JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Tabora. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Tabora una jumla ya majimbo ya uchaguzi 12 ambayo ni:-
Tabora Mjini: Emmanuel Mwakasaka (CCM)
Igalula:
Kaskazini Uyui:
Sikonge - Kakunda (CCM)
Urambo - Margareth Sitta (CCM)
Kaliua: Magdalena Sakaya (CUF)
Ulyankulu
Nzega Mjini - Ndg. Hussein Bashe (CCM) aibuka mshindi
Bukene
Nzega Vijijini - Hamis Kigwangallah (CCM)
Igunga: Dr. Dalaly Kafumu (CCM)
Manonga: Seif Gulamali (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Updates' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
============
Jimboni Urambo Kata 15 zimeenda CCM, kata moja imeenda ACT, kata moja imeenda CHADEMA. Sikonge ambayo ilikuwa na jumla ya kata 20, matokeo yaliyopatikana ni kata 18, kata 15 zimeenda CCM na kata 3 zimeenda CHADEMA hivyo zimebakia kata 2.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Tabora. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Tabora una jumla ya majimbo ya uchaguzi 12 ambayo ni:-
Tabora Mjini: Emmanuel Mwakasaka (CCM)
Igalula:
Kaskazini Uyui:
Sikonge - Kakunda (CCM)
Urambo - Margareth Sitta (CCM)
Kaliua: Magdalena Sakaya (CUF)
Ulyankulu
Nzega Mjini - Ndg. Hussein Bashe (CCM) aibuka mshindi
Bukene
Nzega Vijijini - Hamis Kigwangallah (CCM)
Igunga: Dr. Dalaly Kafumu (CCM)
Manonga: Seif Gulamali (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Updates' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
============
Jimboni Urambo Kata 15 zimeenda CCM, kata moja imeenda ACT, kata moja imeenda CHADEMA. Sikonge ambayo ilikuwa na jumla ya kata 20, matokeo yaliyopatikana ni kata 18, kata 15 zimeenda CCM na kata 3 zimeenda CHADEMA hivyo zimebakia kata 2.