

Sang' said they were told members were moved to various strategic locations in the morning and taken back to the hotel later every day.

Coins amounting to Sh3,844 were recovered from the suspects being held at Embu police station, he said, adding they reported collecting a lot of money.

The OCPD said they tracked down the organiser and that the group will be arraigned in court once investigations are completed.

He asked residents to inform police of suspicious people in their neighbourhood
s in an effort to curb crime.
Umevumilia mwisho uvumilivu umekushinda umeona ujilipue kama al qaeda.
 
Hawa ma pimbi wanaroho kama shetani sio watu ni viatu kama msanii wao alivyoimbaga, cheki mapovu na matusi wanayotoa kukebehi ma Dr ambao baba yao kaomba.ndio maana hayaachi kuchinjana niliwahi ishi kahawa wendani karibu na Ku ndio nikajua sikuwa naishi na binadamu
 
The only exporter wa omba omba to kenya. report courtesy MK254

Eti muanze kutuwaza?? Lini mliwacha kutuwaza na kutumia Kenya kama benchmark yenu.
Begging ni personal, lakini ukiona wananchi wako wanatitirika kwa wingi kwenda kuomba omba kwa majirani, jua kuna tatizo sehemu.
Ingekua wanakuja kupiga kazi, hiyo sawa na hungeskia tukishangaa, lakini wanazidi kuja kwa wingi na kutinga pembeni mwa barabara zetu. Hatujui nini kimesababisha hivi, maana huko mnatuambia umaskini umefutwa kabisa.

1242002.jpg

A Tanzanian man, his wife, and the street beggars they were arrested with on Wednesday night for collecting money in Embu town. Photo/KNA

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.

He said the arrests followed a tip-off from members of the public, who informed them the group stayed at a hotel in the town.

Sang' said they were told members were moved to various strategic locations in the morning and taken back to the hotel later every day.

Coins amounting to Sh3,844 were recovered from the suspects being held at Embu police station, he said, adding they reported collecting a lot of money.

The OCPD said they tracked down the organiser and that the group will be arraigned in court once investigations are completed.

He asked residents to inform police of suspicious people in their neighbourhood
s in an effort to curb crime.
You don't have to be bitter. As neighbors, we depend on one another. Our destiny is intertwined.
 
Tanzania is not as important to Kenyans as Kenya is to Tanzanians. Case in point, how many Kenyans relocate to Tanzania for business and vice versa? How many Kenyans actually follow Tanzania news? What of Tanzanians following Kenyan news? Kenya is sourcing doctors from Tanzania, would the reverse ever happen or even be considered? Lets be real, if Tanzania faced a shortage of manpower, would it come to Kenya or reward the SADC countries? Hakuna cha undugu hapa
 
Tanzania is not as important to Kenyans as Kenya is to Tanzanians. Case in point, how many Kenyans relocate to Tanzania for business and vice versa? How many Kenyans actually follow Tanzania news? What of Tanzanians following Kenyan news? Kenya is sourcing doctors from Tanzania, would the reverse ever happen or even be considered? Lets be real, if Tanzania faced a shortage of manpower, would it come to Kenya or reward the SADC countries? Hakuna cha undugu hapa
Sisi sote ni ndugu.
 
Aisee mimi huwa naona wakenya ni ndugu zetu kabisa maana kuna makabila mengi kenya ambayo pia yapo Tanzania wakurya wajaluo wamasai wamakonde watu wa Pwani kuna Wameru yani sisi ni ndugu wa karibu sana
 
Kazi kweli kweli
Africa kusini hakuamini kama mnaigeria atampiku kwenye uchumi
siku zote mwenye nacho ni mwenyenacho tu!!.
Tanzania ina kila namna ya kuipiku Kenya kiuchumi
ni kuamua tu
 
Lakini hivi mbona Watanzania basi wanachukia wakenya, tena wivu sana, sijui kwa nini, hadi rais mara hutaja Kenya!!
 
Back
Top Bottom